Watu hao hao watatu wanne wa uongozi wa juu wa CHADEMA wametuonesha kwamba zile hadithi zote za ufisadi and list of shame zilikuwa ni habari za danganya toto tu, na wao wanaabudu katika madhabahu hayo hayo.

Na kwa kutaka kumminya Zitto asipate haki yake ya kusikilizwa na Baraza Kuu, wametoa nafasi ya malumbano yao ya ndani kujulikana nje.

Kama ulifikiri CHADEMA kilikuwa chama kilichokuwa tayari kukomboa Watanzania fikiri tena.

Bila kuvaa miwani ya kioo chenye rangi ya "kipendacho roho hula nyama mbichi".

Unaposema "inawezekana ndugu hao walikosea" unaonesha cognizant dissonance ya hali ya juu.

Huku si kukosea tu, useme nilikuwa sijui mlango wa mbele uko wapi nimeingilia mlango wa uani kwa bahati mbaya. This seems to be a deliberate scam with some intricate planning to protect personal interests, how would you let them off the hook that easily if the allegations carry weight?

Especially if their entire careers are based on fighting graft?
 
Alikuwa akiwaheshimu Viongozi wenzie ndio maana alikuwa akiwafichia maovu yao ila kwakuwa watu wenyewe hawana wema sasa ndio ameanza kuyasema aliyopaswa kuyasema miaka mingi iliyopita.
uadilfu anavuka mipaka ya kuficha siri za watu unaowaheshimu.
 

So kina mbowe lissu na slaa wanataja mambo yaliyotokea 2013 tu na ya 2014?? Hivi mkoje?! wakisema kina lissu mambo ya 2009 ni sawa, akisema zzk ni kosa. Hii kali ya mwaka.
 

Kwahiyo unataka kusema nn mkuu?
 
Pole mkuu, ndio nchi yetu hii, inakila kitu cha kufanya maisha yawe mepesi kwa wananchi wake, ila imekua kinyume chake. Nafikiri tuwe wavumilivu maana haya yana mwisho wake mkuu.

Poa mwana JF mwenzangu!Acha mm niende Tanesco-Kinondoni nikaongee nao maana asubuhi nilinunua LUKU ya 10,000 hata saa 8 haijafika imekwisha!

Maisha magumu sana kwangu na ongezeko hili la umeme
 
Kwani alikuwa anajua kwamba atatolewa mpaka awepo?

Aaaah! Rafiki yng naona wanchokoza taratibu!

Miaka ya 2000 Mwanzoni Mh Lipumba aliwahi kuandamana na akakumbana na nguvu ya dola akaumia mkono!

Mchungaji Mtikila nae pia amewahi kua na kesi kibao mahakamani!

Baadhi ya wabunge na viongozi na makada Wa Cdm wamewahi kumbana na nguvu ya dola na wengine wana makesi mahakamani!

ZZK Mbona sijawahi kusikia kukumbana na nguvu ya dola au kua na kesi mahakamani zaidi ya hiialiyoifungua mwenyewe?

Napia ata vurugu zilipotokea bungeni sizani Km alikuwepo. Kwanini asiwepo?

Ninachojua ZZK aliwahi kupata adhabu tu bungeni miaka ya nyuma! Tafakari sn ndugu!

Nafikiri nitakua nimekujibu swali lako!
 
tuhuma hizo ni za kijinga kwakuwa hata yeye aliendelea kukaa kimya ndani ya chama akiona yote yaliotendeka hata ilo analodai la chacha na hayo mengine, leo wanamfukuza anaanza kujitetea, huyu ni kama mgonjwa wa sijui nini anataka kuleta msemo wa tufe wote. hapati kitu hapa.kick ya ass
 

Kwani chadema walikuwa wapi toka huko nyuma kusema wanayosema leo kuhusu zzt? Mbona nyinyi mnazungumza vitu ambavyo mlipaswa kisema long time ago, acheni unafiki au ndio mkuki kwa ngurue, Lisu ulikuwa wapi kusema hayo, alafu eti uko majakamani kudai haki mnafiki mkubwa
 
Watu hao hao watatu wanne wa uongozi wa juu wa CHADEMA wametuonesha kwamba zile hadithi zote za ufisadi and list of shame zilikuwa ni habari za danganya toto tu, na wao wanaabudu katika madhabahu hayo hayo.

Umesahau Mabere Marando ni wakili wa baadhi ya hao mafisadi....?
 

sema mazoba cdm ndo walitoka kwa kujidai wanajua kumbe wanautindio wa ubongo
 
mbowe atabaki salama , zitto atabaki ana weweseka . hizo ni siasa za kina mwigulu na kibajaji, si zitto shtuka heshima yako itaondoka bila sababu wakati bado una hitajika , kwani kukataliwa chadema si mwisho wa siasa
 
Hatukutegemea uondoke hivihivi hii ni dalili kwamba mwisho umefika, lete tuma nyingine ........
 
sema mazoba cdm ndo walitoka kwa kujidai wanajua kumbe wanautindio wa ubongo

Hao mazoba ndio waliitwa ikilu kusikilizwa!

Pole sn! Mmegundulika njama zenu! Mlizoea Kunywa Damu za vyama vya Siasa ila kwa Cdm itawanywa nyie!
NCCR mmeinywa
Cuf mmeinywa
Sijui Udp sijui Tlp vyote mmevinywa!

Cdm hainyweki!
 
Chadema nawapenda sana wako kikazi zaidi wanapiga dili mpaka shetani hapendi, pesa za michango kukikopesha chama tena! Hii nimeipenda halafu chama kikilipa zinakwenda wapi? Sasa watahutubia kuku maana hata watoto watawakimbia.
 
Wakuu, inasemekana Zitto Kabwe ali-post facebook hii kitu halafu aka-edit later.

Original post:

Revised Post:


Kutoka Gazeti la Raia Tanzania
Kiongozi mzuri ni yule ambaye anajizuia kutoa matamshi wakati anahisi kvulugwa. Kitendo cha ZZK kukimbilia kutoa hoja dhidi ya Mbowe kimemfunua yeye kiongozi wa jazba tena asiye na uvumilivu.Nampenda sana rais wangu JK kwa jinsi ambavyo ni mvumilvu na si mwepesi wa kusema. Zito umepungukiwa na hekima tu
 

..well noted!!
 
CHADEMA mabingwa Mh. Mkono kwa inategemea wakati gani, kuna wakati anaitwa fisadi alafu pia kuna wakati ni Mfadhili... haya yote yanatoka kwa vinywa na maandishi ya viongozi wa CDM; Hongereni kwa kuchezea umma wa waTanzania.
We zimpopopompo umeshamuuliza Mkono akakuhakikishia kuwa aliihonga CDM au unatoa mapovu kama omo. Mkono aihonge CDM kwa hofu ipi alokuwa nayo wakati jimboni kwake anakubalika.
 
Mwisho wa jina la Zito katika siasa za Tanzania. Rangi kamili ya Zito inaanza kuonekana.
Zitto hafai kuwa kiongoz, ameonesha ni mtu dhaifu sana ambaye hana uvumiliv na staha ya uongozi. Zito nenda hufai kabisa kuwa kiongoz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…