Mahakamani ni sehemu ya haki siyo kulia mbona lema na lisu wameenda mahakamani mara kibao acha gongo zako.Kama hawezi kutishwa nini kimemkimbizia kulialia mahakamani?
mbowe kapewa pesa zisaidie uchaguzi
zitto kapewa pesa za kuvuruga chama
Zitto "Lissu anajua kuwa gazeti la Tanzania Daima limeanzishwa na fedha za chama kutoka Conservative party?"
Ata kusoma hujui?usituaibishe watu wa Tenende...
Anachosema Zitto hapo ni kuwa chama cha Conservative cha Uingereza kilitoa pesa kwa Chadema kuanzisha gazeti la chama lakini Mwenyekiti Mbowe badala ya kuanzisha gazeti la chama pesa hizo akazitumia kuanzisha gazeti la Tanzania Daima na kulifanya la kwake binafsi na sio la chama.Huu ni ufisadi wa kiwango cha juu.
Naona pamoja na wajumbe kufungwa macho na fisadi Mbowe, sasa nadhani watafunguka na kumjadili kwa pesa ambazo amekuwa akipokea toka CCM, pia Dr. Slaa ambaye hata kadi ya CCM hajarudisha.
Tulishasema hawa ndo wasaliti wana wasingizia wengine, mengi tu yatakuja hapa. Hivi inakuwaje unamwomba Baba yako akupe hela umpelekee Mama yako halafu unamwambia Mama nakukopesha pesa hii na kweli Mama yako bila kujua anatafuta huku na kule anakulipa.
Jamani Mbowe uwe na hofu ya Mungu, utakufa vibaya sana. Pesa za Mkono kapewa yeye anakuja kuwakopesha CHADEMA, kwani alipewa zake binafsi au alipewa za Chama?
Hivi hiki chama kina akaunti kweli au inatumika ya Mbowe?
Mimi na Juliana ni wanaccm na tunakura pesa ya ccm ila wenzangu mbowe na zitto ni wanachadema na wanakiri kura pesa ya ccm!!! WanaJf Hivi mimi na Juliana na hawa Mbowe na Zitto nani anasaliti mabadiliko!!!!!Kidumu chama cha mapinduzi chama kinachowalea watanzania wote bila kujari itikadi za vyama vyao.
We nawe si twaongea ya mbolea waleta stor za uchawi,ukiuona uchawi utaujua wewe?piga mbege acha porojoSiyo mwepesi kwa ajili ya uchawi na ushirikina anaotambia Eti 'panya hatasalia nyumbani kwao wabaya wake' ngoja tumsikie Dr au Lissu akiumia kwa uchafu anaojivunia huyu kijana!!
Naona pamoja na wajumbe kufungwa macho na fisadi Mbowe, sasa nadhani watafunguka na kumjadili kwa pesa ambazo amekuwa akipokea toka CCM, pia Dr. Slaa ambaye hata kadi ya CCM hajarudisha.
Tulishasema hawa ndo wasaliti wana wasingizia wengine, mengi tu yatakuja hapa. Hivi inakuwaje unamwomba Baba yako akupe hela umpelekee Mama yako halafu unamwambia Mama nakukopesha pesa hii na kweli Mama yako bila kujua anatafuta huku na kule anakulipa.
Jamani Mbowe uwe na hofu ya Mungu, utakufa vibaya sana. Pesa za Mkono kapewa yeye anakuja kuwakopesha CHADEMA, kwani alipewa zake binafsi au alipewa za Chama?
Hivi hiki chama kina akaunti kweli au inatumika ya Mbowe?
Hahaaaaaa! Kwani lema na lisu ndio uliwaambia hawatishwiii!! Bhaahaaaaaaaaaa! Jibu hoja hapa kima wewe sio kuish kwa kutegemea mifano ya lema na lisu, wewe si ----------- kumtetea huyo hasid mwenzio jibu hoja kibaka wewe si mbwembwe hapa,Mahakamani ni sehemu ya haki siyo kulia mbona lema na lisu wameenda mahakamani mara kibao acha gongo zako.
Wassira aliwambia mkabisha kilo wapi,
Mmekufa mioyoni mwa watu.
ww mbona uliisaliti bikira yako kwa kupiga game kavukavuMbowe kama mme kamsaliti mkewe mpaka kufikia kuzaa na mbunge wa viti maalum,atashindwa kuwasaliti watu wa kuja tu?
mbona kuna raisi alihongwa sutiSasa kama mwenyekiti wa chama anahongwa pesa hiki chama vipi siku akipata urais siatahongwa auze nchi yetu.