mimi na juliana ni wanaccm na tunakura pesa ya ccm ila wenzangu mbowe na zitto ni wanachadema na wanakiri kura pesa ya ccm!!! Wanajf hivi mimi na juliana na hawa mbowe na zitto nani anasaliti mabadiliko!!!!!kidumu chama cha mapinduzi chama kinachowalea watanzania wote bila kujari itikadi za vyama vyao.
Mimi na Juliana ni wanaccm na tunakura pesa ya ccm ila wenzangu mbowe na zitto ni wanachadema na wanakiri kura pesa ya ccm!!! WanaJf Hivi mimi na Juliana na hawa Mbowe na Zitto nani anasaliti mabadiliko!!!!!Kidumu chama cha mapinduzi chama kinachowalea watanzania wote bila kujari itikadi za vyama vyao.
Nyinyi Wafuasi wa Mbowe mnashangaza sana kwakweli,Hivi mara hii mshasahau kuwa Zitto alianza kutuhumiwa kwanza na Lissu na yeye ikambidi ajibu mapigo?Nani asiyejua kuwa Mbowe yupo nyuma ya yote haya yanayomtokea Zitto akiwatumia vibaraka wake?Kwahiyo msichukie sana jiandaeni kusikia uozo mwingi kuhusu huyo Mungu wenu na safari asiposimama Mahakamani sijui!
Dogo ZZT hawezi kutishwa kitoto namna hii!! Kajipange tena upya!
mwehu tu ndiye anayeweza kusema mali ya mtu ni mali ya chama.
Kumbe CCM imewasaidia wengi sana Tanzania....................
Huyu ni M/Kiti wao bado hawa wa ngazi za chini. Hivi ni nani aliye
msafi chadema ambaye anaweza kusimama mbele ya Watanzania.???
Kwa mawazo yako unadhani zitto ni mwepesi kiasi hicho bora jipange tena kumchafua.Wana JF
Hali ya kisiasa kwa Mh ZZK itakuwa mbaya zaidi kwa mujibu wa rafiki yangu mmoja wa Lumumba. Wanadai kuwa habari za kupokea rushwa ya magari kwa mheshimiwa zzk hachomoki kutokana na vielelezo mpaka vya picha vipo. Kwa mujibu wa mtoa habari wangu inawezekana ushaidi huu ilivujishwa kwa Lisu na mtu ambaye wanasema ni rafiki wa karibu wa ZZK waliyemtaja kwa jina moja Habib kupitia kwa Mtendaji mmoja mkubwa wa Serikali wa wizara moja nyeti ambaye ndiye aliyemkabidhi Lisu kwa ajili ya kumaliza ZZK. Inasemekana kuwa Lusi amepatiwa na Mtendaji huyo wa wizara nondo ambazo atakuwa anazishusha moja baada ya nyingine kulingana na jinsi zzk atakavyokuwa anajitetea. Mtoa habari anasema jamaa aliingia king muda mrefu na jamaa wamejipanga na wameanza na kakombora kadogo. Inasemekana jamaa wamemshauri ZZK asijaribu kupambana na Lisu ila yeye mara zote apeleke mashambulizi kwa Mbowe. Wamemwambia ati Lisu ni hatari sana kushindananaye, pia inasemekena ameshauriwa asikanyage tena JF kuzungumzia chochote aishie huko facebook.
Uwezo wako wa kufikiri ndo umeishia hapa?
Naona unatafsiri neni kwa neno, jua kwanba hata mshahara analipwa na serikali ya ccm. Lipu la ajabu hapi?
Mnakula Pesa za Pembe za Ndovu kutoka china :A S 112:
Nyerere yupi huyo? Jadilini hawa viongozi wenu wa sasa. Wana mengi tu ya kujadiliwa.Nyerere mwenyewe alikuwa malaya na ilikuwa ni ngumu sana kuvujisha siri za serikali.
Wana JF
Hali ya kisiasa kwa Mh ZZK itakuwa mbaya zaidi kwa mujibu wa rafiki yangu mmoja wa Lumumba. Wanadai kuwa habari za kupokea rushwa ya magari kwa mheshimiwa zzk hachomoki kutokana na vielelezo mpaka vya picha vipo. Kwa mujibu wa mtoa habari wangu inawezekana ushaidi huu ilivujishwa kwa Lisu na mtu ambaye wanasema ni rafiki wa karibu wa ZZK waliyemtaja kwa jina moja Habib kupitia kwa Mtendaji mmoja mkubwa wa Serikali wa wizara moja nyeti ambaye ndiye aliyemkabidhi Lisu kwa ajili ya kumaliza ZZK. Inasemekana kuwa Lusi amepatiwa na Mtendaji huyo wa wizara nondo ambazo atakuwa anazishusha moja baada ya nyingine kulingana na jinsi zzk atakavyokuwa anajitetea. Mtoa habari anasema jamaa aliingia king muda mrefu na jamaa wamejipanga na wameanza na kakombora kadogo. Inasemekana jamaa wamemshauri ZZK asijaribu kupambana na Lisu ila yeye mara zote apeleke mashambulizi kwa Mbowe. Wamemwambia ati Lisu ni hatari sana kushindananaye, pia inasemekena ameshauriwa asikanyage tena JF kuzungumzia chochote aishie huko facebook.
Mwampamba hata kiswahili cha kijijini kwenu hakijakutoka, 'kura, kujari' ndio nini sasa, tutolee ushamba wako.Mimi na Juliana ni wanaccm na tunakura pesa ya ccm ila wenzangu mbowe na zitto ni wanachadema na wanakiri kura pesa ya ccm!!! WanaJf Hivi mimi na Juliana na hawa Mbowe na Zitto nani anasaliti mabadiliko!!!!!Kidumu chama cha mapinduzi chama kinachowalea watanzania wote bila kujari itikadi za vyama vyao.
Mimi na Juliana ni wanaccm na tunakura pesa ya ccm ila wenzangu mbowe na zitto ni wanachadema na wanakiri kura pesa ya ccm!!! WanaJf Hivi mimi na Juliana na hawa Mbowe na Zitto nani anasaliti mabadiliko!!!!!Kidumu chama cha mapinduzi chama kinachowalea watanzania wote bila kujari itikadi za vyama vyao.