Zitto aanika siri nyeti za Mbowe! Adai hatakufa kama Chacha Wangwe
Mbowe wala hahitaji kuchukua pesa ndogo ya chama kwani pesa anayo na ndio imejenga chama hadi sasa mnatamani kuwa viongozi. Nendeni mkaanzishe vyama vyenu mvijenge ili watu wavitamani. Kwahili imekekula kwenu.
 
Changanya chadema wote, hawafikii robo ya uadilifu wa Mzee Wa Tembo wetu mhishimiwa Kinana, A.

Thnx for the irony mkuu, umetisha mpaka umempiga mtu changa la macho, tusipoangalia tembo wetu wataisha.
 
tehetehetehe, mkuu, yawezekana ndo maana wameshinda kujenga ofisi pengine wanatafuta location ambayo itaendana na shughuli zao. Utakuwa umewasaidia sana. Natumai utawapa msaada wa kuwatafutia kiwanja mahala hapo


tangazo lao tu la kuruhusu ,free gongo , hawahitaji jengo, kijiwe, si lazima jengo , hata banda tu linawatosha AU HATA BARAZA TU
 
kumbe mzee Nimrod Mkono ni mchafu kwa rushwa kiasi hiki?, inawezekana kweli Mbowe alipewa mkwanja lakini je alikidhuru chama?

Lakini ni dhahiri Bwana mdogo wa Kigoma kaskazini amekitenda chama hata kama asingepokea mulungula.

Kitendo cha kupokea fedha na kukidhalilisha chama na vionozi ni dhahiri lengo ni kukiua chama hata kama ulishiriki kukiasisi.


UCHI WA AKILI NI MBAYA KULIKO UCHI WA MWILI.

Mkuu imekaa hivi, Mbowe alichukua mkwanja kwa nimrod Mkono. Yeye mbowe akatumia pesa hizo kukikopesha chadema na kurejeshewa na riba ya asilimia 18. Hapo huoni kwamba Mbowe amektenda chama zaidi ya Zitto?
 
Haka Kanyaturu Tundu yeye amekalia upambe wa kujipendekeza iko siku atajikuta yuko mwenyewe wakati wenzake wemekwisha patana
 
Ndani ya chama kunakitu kimekosekana, nacho ni kuheshimu katiba ya chama, na haya ndio matokeo yake.

Usajili Mpya Lumumba B7FC!
Huyu ndiye kasajiliwa leo kujaza nafasi iliyo achwa wazi na Le mutuz au?Aahahahahahaha
 
Mkuu imekaa hivi, Mbowe alichukua mkwanja kwa nimrod Mkono. Yeye mbowe akatumia pesa hizo kukikopesha chadema na kurejeshewa na riba ya asilimia 18. Hapo huoni kwamba Mbowe amektenda chama zaidi ya Zitto?

Mbowe akichukua rushwa basi ndiyo justification ya Zitto Kabwe na yy kula rushwa ya gari 2?

Kauli kama hizi za Zitto ndiyo zinafanya nisiwaelewe kabisa WASOMI wetu kwa kweli!Kujitetea kwake yy kuchukua rushwa ya magari kwa Mkono ni kutuambia hata Mbowe nae kala rushwa pia?

What a pity~!
 
Payment of 40,000.00 TSH to TANESCO. Voucher 54478938973469692623.
Energy Received: 89.10 KWHR. Metre No:

Badala ya kujadili mambo muhimu kama haya ya Kudhurumiwa na Tannesco mnaleta Hoja zisizo na Tija kwetu, Kutoka Unity 131 kwa Tsh 40,000/= hadi unity 89.10.

Hizo kajadili wewe na kahaba wako,au anzisha uzi wako mwenyewe.
 
Chadema chama cha walarushwa.
Chama cha wazinzi.
Chama cha kifisadi.
Majungu.
Chuki.
Kidini.
Kikabila.
Kikanda.
Malaya.
N.k.
 
Hizo kajadili wewe na kahaba wako,au anzisha uzi wako mwenyewe.

Wewe si bure utakuwa chizi kama sio chizi basi ni malaya unaetegemea kulala na midume asubuhi, mchana, jioni na Usiku ili kujipatia kipato na kitu yako imeota SUGU.
 
hii ni vita ya madaraka tu, cdm wametuangusha sana wananchi kwa hili. Tumaini la kuona mabadiliko ya kisiasa nadhani hamna tena! Sbb hakuna tena chama cha kuitoa ccm madarakani. The best way to regain credibility for cdm among citizen is for Mbowe and Slaa to step down relinquish power to others, otherwise Zitto's exit is due power greedy for these top leaders of cdm. We need change and democratic transition of power from the parties to the national level. Sio mnakuwa kama CUF miaka nenda miaka rudi ni Lipumba na Sharrif!!
 
Wahaya wanasema aliyeshikwa na mkungu wa ndizi ndiye mwizi haswa! Ni Zitto ambaye anatuhumiwa kwa kuhongwa na anatakiwa ajitetee ili kujinusuru yeye kuleta tuhuma kwa wengine kama utetezi wake ni upuuzi. Ajibu tuhuma maana ndiye aliyekutwa na mkungu wa ndizi!!
 
Mpaka huu ukurasa wa tatu, hakuna hata mwanasiasa mmoja ndaninya CHADEMA ametajwa kuwa ni msafi
 
hii ni vita ya madaraka tu, cdm wametuangusha sana wananchi kwa hili. Tumaini la kuona mabadiliko ya kisiasa nadhani hamna tena! Sbb hakuna tena chama cha kuitoa ccm madarakani. The best way to regain credibility for cdm among citizen is for Mbowe and Slaa to step down relinquish power to others, otherwise Zitto's exit is due power greedy for these top leaders of cdm. We need change and democratic transition of power from the parties to the national level. Sio mnakuwa kama CUF miaka nenda miaka rudi ni Lipumba na Sharrif!!

Imekuangusha wewe gamba. Makamanda full shangweeee!!
 
Back
Top Bottom