Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Mimi na Juliana ni wanaccm na tunakura pesa ya ccm ila wenzangu mbowe na zitto ni wanachadema na wanakiri kura pesa ya ccm!!! WanaJf Hivi mimi na Juliana na hawa Mbowe na Zitto nani anasaliti mabadiliko!!!!!Kidumu chama cha mapinduzi chama kinachowalea watanzania wote bila kujari itikadi za vyama vyao.
Kinacho msumbua zitto niwivu wakike wamali za Mbowe pamoja nakuonga bado hawezi kumfikia kinacho mpoteza zaidi anajua Mbowe kapatia pesa kwenye siasa bila kujua kuna pesa za hasili.
Vijakazi wa Mbowe mjiandae kumsafisha Jamaa yenu maana ana lundo la kashfa la uzito wa tani moja.Let the game begin now!!
Watoto wa nje ya ndoa mnakazi sijui kama unazo zote kichwani.Hahaaaaaa! Kwani lema na lisu ndio uliwaambia hawatishwiii!! Bhaahaaaaaaaaaa! Jibu hoja hapa kima wewe sio kuish kwa kutegemea mifano ya lema na lisu, wewe si ----------- kumtetea huyo hasid mwenzio jibu hoja kibaka wewe si mbwembwe hapa,
Mwenyekiti kanitia aibu yaani sijui nitaficha wapi uso wangu kwa jinsi nilivyokuwa najidai na CHADEMA yangu!
Nimefadhaika sana!
Kwani lisu alikuwa wapi kusema haya dogo kawashika pabaya lazima mtambike kama kawaida yenu.hizi siasa za mitandaoni bana.
kule nanjilinji ht hawajui yote haya.
Hahahaa haaaa
back to topic
zz ulikuwa wapi kusema haya?
au ndo mfa maji?
mbona kuna raisi alihongwa suti
Kinacho msumbua zitto niwivu wakike wamali za Mbowe pamoja nakuonga bado hawezi kumfikia kinacho mpoteza zaidi anajua Mbowe kapatia pesa kwenye siasa bila kujua kuna pesa za hasili.
Nilidhani wewe ni binadamu kumbe ni mtu tu eti chausiku hasara iliyoje kwa ndugu na rafiki zako waliyoipata kwa kuwa wewe chausiku.Hahaaaaaa! Kwani lema na lisu ndio uliwaambia hawatishwiii!! Bhaahaaaaaaaaaa! Jibu hoja hapa kima wewe sio kuish kwa kutegemea mifano ya lema na lisu, wewe si ----------- kumtetea huyo hasid mwenzio jibu hoja kibaka wewe si mbwembwe hapa,
mbona kuna raisi alihongwa suti
Chadema haina mjinga kama wewe acha kujivalisha ngozi ya kondoo wewe.