chanika2013
Member
- Jan 5, 2014
- 7
- 0
Kwakweli politik nouma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu hao hao watatu wanne wa uongozi wa juu wa CHADEMA wametuonesha kwamba zile hadithi zote za ufisadi and list of shame zilikuwa ni habari za danganya toto tu, na wao wanaabudu katika madhabahu hayo hayo.
Na kwa kutaka kumminya Zitto asipate haki yake ya kusikilizwa na Baraza Kuu, wametoa nafasi ya malumbano yao ya ndani kujulikana nje.
Kama ulifikiri CHADEMA kilikuwa chama kilichokuwa tayari kukomboa Watanzania fikiri tena.
Bila kuvaa miwani ya kioo chenye rangi ya "kipendacho roho hula nyama mbichi".
Unaposema "inawezekana ndugu hao walikosea" unaonesha cognizant dissonance ya hali ya juu.
Huku si kukosea tu, useme nilikuwa sijui mlango wa mbele uko wapi nimeingilia mlango wa uani kwa bahati mbaya. This seems to be a deliberate scam with some intricate planning to protect personal interests, how would you let them off the hook that easily if the allegations carry weight?
Especially if their entire careers are based on fighting graft?
Kwa tuhuma hizi nzito alizozitoa mh. Zitto Kabwe dhidi ya Mwenyekiti wa Chadema mh. Freeman Eikaeli Mbowe, Chadema inabidi ijibu coz its very serious na wakikaa kimya ina maana yanayosemwa na mh. Zitto dhidi ya mh. Mbowe ni ya kweli...basi Chadema haitakuwa na locus standi ya kunyooshea watu kwa tuhuma za ufisadi na michezo michafu...tunamtaka mh. Mbowe atoke kukanusha au tuziamini.
Kwa tuhuma hizi nzito alizozitoa mh. Zitto Kabwe dhidi ya Mwenyekiti wa Chadema mh. Freeman Eikaeli Mbowe, Chadema inabidi ijibu coz its very serious na wakikaa kimya ina maana yanayosemwa na mh. Zitto dhidi ya mh. Mbowe ni ya kweli...basi Chadema haitakuwa na locus standi ya kunyooshea watu kwa tuhuma za ufisadi na michezo michafu...tunamtaka mh. Mbowe atoke kukanusha au tuziamini.
Kweli Tindu Lissu ni kifaranga tu...haya mambo ya Mkono,Mbowe na Zitto wanayajua hawa watatu vizuri sana,kuyaingilia asiyoyajua ni kujidharirisha kama hivi....
Mkono anasema hajawahi kuwa na issue yoyote ya kuongea na Lissu zaidi ya mijadala ya kibunge sembuse hayo ya kumpa fedha Zitto aliyodai ameyapata kwa Mkono.Ndio tatizo la kifaranga kuingilia ugomvi wa mama yake.
MAMBO MSETO 24: LISSU MATATANI, ZITTO, MKONO WAMPA VIDONGE VYA MAUMIVU MAKALI
mbowe atabaki salama , zitto atabaki ana weweseka . hizo ni siasa za kina mwigulu na kibajaji, si zitto shtuka heshima yako itaondoka bila sababu wakati bado una hitajika , kwani kukataliwa chadema si mwisho wa siasa
Hao mazoba ndio waliitwa ikilu kusikilizwa!
Pole sn! Mmegundulika njama zenu! Mlizoea Kunywa Damu za vyama vya Siasa ila kwa Cdm itawanywa nyie!
NCCR mmeinywa
Cuf mmeinywa
Sijui Udp sijui Tlp vyote mmevinywa!
Cdm hainyweki!
mkuu nakusoma taratibu lakini siasa ni mchezo mchafu Zitto kachukua magari mawili kutoka Mkono kosa,lakini hajajumlishwa kwenye yale makosa 11.
Mbowe kapewa pesa na Mkono hii haionekani analalamika kupewa hela na CCM haina shida inategemea umepewa za nini,halafu hao wanaokupa ndio mafisadi wakubwa.
Dah! yaani watu wanamuona Mbowe na Slaa kama malaika inasikitisha sana kwa kizazi hichi kuaminishwa hivi.
Umesahau Mabere Marando ni wakili wa baadhi ya hao mafisadi....?