Kwani mkataba ulisha ujua kwamba ulikia wa kupeana mkopo au una hisi tu.Hii nchi inaumiza sanaaaaaa basi tu, Unakuta NSSF Sio bank yakukopesha ila wanakopesha wanasiasa Kwa Shughuli zao binafsi alafu walio changia Kila kukicha wanasumbuliwa kulipwa stahiki zao Uzao Wa MWAFRIKA UMELANIWA MPKA MWISHO WA DUNIA
Mwamba ni msahaulifu sanaAgenda zinapikwa ba makaburi yanafukuliwa...
Tupo hapa kuona historia inavyoenda kuwanyoosha watu
Usiwapowakilisha michango ya Wafanyakazi wako Maana yake umejikopesha ndio sababu unapoenda kulipa unadaiwa na RibaKwani mkataba ulisha ujua kwamba ulikia wa kupeana mkopo au una hisi tu.
Hii haijakaa poaHii nchi inaumiza sanaaaaaa basi tu, Unakuta NSSF Sio bank yakukopesha ila wanakopesha wanasiasa Kwa Shughuli zao binafsi alafu walio changia Kila kukicha wanasumbuliwa kulipwa stahiki zao Uzao Wa MWAFRIKA UMELANIWA MPKA MWISHO WA DUNIA
Brother swala la kuchotwa Kwa pesa NSSF ,mikopo liko wazi akina January walichota so fatilia tu utajuaKwani mkataba ulisha ujua kwamba ulikia wa kupeana mkopo au una hisi tu.
Pia swala la wanasiasa kuchota pesa NSSF mbona lili implicate hata Zito , January toka kitambo tuUsiwapowakilisha michango ya Wafanyakazi wako Maana yake umejikopesha ndio sababu unapoenda kulipa unadaiwa na Riba
Uwage unaelewa 😂
Alituhadaa sana tukamtetea kumbe fisadi tu anayetumia mwamvuli wa chama kujineemeshaNaona pamoja na wajumbe kufungwa macho na fisadi Mbowe, sasa nadhani watafunguka na kumjadili kwa pesa ambazo amekuwa akipokea toka CCM, pia Dr. Slaa ambaye hata kadi ya CCM hajarudisha.
Tulishasema hawa ndo wasaliti wana wasingizia wengine, mengi tu yatakuja hapa. Hivi inakuwaje unamwomba Baba yako akupe hela umpelekee Mama yako halafu unamwambia Mama nakukopesha pesa hii na kweli Mama yako bila kujua anatafuta huku na kule anakulipa.
Jamani Mbowe uwe na hofu ya Mungu, utakufa vibaya sana. Pesa za Mkono kapewa yeye anakuja kuwakopesha CHADEMA, kwani alipewa zake binafsi au alipewa za Chama?
Hivi hiki chama kina akaunti kweli au inatumika ya Mbowe?
DuhKwani mkataba ulisha ujua kwamba ulikia wa kupeana mkopo au una hisi tu.
DuhHii nchi inaumiza sanaaaaaa basi tu, Unakuta NSSF Sio bank yakukopesha ila wanakopesha wanasiasa Kwa Shughuli zao binafsi alafu walio changia Kila kukicha wanasumbuliwa kulipwa stahiki zao Uzao Wa MWAFRIKA UMELANIWA MPKA MWISHO WA DUNIA
Tundu lissu ni mtu wa tofauti sana huwezi mkuta kwenye haya ma kashfaTeknolojia inaendelea kutufunulia tabia ya Mwenyekiti,View attachment 3195405