Zitto aanika siri nyeti za Mbowe! Adai hatakufa kama Chacha Wangwe
mkuu cdm wanajua kuchagiza tu,hawajui kuongoza na kufanya maamuzi sahihi kwa wakati sahihi,
ni maamuzi machache sana yanakuwa sahihi,sasa tukiwapa nchi si wataiuza?


Nashindwa kukuelewa pale unaposema Cdm Hawawezi kongoza wakati ccm hawapati usingizi Na kubidi kutumia mbinu nyingi kukabiliana na Cdm?
Mfumo Wa Cdm kila kitu umekaa vizuri ndo maana wameweza kukabiliana na changamoto nyingi sn na vikwazo vingi! Uongozi uko thabiti na wanafanya kazi! Ndio wamewafundisha Siasa ata ccm Leo unawaona Akina Kinana hawakai na wao wanazunguka kujenga chama na kuelezea maendeleo ya serikali kupitia chama ccm!

Ukija ktk swala kwamba Cdm ukiwapa nchi eti watauza nchi! Nakuomba uitafakari hiyo kauli yako na uipime Kati ya ccm na Cdm nani anauza nchi?
 
attachment.php
 
Ulitaka hayo maovu zito, akaya semee wapi? Si bado angesomeka msaliti Kama ilivyo sasa? Go go zito kabwe...
Ndg it takes only a brink of of time kwa mtu mwadilifu kusema maovu.waiting till the cat is out of the backet haikubariki hata kdogo.sizitaki mbichi style.
 
kinachomsumbua zitto sio kingine bali wivu dhidi ya mbowe,zitto anatamani sana kuitwa kamanda wa anga.....ila amesahau hayo yote yametokana na ubunifu wa mbowe....kwa yote niliyosikia kuhusu mbowe kamanda wa anga bado nina imani naye kwakuwa kipindi chote cha uongozi wake chama hakijawahi kushuka😛eace:

attachment.php
 
Lazima ifikie hatua tujue kamwe watu.hawawezi kuongozwa na malaika. Watu wataongozwa na watu na katika hao watu hakuna mkamilifu hata mmioja wote tunayo madhaifu yetu lakini, inapoonekana mmoja miongoni amevuka udhaifu wa kawaida wa kuweza kuchukuliana naye, haina jinsi inabidi kumwondoa. Naamini Mbowe ana personal weakness hata za chumbani anaweza kuwa nazo, kwasasa anachukulika na anao uwezo wa kuongoza watu wa namna mbalimbali kwa elimu zao, dini zao, kabila zao, ideology zao bila kuwabagua, haina maana kwamba ZZK hawezi, huenda anaweza pengine kuliko Mbowe maana hajapata huo mwanya, lakini kwa jaribu hili lililompata ZZK limemwonyesha kama mtu aliyejaa UNAFIKI mwingi ambaye anasubiri yatokee ndio alete hoja, SIKU ZOTE UKITAKA kujua mwanasiasa #MCHOVU aliyefilisika kisiasa basi ni yule mwenye kudhani kwamba siasa za Chumbani zinaweza kufanya kazi kwenye majukwaa. Mwanasiasa wa hivi kafilisika hata kama angelikuwa na uwezo wa namna gani hafai kuongoza watu wenye ideology tofauti maana yeye anadhani anaongoza malaika,ZITTO alikuwa mzuri kuongoza na kuongozwa lakini kwa sasa hawezi tena kuongozwa wala kuongoza na anachokifanya si kwamba hajui matokeo anajua tu ila anafanya makusudi, CHADEMA mmefanya kazi nzuri hadi hapa tulipo,tunaelekea kupata katiba mpya kwasababu ya MBOWE na wenzake waliokuwa radhi kuonekana ajinga mbele ya Raisi bungeni, kuliko Zitto ili tu katiba yenye utaifa wa Tanzania ipatikane, hapo hakukuhitajika siasa za chumbani kufikikisha ujumbe kwa wahusika, ZZK akajiona muungwana na kukaa kando wenzake wakaenya, ni dhahiri kwamba kijana huyu aliyejijengea heshima kwa utendaji wake hapo nyuma heshima yake ameiharibu mwenyewe hata kabla hajafika kilele cha ndoto zake

Zito will emerge a hero against mbwa mwitu akina mbowe na hence lake...
Yeye si mwanzilishi Bali ni mmaliziaji.
.
Na hii inampa credit. Hashutumu Bali anajibu shutuma tena kwa hekima....
Utamlinganisha na nani???
 
Ndg it takes only a brink of of time kwa mtu mwadilifu kusema maovu.waiting till the cat is out of the backet haikubariki hata kdogo.sizitaki mbichi style.

Hata wenyewe chadema walikuwa wapi Sikh zote kuyasema hayo? Au kwasababu wamemuona anaweza kupata uongozi?
 
I suspect the real condition is even worse. The laws of such engagements necessitates witholding the worst attacks for the last battles, as a sort of insurance.

So whatever is coming to light right now is just the tip of the iceberg, the inner innuendos of the cajoling cabal that is CHADEMA and that anti-pope apogee aspirant are deeper than the Mariana Trench.

Mkuu Kiranga,jaribu kuwa na huruma kwetu akina Div5!
 
Lazima ifikie hatua tujue kamwe watu.hawawezi kuongozwa na malaika. Watu wataongozwa na watu na katika hao watu hakuna mkamilifu hata mmoja wote tunayo madhaifu yetu lakini, inapoonekana mmoja miongoni amevuka udhaifu wa kawaida wa kuweza kuchukuliana naye, haina jinsi inabidi kumwondoa. Naamini Mbowe ana personal weakness hata za chumbani anaweza kuwa nazo, kwasasa anachukulika na anao uwezo wa kuongoza watu wa namna mbalimbali kwa elimu zao, dini zao, kabila zao, ideology zao bila kuwabagua, haina maana kwamba ZZK hawezi, huenda anaweza pengine kuliko Mbowe maana hajapata huo mwanya, lakini kwa jaribu hili lililompata ZZK limemwonyesha kama mtu aliyejaa UNAFIKI mwingi ambaye anasubiri yatokee ndio alete hoja, SIKU ZOTE UKITAKA kujua mwanasiasa #MCHOVU aliyefilisika kisiasa basi ni yule mwenye kudhani kwamba siasa za Chumbani zinaweza kufanya kazi kwenye majukwaa. Mwanasiasa wa hivi kafilisika hata kama angelikuwa na uwezo wa namna gani hafai kuongoza watu wenye ideology tofauti maana yeye anadhani anaongoza malaika,ZITTO alikuwa mzuri kuongoza na kuongozwa lakini kwa sasa hawezi tena kuongozwa wala kuongoza na anachokifanya si kwamba hajui matokeo anajua tu ila anafanya makusudi, CHADEMA mmefanya kazi nzuri hadi hapa tulipo,tunaelekea kupata katiba mpya kwasababu ya MBOWE na wenzake waliokuwa radhi kuonekana ajinga mbele ya Raisi bungeni, kuliko Zitto ili tu katiba yenye utaifa wa Tanzania ipatikane, hapo hakukuhitajika siasa za chumbani kufikikisha ujumbe kwa wahusika, ZZK akajiona muungwana na kukaa kando wenzake wakaenya, ni dhahiri kwamba kijana huyu aliyejijengea heshima kwa utendaji wake hapo nyuma heshima yake ameiharibu mwenyewe hata kabla hajafika kilele cha ndoto zake

Wakati Mbowe anatolewa bungeni baada ya vurugu Huyu ZZK alikuwepo kweli bungeni?
 
Zitto kama kweli amposti hayo kwenye FB yake basi naona mdogo wangu anajipoteza kwa kasi kwenye siasa za Tanzania. Sidhani kama haya anayosema kwenye FB yake yatamsaidia, badala yake amewapa hoja wapinzani wake, naamini impliedly ameshakubali kutoka Chadema tena kwa aibu, na kwa kujibizana huku anakubali kuwa kuna namna amekuwa anawasaliti Chadema.

Namhurumia huku nikihofu kama anaweza kuibuka tena na kuwa shujaa wa siasa za Tanzania.
 
Mbona Watanzania mnapoteza muda mwingi kujadili wanasiasa badala ya kujadili Sera(Policy) za hivyo vyama kwa mtaji huu Umaskini hautakwisha. Mtakuja kujuta kwanini mnapoteza muda kwenye kujadili watu wakati bei ya umeme inapanda, bei ya gas ya kupikia juu, umaskini unaongezeka kila kukicha.
Hao wakina Zito ndio nani hao kwani wao ni bora kuliko watoto wetu wanaosoma bila kuwa na vyumba vya madarasa, watoto wanakwenda shule bila kuwa na mavazi mazuri pamoja na viatu, madaftari, wanafunzi wanafeli, watu hawana ajira, walemavu hawana mahitaji, madawa hospitalini hakuna, maji safi ya kunywa hakuna tena hata Dar es Salaam, Watu wanazidi kuwa maskini na wakina mama wajawazito wanakufa kwa kukosa huduma bora.
Huu ni wendawazimu ni muda sasa wa kukaa na kujadili sera bora kwa nchi yetu na siyo kupoteza muda na watu wachache wakati kuna watu wengi wankufa kutoka na matatizo yanayoweza kuzuilika na pia kuna watu wengi wanakosa huduma ambazo zingiweza kupatikana kama msisitizo ungewekwa.
Tuache hizi siasa za kizamani za enzi ya cold war na tuwe na siasa endelevu (Progressive Politics or Progressive Politician) na sio hizi siasa njaa za kujadili majina. Sanasa ni kukifaidisha chama kilicho madarakani maana muda mwingi badala ya wananchi kujadili kama kinatekeleza majukumu sisi wananchi tume ng'ang'ana na kujadili watu.
Watu wapo, watu wataondoka , watu watakuja wapya lakini sera nzuri zitakuwepo na zitadumu na kukumbukwa na vizazi vingi vijavyo.
 
Unajuwa watanzania tuliowengi hatunaga vyama! tunachofanya ni kushadadia yeyote anayeonyesha kuomboleza pamoja nasi katika dhiki zetu! Kujenga imani kwa watu wasiokujuwa kunahitaji muda wa kutosha! Chadema mmetumia muda wenu mwingi kutuaminisha watanzania kuwa mnaomboleza na watanzania! kwa kipindi kifupi mmetuonyesha wazi kuwa ni wabinafsi, wajasiliamali, wachumia tumbo! Tumeumbuka tuliokuwa tunawashadadia! Anzeni upya kujipanga mwaka 2050 kama yamkini labda mtawapata wajukuu wetu! Mtatawala!
 
Kwa hiyo na hayo magari mawili aliyopewa Zitto alitaka apewe Mbowe ndio ingekuwa sawa?
 
Nashindwa kukuelewa pale unaposema Cdm Hawawezi kongoza wakati ccm hawapati usingizi Na kubidi kutumia mbinu nyingi kukabiliana na Cdm?
Mfumo Wa Cdm kila kitu umekaa vizuri ndo maana wameweza kukabiliana na changamoto nyingi sn na vikwazo vingi! Uongozi uko thabiti na wanafanya kazi! Ndio wamewafundisha Siasa ata ccm Leo unawaona Akina Kinana hawakai na wao wanazunguka kujenga chama na kuelezea maendeleo ya serikali kupitia chama ccm!

Ukija ktk swala kwamba Cdm ukiwapa nchi eti watauza nchi! Nakuomba uitafakari hiyo kauli yako na uipime Kati ya ccm na Cdm nani anauza nchi?
Cdm hawawezi kuongoza,wanaweza kuwa chama cha upinzani cha kudumu,
WaTz sio matahira wawape cdm nchi,ni sawa na kumkabidhi fisi bucha,
mkipata nchi mtaanza kuwaua viongozi wa upinzani wanapotaka madaraka kwa njia ya demokrasia,
mtafuta kitengo cha CAG ili pesa zisikaguliwe,,,,,,
 
Wanaukumbi.

Kumbe Gazeti letu pendwa la Tanzanzia Daima limeanzishwa na fedha za chama cha kutoka Consevative Party cha Uingereza.

Hizi habari zimekuja kama tetesi lakini bado naendelea na uchunguzi nitawajuza zaidi.

Kwanini usituchunguzie yale meno ya tembo ya yaliyo kamatwa juzi yalikuwa yana pakiwa kwenye meli gani !?
 
mbwaa kasoro mkia hivi ilikuwa na maana gani?? katika Kiswahili misemo nahau au kitendawili??
 
mkuki kwa nguruwe sio??

Mwenyekiti chadema anatia aibu,aje akanushe tuhuma zake sasa na yeye

tundu lisu anacheza ngoma ambayo haijui,wanamtanguliza tu kichwa kichwa yeye hajui kama anajidhalilisha!

Ni ujinga mtu mwenye elimu kama ya tundu kupelekwa pelekwa na kujazwa uongo na mbowe...

Mbowe atoke atuachie chama chetu alishashindwa kabla hajaanza

na dr slaa ajiangalie naona anapotea taratibu

nataka niwaombeni cc tunaojiita greate thinkers tijaribu sana kufikiri kwa kina. Why zzk atoke sasa na tuhuma hizo, why aseme sasa uhhusu club bills, je kuna ukweli wowote? Kwanini kama alikuwa anajua hayo hakuyatoa kwenye uchaguzi wa chama 2009? Kama yy alikuwa anayajua hayo why hakuwahi kuyasema. Mie nawezakujiridhisha kuwa zzk ana nia mbaya ndani ya chama.
 
Huu ndo ukweli,kwanza katika hali ya kawaida utoe Rushwa halafu unawezaje kusema hadharani?
TL mbowe kakupoteza na hiwezi siasa
ZZK siku akianza mipasho mtakimbiana CDM kwa sababu anazijua issue zenu kuanzia A to Z


Hata kina Mtela na Shonza hawakutoka CDM kirahisi. Waliporomosha matusi mpaka sasa wametulia, tumpe muda Zitto, atatulia na kukubali kuachwa na CDM....Kuachwa kunauma sana aisee
 
Back
Top Bottom