Zitto aanika siri nyeti za Mbowe! Adai hatakufa kama Chacha Wangwe
Hii nchi inaumiza sanaaaaaa basi tu, Unakuta NSSF Sio bank yakukopesha ila wanakopesha wanasiasa Kwa Shughuli zao binafsi alafu walio changia Kila kukicha wanasumbuliwa kulipwa stahiki zao Uzao Wa MWAFRIKA UMELANIWA MPKA MWISHO WA DUNIA
Kwani mkataba ulisha ujua kwamba ulikia wa kupeana mkopo au una hisi tu.
 
Hii nchi inaumiza sanaaaaaa basi tu, Unakuta NSSF Sio bank yakukopesha ila wanakopesha wanasiasa Kwa Shughuli zao binafsi alafu walio changia Kila kukicha wanasumbuliwa kulipwa stahiki zao Uzao Wa MWAFRIKA UMELANIWA MPKA MWISHO WA DUNIA
Hii haijakaa poa
 
Mbowe kawahadaa muda mrefu wanachadema akijifanya mpinzani kumbe muhuni tu.
Muda umefika sasa kila kitu kimejulikana.
Anakitumia chama kujinufaisha.
Alitakiwa kupumzishwa toka enzi za Chacha Wangwe na leo hii chama huenda kingekuwa ikulu
 
Naona pamoja na wajumbe kufungwa macho na fisadi Mbowe, sasa nadhani watafunguka na kumjadili kwa pesa ambazo amekuwa akipokea toka CCM, pia Dr. Slaa ambaye hata kadi ya CCM hajarudisha.

Tulishasema hawa ndo wasaliti wana wasingizia wengine, mengi tu yatakuja hapa. Hivi inakuwaje unamwomba Baba yako akupe hela umpelekee Mama yako halafu unamwambia Mama nakukopesha pesa hii na kweli Mama yako bila kujua anatafuta huku na kule anakulipa.

Jamani Mbowe uwe na hofu ya Mungu, utakufa vibaya sana. Pesa za Mkono kapewa yeye anakuja kuwakopesha CHADEMA, kwani alipewa zake binafsi au alipewa za Chama?

Hivi hiki chama kina akaunti kweli au inatumika ya Mbowe?
Alituhadaa sana tukamtetea kumbe fisadi tu anayetumia mwamvuli wa chama kujineemesha
 
Sasa mmeanza kufukua makaburi aisee...

Haya mambo ya mwaka 2014/2015 yanajirudia tena mwaka 2024/2025 after ten good years..

Tuhuma zilezile za miaka yote, safari hii zinakuja kivingine kabisa na kushikiwa bango na mtu mwingine very radical Tundu Lissu...

Inasikitisha sana kuona kuwa Freeman Mbowe amekosa BUSARA na HEKIMA ya kuzisoma alama za nyakati Ili zimsaidie kufanya maamuzi sahihi...
 
Hii nchi inaumiza sanaaaaaa basi tu, Unakuta NSSF Sio bank yakukopesha ila wanakopesha wanasiasa Kwa Shughuli zao binafsi alafu walio changia Kila kukicha wanasumbuliwa kulipwa stahiki zao Uzao Wa MWAFRIKA UMELANIWA MPKA MWISHO WA DUNIA
Duh
 
Teknolojia inaendelea kutufunulia tabia ya Mwenyekiti,
IMG-20250106-WA0382.jpg
 

Attachments

  • IMG-20250106-WA0382.jpg
    IMG-20250106-WA0382.jpg
    148.3 KB · Views: 3
  • Thanks
Reactions: RNA
Ndiomana kumbe FAM anang'a ngania uwenyekiti aisee. Tunaendelea kujua mengi. Naelewa sasa kwanini Lissu anasema anataka uenyekiti ili ajenge chama alafu FAM akakataa nafasi ya kugombea urais 2025.
 
Kila mwenye ushawishi anayeutaka Uenyekiti wa CDM anaonekana katumwa na CCM isipokuwa Sultan mwenyewe Mbowe. Mbowe ajitokeze atangaze hadharani kwamba kile ni chama chake basi aache kusumbua watu kwa maslahi yake.
IMG-20250106-WA0382.jpg
 
Mama wa kifaranga.
Watu wanaipenda chadema ila kwasababu ya zidumu fikra za mwenyekiti wakaona wachomoe betri waende wakaanze upya. Mbowe hafai.
 
Back
Top Bottom