Zitto aanika siri nyeti za Mbowe! Adai hatakufa kama Chacha Wangwe
Mwambieni Zito atulie ili Akili zimrudi naona kichwa kimebaki kinavuma kama debe tupu.
 
Kama ni kweli kuwa amepokea fedha zaidi ya mamilioni kutoka kwa vyanzo tata nje ya chama na utaratibu ulio wazi wa kukusanya fedha za kampeni...

Ili kulinda heshima yako, ya chama, kujenga imani ya watanzania walioko nyuma yenu, unatakiwa kujiuzulu uenyekiti wa chadema mapema.

Hili nalo likipita bila kulipa uzito ile kauli ya chadema kua chama cha kibabaishaji itasimama.
 
Kuleta tuhuma mpya na kuhalalisha kuwa zako ni za kweli ni kukiri hufai kabisa na kwamba hutaki kuondolewa peke yako which is the fact, you must go! Pia umethibitisha Mbowe alipokea hela ikatumiwa na chama we umepokea kwa ajili ya kuisaliti CDM na watz na kuanza kujijenga kwa maslahi yako sasa kimenuka be wise otherwise unaendelea kujimaliza kaka!

hilo nalo neno.....tuhuma za zitto ni nyepesi....
 
Tutajua mengi ila sio time la kutifuana! Nawe zitto kama uliyajua haya kwanin hukuyasema mwanzo?! Huu ndo unafik tunaoupinga cku zote!
 
Alikuwa wapi siku zote.
Its toooooooooo late...

Lakini vipi hizo tuhuma za mwenyekiti ni kweli?
“Mimi ni mbunge, bungeni nimekuwa nikichangia watu mbalimbali mimi kama Freeman, si ajabu watu wengine kunichangia. Hapa jambo la msingi ni kwamba unapewa pesa kwa sababu gani, kwa nia ipi? Kupewa pesa na Kikwete au CCM si tatizo lakini unapewa pesa kwa sababu zipi, kwa malengo gani?” alihoji Mbowe
 
Kama ni kweli kuwa amepokea fedha zaidi ya mamilioni kutoka kwa vyanzo tata nje ya chama na utaratibu ulio wazi wa kukusanya fedha za kampeni...

Ili kulinda heshima yako, ya chama, kujenga imani ya watanzania walioko nyuma yenu, unatakiwa kujiuzulu uenyekiti wa chadema mapema.

Hili nalo likipita bila kulipa uzito ile kauli ya chadema kua chama cha kibabaishaji itasimama.

Tuhuma kuwa Mbowe alipewa pesa na zikatumika kwenye kampeni za chama, tarime (ubunge) na kwa Dr Slaa (uraisi), sioni kama ni tatizo. Tena tulitakiwa kumsifu Mbowe kama strategic CEO anayeweza kusolicit funds kufanikisha malengo ya organisation. Hii ni kwa sababu hapa hakupewa kama Mbowe, bali CHADEMA. Nadhani tuhuma za Zitto zingekuwa na mashiko kama angesema kama Mbowe alishapewa pesa kwa ajili ya kusaliti chama kama ilivyo kwa Zitto aliyepewa magari ili auze jimbo. After all Zitto kama mtu aliyekuwa naibu katibu mkuu tutamshangaa kwa kukosa collective responsibility na bado akajipambanua kama kiongozi anayefaa kuaminiwa. Mbona hajalalamikia pesa ambazo CHADEMA ilishawahi kupewa na Sabodo ambaye naye ni mwanaCCM? Zitto asitutoe kwenye reli, ajibu hoja, " je alihongwa na akauza majimbo ya uchaguzi kwa CCM? Full stop.

Pili, inawezekanaje sasa hivi Zitto anataka tumuamini kwa asemayo, ili hali maneno yake yamekuwa yakibadilika siku hadi siku. Ikumbukwe, ni Zitto huyu huyu aliyesema kwenye press conference kuwa alijiondoa kuwa signatory wa chama tangu mwaka 2010, ilhali kumbe hajawahi hata kuwa. Pili ni Zitto huyu huyu aliyejipambanua kuwa ana majina ya watu walioficha fedha Uswisi, na hadi leo kushindwa kuyatoa, na badala yake kuishia kuapa kuwa hana. Tatu, ni Zitto huyu huyu aliyetudanganya kuhusu mshahara wa waziri mkuu. Nne ni Zitto huyu huyu kwenye moja ya maandiko yake amewahi kusema ana magari matano, lakini jana kasema anayo mawili. Sasa tutamwaminije. je huoni kuwa kama ilivyo kawaida yake anataka kudivert attention yetu? Uongo wake unaweza kuorozeshwa kwa listi ndefu sana.

Zitto si msafi tena na hasafishiki. Period
 
Mbowe wala hahitaji kuchukua pesa ndogo ya chama kwani pesa anayo na ndio imejenga chama hadi sasa mnatamani kuwa viongozi. Nendeni mkaanzishe vyama vyenu mvijenge ili watu wavitamani. Kwahili imekekula kwenu.

Huujui utamu wa pesa wewe, Chadema kwa Mbowe ni biashara kama ilivyo Billicanas..
 
- Kaka umesoma vizuri between the lines majibu ya Mwenyekiti wako au unakurupuka tu, soma vizuri uone anachokubali na asichokubali!1

Le Mutuz

Hili la kupewa mil 100 na Rostam Aziz - fisadi hakuna mtu anaweza kulikuba labda watu wenye ufinyu wa kuelewa...
unakataa nini unakubali nini...

Iweje usimamie ukweli halafu ushirikiane na fisadi....
 
Bora ya Mbowe aliyekuwa hata na mke kuliko Zitto una watoto 4 wa nje wote kila mmoja na mama yake ....kaa kimya bwana mdogo...we nakukumbuka sana ulivomtuma mhudumu pale double tree aje kuomba namba ya simu ya mke wangu na 300,000/= ukampa...form that day nilikudaharau sana ....
Kamanda! Kama suala la kutokuwa na mke mbona Chadema viongozi wake hawajawahi kufunga ndoa? labda tufahamishe lini John Mnyika alifunga ndoa? Lini Dr.Slaa alifunga ndoa? Acheni siasa za makengeza.
 
Last edited by a moderator:
"Kupewa pesa na Kikwete au CCM si tatizo lakini unapewa pesa kwa sababu zipi, kwa malengo gani?” alihoji Mbowe.
Kwisha habari yako... Tafuta taaluma nyingine!
 
Ni dhahiri kwamba mpaka sasa chuma kingali moto.
Katika kipindi kisichopungua miezi mitatu sasa chama chetu cha CHADEMA ambacho kwenye miaka ya 1990 baba wa taifa Hayati Julius Kambarage Nyerere aliwahi kukiri kwamba ndicho chama pekee cha upinzani kilicho na sera nzuri zinazoweza kuongoza dola bila kuwagawa Watanzania, kiko katika wakati mgumu wa kujipembua na kujisafisha ili kuweka taswira nzuri kwa Watanzania ambao wameshuhudia hali ya sintofahamu ndani ya chama hicho.

Kinachoendelea ndani ya CHADEMA kwa sasa ni kama mchezo wa kuigiza na kunahitajika busara za hali ya juu ili kuweka mambo sawa. Ikumbukwe kwamba, Licha ya Chadema kuwa na wanachachama wengi, lakini pia kimejizolea mashabiki wengi hapa nchini na nje ya nchi wanaohitaji mabadiliko ya kweli ndani ya nchi hii.

Kitendo cha Chadema kuaminika na Watanzania hadi kujizolea madiwani wengi na wabunge wengi katika uchaguzi mkuu na chaguzi ndogo ndogo zinazofanyika hapa nchini si juhudi za mtu mmoja, bali ni juhudi za viongozi, wanachama na washabiki wa chama hicho.

Nawaomba sana wenye mapenzi mema na nchi hii tuombe sana kwa Mwenye enzi Mungu atuepushe na jinamizi hili ili juhudi zilizofanyika kwa takriban miaka 15 katika kukijenga chama zisije zikapotea bure na Chama chetu kusambaratika.

Nawaomba wazee wenye busara wajitokeze kunusuru hali ya mambo ndani ya chama chetu.

Mungu ibariki Chadema

Mungu ibaruiki Tanzania
 
Mwambieni Zito atulie ili Akili zimrudi naona kichwa kimebaki kinavuma kama debe tupu.
"Mimi ni mbunge, bungeni nimekuwa nikichangia watu mbalimbali mimi kama Freeman, si ajabu watu wengine kunichangia. Hapa jambo la msingi ni kwamba unapewa pesa kwa sababu gani, kwa nia ipi? Kupewa pesa na Kikwete au CCM si tatizo lakini unapewa pesa kwa sababu zipi, kwa malengo gani?" alihoji Mbowe
 
Mbowe wala hahitaji kuchukua pesa ndogo ya chama kwani pesa anayo na ndio imejenga chama hadi sasa mnatamani kuwa viongozi. Nendeni mkaanzishe vyama vyenu mvijenge ili watu wavitamani. Kwahili imekekula kwenu.

Huujui utamu wa pesa wewe,Chadema kwa Mbowe ni biashara kama ilivyo Billicanas..
 
Nadhani huu unaoendelea ni utoto, kuna mambo mengi sana ya kufanya na kusema, kama CDM imegundua ZZK ni msaliti na tayari mnao uamuzi ni vizuri kukaa kimya na kuendelea na mambo mengine. Na kama ZZK anajua mambo mengi ya viongozi wenzake waliopita ni vizuri akae kimya nakuanza kutafakari upya. Kuongea sana na kujidai kuwa unazo kashfa nyingi za wenzako jaribu kufikiri ni kwa faida ya nani? Kama ulikuwa unazijua toka siku nyingi mbona hukuzisema tangu awali? Haya majibishano yenu kwa waelewa watakuona wewe ndio unatatizo mbali na hawa wanaokushabikia. Tuliza akili maana uyafanyayo haya ni hasira na hasira ya mwanadamu haitendi haki ya Mungu. Na hasira hukaa kifuani mwa --------: zaidi ya yote Musa pia alipewa jukumu la kuwavusha ISRAEL toka misri lakini aliposhupaza shingo kwa kiburi aliishia kuona kwa mbali, ndivyo ilivyo hata kama ulishiriki muda mrefu katika kukijenga chama sio maana yake lazima ukiingize ikulu. Lakin aonywae mara nyingi akishupaza shingo huanguka ghafla wala hata pata dawa. Na miluzi mingi porini humpoteza mbwa porini. Ni Ushauri tu.
 
Mfa maji haachi kutapa tapa, zitto kushnei.
Kashfa ya kupewa magari, hajaikubaliwa wala kuikataa, badala yake anajufanya kutoa the same. Mbowe ameshakanusha, yeye? awe mstaarabu kama Wenzake wamekubali makosa na adhabu yeye anajifanya Mungu mtu.? Zito anaonyesha utovu wa nidhamu na lack of pilitical tolerance. I cant believe he Chair a Great Political Party like CHADEMA.
 
Kama ni kweli kuwa amepokea fedha zaidi ya mamilioni kutoka kwa vyanzo tata nje ya chama na utaratibu ulio wazi wa kukusanya fedha za kampeni...

Ili kulinda heshima yako, ya chama, kujenga imani ya watanzania walioko nyuma yenu, unatakiwa kujiuzulu uenyekiti wa chadema mapema.

Hili nalo likipita bila kulipa uzito ile kauli ya chadema kua chama cha kibabaishaji itasimama.

Wewe ni nani hasa hata umuamuru Mbowe kujiuzuru..!!?
 
Kama ni kweli kuwa amepokea fedha zaidi ya mamilioni kutoka kwa vyanzo tata nje ya chama na utaratibu ulio wazi wa kukusanya fedha za kampeni...

Ili kulinda heshima yako, ya chama, kujenga imani ya watanzania walioko nyuma yenu, unatakiwa kujiuzulu uenyekiti wa chadema mapema.

Hili nalo likipita bila kulipa uzito ile kauli ya chadema kua chama cha kibabaishaji itasimama.

Kabwe kakutuma wewe huna lolote na bado sinema ndio imeanza
 
Back
Top Bottom