Kifulambute
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 2,539
- 758
Alikuwa wapi siku zote.
Its toooooooooo late...
Swala sio siku zote....swala ni kweli mbowe ni fisadi. Na anatuhumiwa so aachie uongozi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa wapi siku zote.
Its toooooooooo late...
Hivi Zitto huna washauri????!!!!Silence is a good weapon bro.Jipange,usitake kuonesha misuri,wengi wanakupotosha kwa kudhani unaungwa mkono na wengi,lakini wanaishia kukupotosha tu.Dont seek public mercy.Bahati mbaya sana,hakuna binadamu yeyote duniani aliyejaliwa kusahau kama mtanganyika(hii ni kwa hisani ya katiba mpya).Bado unazo ndoto nyingi,bado ni kijana tena mwenye akili nzuri,haya yoooooooooote,unayazungumza,lakini hata mwenyewe unasihia kujituhumu,ni kwa faida ya nani????!!!.Mimi ningekuelewa kama ungewaita waandishi wa habari na kuwaleleza kwamba unaomba msamaha ya kwamba ulishirikinana na Mwenyekiti wako kuchukua mafungu kwa Mkono,na wewe ukafaidi magari.That would have sounded well.Think green Bro!
Swala sio siku zote....swala ni kweli mbowe ni fisadi. Na anatuhumiwa so aachie uongozi.
Alikuwa wapi siku zote.
Its toooooooooo late...
Wakuu, inasemekana Zitto Kabwe ali-post facebook hii kitu halafu aka-edit later.
Original post:
Revised Post:
Kutoka Gazeti la Raia Tanzania