Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiranga
I love this piece of writing that you depicted as per quote below; Going with this regard, now you could easily see what is all about the phenomenon "nidhamu".
"Huku si kukosea tu, useme nilikuwa sijui mlango wa mbele uko wapi nimeingilia mlango wa uani kwa bahati mbaya. This seems to be a deliberate scam with some intricate planning to protect personal interests, how would you let them off the hook that easily if the allegations carry weight?"
Mabere Nyaucho Marando tunamjua siku nyingi yeye mzee wa danadana, tena kashajionea zogo CHADEMA karudisha kadi asije kuibuliwa madili yake naye bureee.
Nani mtani Jembe?
Kwa tuhuma hizi nzito alizozitoa mh. Zitto Kabwe dhidi ya Mwenyekiti wa Chadema mh. Freeman Eikaeli Mbowe, Chadema inabidi ijibu coz its very serious na wakikaa kimya ina maana yanayosemwa na mh. Zitto dhidi ya mh. Mbowe ni ya kweli...basi Chadema haitakuwa na locus standi ya kunyooshea watu kwa tuhuma za ufisadi na michezo michafu...tunamtaka mh. Mbowe atoke kukanusha au tuziamini.
Kaka habari za wizara ya mawasiliano?
Naona sasa ni hadithi za "ukimwaga ugali,mi namwaga mboga"!
Niliwahi sema na leo narudia "ukifuatilia sana siasa na wanasiasa wa Tanzania,unaweza kuwa mwehu"
Anyway,tutafuka tu japo kwa ghrama kubwa za mali,fedha na maisha ya watu.
Wamejificha wapi sijui ngoja niwaitekumbe Lissu ni kifaranga...hiyo nimeipenda!
wako wapi vifaranga wengine maarufu hapa JF waje watetee mama zao!
Chezea Mzimu wa Chacha Wangwe wewe....Wakuu, inasemekana Zitto Kabwe ali-post facebook hii kitu halafu aka-edit later.
Original post:
Revised Post:
Kutoka Gazeti la Raia Tanzania