Zitto aanika siri nyeti za Mbowe! Adai hatakufa kama Chacha Wangwe
Mbowe hatabaki salama, credibility yake kama kiongozi imeshuka mno, ameonesha upeo mdogo wa uongozi kwa kuiingiza cdm katika mgogoro usio wa lazima, Hana maadili, hamheshimu mkewe, Kumbe anachukua hela kutoka CCM.

Zitto ana future, ni mtaji wa kisiasa kwa chama chochote atakachoamua kujiunga nacho, isitoshe dynamics za vyama vya siasa na hali yaq kisiasa itabadirika sana ikija katiba mpya.

Kwa hiyo wa kulaumiwa ni Mbowe, kwa kuharibu kazi ya mikono yake mwenyewe!. MBOWE HAWEZI KUQUALIFY KUCHUKUA UONGOZI WA JUU WA NCHI HII, AT THE END OF THE DAY ATABAKI CHINI YA MTU, LABDA ANG'ANG'ANIE UENYEKITI TU!

Aliyeiingiza CDM katika mgogoro usio na na lazima ni ZZK akishirikiana na CCM wakidhani wataiua CDM. Adui wa CCM ni wao wenyewe baada ya kushindwa kuleta maisha bora kwa watanzania na badala yake kupora mali ya WaTz. ZZK kwishney hata angeleta hoja gani ataonekana kuwa ni mwongo wa kawaida tu kwani alipaswa kuyasema hayo kabla hajafanya huo usaliti.
Katika siasa watu wanalenga watu watakaowavusha kutoka hali mbaya kwenda sehemu nzuri zaidi kimaisha, maisha ya watu na nyumba zao siyo kitu kinachoangaliwa. Clinton alifanya oral sex ndani ya Ikulu wamarekani hawakuangalia hayo waliangalia mafanikio ya uongozi wake.
Mzee Zuma naye utasemaje? ZZK aende zake akajiunge na waliomtuma hana tofauti na Amaan Kabourou. CDM itashinda kwa sababu kubwa moja ya msingi ambayo aliisema JK kuwa kuna uwezekano wa CCM kushindwa kutokana na kukumbatia rushwa. Sioni jinsi CCM itatoka katika mtego huu kwani wote wanaotaka Urais wanategemea fedha ya rushwa. Huwezi kuing'oa rushwa wakati umeingia madarakani kwa rushwa.
Dhambi ni mtaji na unakua hivyo mtaji huo wa dhambi ndiyo utakaowahukumu
 
Yule jamaa wa CHADEMA DMV aliyewaasa kwa hamaki kubwa viongozi wa taifa CHADEMA wasipoteze malengo yuko wapi?

Ningependa kumsikia.

Maana jamaa aliblast kama alijua kuwa haya yatakuja kutokea.
 
Nimepata mashaka kuhusu ukweli wa kibwagizo "CHADEMA ni chama makini" kama tunavyoaminishwa mara zote.Imani yangu imetetereka mno,ninasikitika sana.
 
Kwa tuhuma hizi nzito alizozitoa mh. Zitto Kabwe dhidi ya Mwenyekiti wa Chadema mh. Freeman Eikaeli Mbowe, Chadema inabidi ijibu coz its very serious na wakikaa kimya ina maana yanayosemwa na mh. Zitto dhidi ya mh. Mbowe ni ya kweli...basi Chadema haitakuwa na locus standi ya kunyooshea watu kwa tuhuma za ufisadi na michezo michafu...tunamtaka mh. Mbowe atoke kukanusha au tuziamini.

Chezea Mzimu wa Chacha wangwe wewe...
 
Mkuki kwa nguruwe sio??

Mwenyekiti CHADEMA anatia aibu,aje akanushe tuhuma zake sasa na yeye

Tundu lisu anacheza ngoma ambayo haijui,wanamtanguliza tu kichwa kichwa yeye hajui kama anajidhalilisha!

Ni ujinga mtu mwenye elimu kama ya tundu kupelekwa pelekwa na kujazwa uongo na mbowe...

Mbowe atoke atuachie chama chetu alishashindwa kabla hajaanza

Na Dr Slaa ajiangalie naona anapotea taratibu

Chezea Mzimu wa Chacha wangwe wewe....
 
Mzimu wa Chacha wangwe umebisha hodi CDM tutashuhudia vioja Lukuki R.I.P chacha wangwe
 
Zitto chaguo la umma....mbowe chaguo la mtei akiongwa yeye na ccm anaona sawa wakiongwa wenzie anaita mafisadi
 
Yule jamaa wa CHADEMA DMV aliyewaasa kwa hamaki kubwa viongozi wa taifa CHADEMA wasipoteze malengo yuko wapi?

Ningependa kumsikia.

Maana jamaa aliblast kama alijua kuwa haya yatakuja kutokea.

Siku ya mbwa kufa pua zote huziba. Wahega walisema.
 
Mtanzania mwenzangu Zitto Kabwe, umekuwa very reactive. Be cautious and control your emotions. Unaanza kuexpose your weakest side.

Unarejea matukio ya 2005 leo 2014, ulikuwa wapi? Unatuaminisha umenyamazia mangapi ktk taifa hili? On every action theres equal and opposite reaction. DID U?

WAMEMWAGA UGALI? Unamwaga mboga wakati wenzio weshashiba??!!

oyooooo....! zzk kafa kaoza kabsaaa (kisiasa lkn).
 
Kwa tuhuma hizi nzito alizozitoa mh. Zitto Kabwe dhidi ya Mwenyekiti wa Chadema mh. Freeman Eikaeli Mbowe, Chadema inabidi ijibu coz its very serious na wakikaa kimya ina maana yanayosemwa na mh. Zitto dhidi ya mh. Mbowe ni ya kweli...basi Chadema haitakuwa na locus standi ya kunyooshea watu kwa tuhuma za ufisadi na michezo michafu...tunamtaka mh. Mbowe atoke kukanusha au tuziamini.

tUMIA AKILI ZITO ALIKUWA WAPI KUTOA SIRI HIZO ZAMANI ZILIPOTOKEA? SASA ANATAPATAPA KWA SABABU YAMEMFIKA HUWEZI KUJIBU UTUMBO NA UKIJIBU HUNA AKILI.
 
funza said:
Post No. 1142 - R.I.P chacha wangwe
funza said:
Post No. 1145 - Chezea Mzimu wa Chacha wangwe wewe...
funza said:
Post No. 1146 - Chezea Mzimu wa Chacha wangwe wewe...
funza said:
Post No. 1147 --Chezea Mzimu wa Chacha wangwe wewe...
funza said:
Post No. 1148 - Chezea Mzimu wa Chacha wangwe wewe...
funza said:
Post No. 1149 - Mzimu wa Chacha wangwe umebisha hodi CDM tutashuhudia vioja Lukuki R.I.P chacha wangwe
Mods;Paw,PainKiller,Fang,Buchanan na Cookie hizi ni posts 6 ndani ya ukurasa moja za mchangiaji anayejiita funza! Je tutafika? Kwa nini upuuzi huu mnauvumilia? Ni hayo tu.
 
Last edited by a moderator:
Kuna kipindi huwa nakata tamaa kabisa na hali ya siasa Tz..
Yani kama Maigizo Aaah..
🙁

sure
yaani hata mimi nashindwa kujua kama viongozi wakubwa wanafikia hapa sasa sijui hata tumwamini nani?
nashawishika kumkabidhi mungu nchi hii aikomboe yeye sisi wananchi tusimamie maombi
 
Tuhuma zingetupwa upande wa pili ungesikia nguvu ya umma kupinga ufisadi.
Bravo JK kuwachukulia poa watani manake wangekupasua kichwa bure wakati ni sanaa tu.
 
kwa hiyo mbio zetu zoote za pipo power ndio zinaishia hapa??? kweli???
Hebu tuendeleze chama jamani, miradi mingi ya CCM inapamba moto sasa hivi kwa sababu wanajua wakilegea wananchi wana option nyingine come 2015...
CDM ikifa leo tutarudi kule kule kwenye list za mikakati, mipango madhubuti na michakato kama ilivyokuwa miaka 10 iliyopita....kwa sababu hakutakuwa na accountability wala mtu wa kuwa nyooshea vidole.
tunahitaji uwepo wa CDM na sio lazima muende ikulu leo, bungeni tu na mtaani panatosha sana kuwawajibisha CCCM, huko ikulu mnaweza kwenda baadae
 
Back
Top Bottom