Angeandika Chacha was Killed, ..... kusema hatokufa ni Uongo!Mimi nimependa tu hapo, Chacha died, I won't..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angeandika Chacha was Killed, ..... kusema hatokufa ni Uongo!Mimi nimependa tu hapo, Chacha died, I won't..
Ametumia tafsida ila ujumbe ulifika vizuri.. Angesema Chacha direct Chacha was killed alafu akafunguliwa mashtaka angeweza kuprove hilo??Angeandika Chacha was Killed, ..... kusema hatokufa ni Uongo!
I am not sure if really this comes from Zitto because it is too low to come from someone who has been in the parliament for more than 10 years with postgraduate level education.*BY ZITTO KABWE*
"Lissu anasema nimepewa magari 2 na Mzee Mkono. Anasema kaambiwa na Mkono. Naamini Mkono alimwambia pia mwaka 2005 alimpa Freeman Aikaeli Mbowe tshs 40m ili Mbowe asifanye kampeni Musoma vijijini. Nadhani alimwambia pia mwaka 2008 (baada ya orodha ya mafisadi kutangazwa 2007) Mkono alimpa Freeman tshs 20m za uchaguzi wa Tarime na Freeman akasema kwenye chama ametoa mkopo na akalipwa.
Nadhani alimwambia pia kuwa Mwaka 2010 Mkono alimpa Mbowe tshs 200m za kampeni ya Slaa. Pia hakusahau kumwambia kuwa Rostam Aziz alimpa Mbowe tshs 100m za kampeni. Lissu anajua kuwa gazeti la Tanzania Daima limeanzishwa na fedha za chama kutoka Conservative party?
Nimefanya internship yangu kwa Mkono and Company Advocates kuhusu masuala ya mikataba. Mzee Mkono ni Mzee wangu na alisaini petition ya kumtoa Waziri Mkuu Pinda.
Lissu awaambie waliyemtuma wamwambie ukweli wote. Lissu ajue yeye ni kifaranga tu, Mimi namtaka mama wa kifaranga ajitokeze. Aeleze aliingia deal gani na Kinana na Sumaye mwaka 2005 kufuatia deni lake NSSF. Aweke wazi mkataba kati yake na NHC kuhusu nyumba ya Umma ilipo Club Bilicanas.
They must know I am not a push over. Chacha died, I won't.
Mtu ambaye hawezi kuheshimu mke wake aliyemzalia watoto hawezi kunyooshea mtu kidole kuhusu maadili."
Nimekusoma Nguli wa Ufisadi!Ametumia tafsida ila ujumbe ulifika vizuri.. Angesema Chacha direct Chacha was killed alafu akafunguliwa mashtaka angeweza kuprove hilo??
Hata zito ni mpigajiZitto Kabwe
Lissu anasema nimepewa magari 2 na Mzee Mkono.
Anasema kaambiwa na Mkono. Naamini Mkono alimwambia
pia mwaka 2005 alimpa Freeman Aikaeli Mbowe tshs 40 m
ili Mbowe asifanye kampeni Musoma vijijini. Nadhani
alimwambia pia mwaka 2008 (baada ya orodha ya mafisadi kutangazwa 2007) Mkono alimpa Freeman tshs 20m za uchaguzi wa Tarime na Freeman akasema kwenye chama ametoa mkopo na akalipwa. Nadhani alimwambia pia kuwa mwaka 2010 Mkono alimpa Mbowe tshs 200m za kampeni ya Slaa. Pia hakusahau kumwambia kuwa Rostam Aziz alimpa Mbowe tshs 100m za kampeni. Lissu anajua kuwa gazeti la Tanzania Daima limeanzishwa na fedha za chama kutoka Conservative party? Nimefanya internship yangu kwa Mkono and Company Advocates kuhusu masuala ya mikataba. Mzee Mkono ni Mzee wangu na alisaini petition ya kumtoa Waziri Mkuu Pinda.
Lissu awaambie waliyemtuma wamwambie ukweli wote.
Lissu ajue yeye ni kifaranga tu, Mimi namtaka mama wa kifaranga ajitokeze. Aeleze alingia deal gani na Kinana na Sumaye mwaka 2005 kufuatia deni lake NSSF. Aweke wazi mkataba kati yake na NHC kuhusu nyumba ya Umma ilipo
Club Bilicanas.
They must know I am not a push over. Chacha died, I
won't.
Mtu ambaye hawezi kuheshimu mke wake aliyemzalia watoto hawezi kunyooshea mtu kidole kuhusu maadili.View attachment 3194144
Kwahiyo jamani ndo tuna ingia part ll ya film bila kuambizana? kama part I imeisha.Zitto Kabwe
Lissu anasema nimepewa magari 2 na Mzee Mkono.
Anasema kaambiwa na Mkono. Naamini Mkono alimwambia
pia mwaka 2005 alimpa Freeman Aikaeli Mbowe tshs 40 m
ili Mbowe asifanye kampeni Musoma vijijini. Nadhani
alimwambia pia mwaka 2008 (baada ya orodha ya mafisadi kutangazwa 2007) Mkono alimpa Freeman tshs 20m za uchaguzi wa Tarime na Freeman akasema kwenye chama ametoa mkopo na akalipwa. Nadhani alimwambia pia kuwa mwaka 2010 Mkono alimpa Mbowe tshs 200m za kampeni ya Slaa.
Pia hakusahau kumwambia kuwa Rostam Aziz alimpa Mbowe tshs 100m za kampeni. Lissu anajua kuwa gazeti la Tanzania Daima limeanzishwa na fedha za chama kutoka Conservative party? Nimefanya internship yangu kwa Mkono and Company Advocates kuhusu masuala ya mikataba. Mzee Mkono ni Mzee wangu na alisaini petition ya kumtoa Waziri Mkuu Pinda.
Lissu awaambie waliyemtuma wamwambie ukweli wote.
Lissu ajue yeye ni kifaranga tu, Mimi namtaka mama wa kifaranga ajitokeze. Aeleze alingia deal gani na Kinana na Sumaye mwaka 2005 kufuatia deni lake NSSF. Aweke wazi mkataba kati yake na NHC kuhusu nyumba ya Umma ilipo Club Bilicanas.
They must know I am not a push over. Chacha died, I won't.
Mtu ambaye hawezi kuheshimu mke wake aliyemzalia watoto hawezi kunyooshea mtu kidole kuhusu maadili.
View attachment 3194144
Hii nchi inaumiza sanaaaaaa basi tu, Unakuta NSSF Sio bank yakukopesha ila wanakopesha wanasiasa Kwa Shughuli zao binafsi alafu walio changia Kila kukicha wanasumbuliwa kulipwa stahiki zao Uzao Wa MWAFRIKA UMELANIWA MPKA MWISHO WA DUNIAHata zito ni mpigaji
Siasa za kiafrika ngumu sana zimejaa uhuni na haya ni matokeo ya uwepo wa katiba mbovu
Katiba zingekua nzuri haya mambo yasingekuwepo
Ili Chadema ife ni lazima Mbowe awe MwenyekitHuku Lisu anarusha mateke....
Kule Slaa anarusha ngumi.....
Ghafla Zitto ameanza kurusha mawe...
FAM ajiengue ili abaki na heshma ya kidogo alio jitengenezea.
Nakodisha vifaru na panga😅Zitto Kabwe
Lissu anasema nimepewa magari 2 na Mzee Mkono.
Anasema kaambiwa na Mkono. Naamini Mkono alimwambia
pia mwaka 2005 alimpa Freeman Aikaeli Mbowe tshs 40 m
ili Mbowe asifanye kampeni Musoma vijijini. Nadhani
alimwambia pia mwaka 2008 (baada ya orodha ya mafisadi kutangazwa 2007) Mkono alimpa Freeman tshs 20m za uchaguzi wa Tarime na Freeman akasema kwenye chama ametoa mkopo na akalipwa. Nadhani alimwambia pia kuwa mwaka 2010 Mkono alimpa Mbowe tshs 200m za kampeni ya Slaa.
Pia hakusahau kumwambia kuwa Rostam Aziz alimpa Mbowe tshs 100m za kampeni. Lissu anajua kuwa gazeti la Tanzania Daima limeanzishwa na fedha za chama kutoka Conservative party? Nimefanya internship yangu kwa Mkono and Company Advocates kuhusu masuala ya mikataba. Mzee Mkono ni Mzee wangu na alisaini petition ya kumtoa Waziri Mkuu Pinda.
Lissu awaambie waliyemtuma wamwambie ukweli wote.
Lissu ajue yeye ni kifaranga tu, Mimi namtaka mama wa kifaranga ajitokeze. Aeleze alingia deal gani na Kinana na Sumaye mwaka 2005 kufuatia deni lake NSSF. Aweke wazi mkataba kati yake na NHC kuhusu nyumba ya Umma ilipo Club Bilicanas.
They must know I am not a push over. Chacha died, I won't.
Mtu ambaye hawezi kuheshimu mke wake aliyemzalia watoto hawezi kunyooshea mtu kidole kuhusu maadili.
View attachment 3194144