Zitto aanika siri nyeti za Mbowe! Adai hatakufa kama Chacha Wangwe
siasa ni biashara nzuri.....ila kuna faida na hasara kama zilivyo biashara nyingine......
 
Kama ni kweli kuwa amepokea fedha zaidi ya mamilioni kutoka kwa vyanzo tata nje ya chama na utaratibu ulio wazi wa kukusanya fedha za kampeni...

Ili kulinda heshima yako, ya chama, kujenga imani ya watanzania walioko nyuma yenu, unatakiwa kujiuzulu uenyekiti wa chadema mapema.

Hili nalo likipita bila kulipa uzito ile kauli ya chadema kua chama cha kibabaishaji itasimama.
Kwa hiyo mtu akikutuhumu tu bila kutoa ushahidi basi mtu ajiuzuru tu,basi hii itakuwa nchi ya wajinga!
 
Nyie mnaonekana mnapambania sana buku saba ila mtaambulia buku 300 mmejitahd ila kmekula kwen mmechelewa zto hana lake ktk siasa amuangalie mrema bye bye zzk
 
Kwa anaemjua hili lijamaa litoto la Mzee Malecela hana haja ya kujadili alichokiweka humu ndani.

Pole sana mzee wetu Malecela ila kitanda hakizai harama, laiti ungelijua toto litakalo zaliwa ungeacha usiku ule upite japo kwa Masturbation tu.
 
Tuhuma kuwa Mbowe alipewa pesa na zikatumika kwenye kampeni za chama, tarime (ubunge) na kwa Dr Slaa (uraisi), sioni kama ni tatizo. Tena tulitakiwa kumsifu Mbowe kama strategic CEO anayeweza kusolicit funds kufanikisha malengo ya organisation. Hii ni kwa sababu hapa hakupewa kama Mbowe, bali CHADEMA. Nadhani tuhuma za Zitto zingekuwa na mashiko kama angesema kama Mbowe alishapewa pesa kwa ajili ya kusaliti chama kama ilivyo kwa Zitto aliyepewa magari ili auze jimbo. After all Zitto kama mtu aliyekuwa naibu katibu mkuu tutamshangaa kwa kukosa collective responsibility na bado akajipambanua kama kiongozi anayefaa kuaminiwa. Mbona hajalalamikia pesa ambazo CHADEMA ilishawahi kupewa na Sabodo ambaye naye ni mwanaCCM? Zitto asitutoe kwenye reli, ajibu hoja, " je alihongwa na akauza majimbo ya uchaguzi kwa CCM? Full stop.

Pili, inawezekanaje sasa hivi Zitto anataka tumuamini kwa asemayo, ili hali maneno yake yamekuwa yakibadilika siku hadi siku. Ikumbukwe, ni Zitto huyu huyu aliyesema kwenye press conference kuwa alijiondoa kuwa signatory wa chama tangu mwaka 2010, ilhali kumbe hajawahi hata kuwa. Pili ni Zitto huyu huyu aliyejipambanua kuwa ana majina ya watu walioficha fedha Uswisi, na hadi leo kushindwa kuyatoa, na badala yake kuishia kuapa kuwa hana. Tatu, ni Zitto huyu huyu aliyetudanganya kuhusu mshahara wa waziri mkuu. Nne ni Zitto huyu huyu kwenye moja ya maandiko yake amewahi kusema ana magari matano, lakini jana kasema anayo mawili. Sasa tutamwaminije. je huoni kuwa kama ilivyo kawaida yake anataka kudivert attention yetu? Uongo wake unaweza kuorozeshwa kwa listi ndefu sana.

Zitto si msafi tena na hasafishiki. Period
mkuu jamii inataka nini na wewe unasema nini hapa, ni sahihi kutumia fedha chafu katika jambo halali??? mpaka hapo credibility ya mwenyekiti ipo hoi
 
Zitto hajajibu mashtaka kwake kuhusu magari aliyopewa na Mkono. Two wrongs do not make a right.

Kabla ya ku deflect mashtaka kwa kuibua uozo wa mpinzani wako, jibu mashtaka kukuhusu wewe. Hata kama ni kwa kukubali tu.This deflection is one of the oldest tricks in the playbook.

Kwa wazoefu wa habari hizi, usipojibu tuhuma maana yake umekubali ni kweli. Kwa hiyo Zitto kakubali kwamba ni kweli kapewa magari na mkono, lakini anasema wanaomtuhumu nao wana yao kama hayo.

Hili saga linathibitisha yale niliyokuwa naandika hapa kitambo.

Hakuna Zitto wala uongozi wa CHADEMA, wote ni wale wale tu.

amejibu Kaka tembelea acc. yake ya FB
 
Mbowe anapewa pesa na CCM alafu anasema sio tatizo,huku upande wa pili wanamtukana Zitto na kusema anatumika na CCM bila ushahidi

Alafu badala ya kupeleka kwenye chama kama "msaada" toka CCM,yeye anaenda kukopesha Chama!!huyu hafai kuwa kiongozi

Sitashangaa kusikia hizo pesa ndo zilizotumika kufanya starehe Dubai na Joyce Mukya!
 
kwa maelezo ya mbowe hapo mwiso katika gazeti la raia mwema ina maana kakubali ni mpiga dili..

Unauliza kanzu kwa shekhe?Mbowe ni mfanyabiashara na wakati wote yeye anawaza kuvuna pesa tu..

Umesahau ile kuiuzia Chadema fuso tatu kwa Million 540?chezea Mbowe wewe!!
 
Nyambafu..... Kojoa ukalale ukue kwanza.
 
amen shoga angu, kabla hata maombi hayajaanza, naomba kusema tena amennnnnnnnn!
 
Kamanda! Kama suala la kutokuwa na mke mbona Chadema viongozi wake hawajawahi kufunga ndoa? labda tufahamishe lini John Mnyika alifunga ndoa? Lini Dr.Slaa alifunga ndoa? Acheni siasa za makengeza.

Kwa mujibu wa dini ya kiislamu Zitto ni mzinzi na amezaa mtoto kwa uzinzi na anaendelea kuzini kuoa hataki. Huyu siyo bure iko tatizo.
 
Last edited by a moderator:
kwa maelezo ya mbowe hapo mwiso katika gazeti la raia mwema ina maana kakubali ni mpiga dili..

Unauliza kanzu kwa shekhe?Mbowe ni mfanyabiashara na wakati wewe yeye anawaza kuvuna pesa tu..

Umesahau ile ya kuiuzia Chadema fuso tatu kwa Million 540?chezea Mbowe wewe!!
 
wasomi wetu hao....aiseeee nchi hiii huwezi amini ni kama mtu asiesoma mhhhhhh wacha wazungu wachukuwe dhahabu zetu tutazifuata baadae kama lile limjusi
 
Kumbukeni huo ni mwanzo na yanamhusu mwenyekiti pekee na ni nusu ya theruthi ya dhambi zake. Bado hatujamzungumza aliemfundisha Zitto USHIRIKINA aka Uchawi ambaye ni Dr.W.Slaa na vifaranga wengine.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom