Zitto aanika siri nyeti za Mbowe! Adai hatakufa kama Chacha Wangwe
this is crazy politics where we go tz, who to trust??? amazing, kama ya richmond yalikuweepo haya ya zitto pia yapo kumbe hata CDM kuna mafisadi out of bound !! mhhh cjui itakuwaje once in white house!!!!!!!!!
 
namikumbusha yule jenerali aliezikwa Leo southafrican Frm Rwanda walimkosa Mara kadhaa live ya mwisho amekutwa.
 
Mbowe ni disgrace kwenye siasa za ushindani

mjanja mjanja tu wa mjini yule..eti ndiyo kiongozi wa upinzani what a disgrace kwa upinzani TZ

kaanza kusoma vitabu uzeeni anajifanya revolutionary leader na magwanda yake utafikiri mwanafunzi anayeota uanaharakati wakati akiwa campus bila kujua dunia halisi ikoje..utakuaje unapingana na tabaka ulilokulia, unaloishi na kupigana nao vikumbo kila siku na ulilozaliwa na kulelewa maisha yako yote kama siyo usanii na opportunist wa kuwadanganya watz. mwisho wake 2015 na haka kaNGO kake

wapinzani wa kweli watatoka CCM--Jk Nyerere
 
Hakuna cha upinzani hapa wooote ni wachumia tumbo tu. Chama changu ni sehemu inayoniingizia pesa . Sina muda wa kuongozwa na akili ndogo.

Sawa kabisa mkuu. Siasa za bongo ni njaa tu, hamna jipya!
 
kwa hiyo mbio zetu zoote za pipo power ndio zinaishia hapa??? kweli???
Hebu tuendeleze chama jamani, miradi mingi ya CCM inapamba moto sasa hivi kwa sababu wanajua wakilegea wananchi wana option nyingine come 2015...
CDM ikifa leo tutarudi kule kule kwenye list za mikakati, mipango madhubuti na michakato kama ilivyokuwa miaka 10 iliyopita....kwa sababu hakutakuwa na accountability wala mtu wa kuwa nyooshea vidole.
tunahitaji uwepo wa CDM na sio lazima muende ikulu leo, bungeni tu na mtaani panatosha sana kuwawajibisha CCCM, huko ikulu mnaweza kwenda baadae

Naona umeshakata tamaa ya kwenda ikulu
 
Kila mara nimekuwa nikiwaeleza jamaa zangu kwamba wanasiasa hawaaminiki ni wapuuzi na matatizo ya watanzania hayawagusi !! Hakukuwa na sababu kwa Stephen Kebwe kutoa rushwa kubwa kwa wapiga kura wakati Lamadi haina maji na pesa alizotumia zingeweza kusambaza maji robo ya jimbo lake ziwa victoria ni mita mia chache kutoka lamadi na ndoo ya maji pale inauzwa tsh 300 ! Never trust politicians as they are stupid too!

Kwani Lamadi ipo jimbo la Stephen Kebwe?? Nauliza tu!!
 
Hakika sikutegemea kuona Zitto anakuja low this much pamoja na kwamba niliamini ni mjinga , mjivuni , limbukkeni, ambaye Elimu yake si msaada .Zitto kwa tuhuma alizozitoa kwa Mbowe kweli nimeshagaa sana .Zitto aliuwa wapi kuyasema haya ? Zitto hata mimi menyewe najua ulipewa magari na mkono na ukaja nayo Kigoma na mojawapo ni double cabin mpya .Zitto kabla ya kumtukana Mbowe na kuzusha tueleze kwanza kama hukupewa magari watu waweke ushahidi .Kkwa ajili yako ndogo Mkono amekuwa wazi na alisema hili si mara moja kwamba anataka Chadema iwe na nguvu .Kwa mfano hawakuwa na Mbunge kwenye eneo lakini in the open alipigia kampeni Chadema kwa kuona wagombea wa CCM hawakuwa na sifa .Alisema in the open leteni watu wa kuwatetea kwenye halmashauri .Zitto ametoa tuhuma ambazo baada ya hili kuisha hajui kwamba atakuwa haaminiki tena .Kwa akili matope hii nani wa kukuamini tena siku za usoni maana sote tunajua tutaenda facebook na Twittere kusema tu .Haya umesha toa tuhumaweka ushahidi sasa ili uaminiwe .Ulianza kumchafua Slaa na diliza Lowasa ukaona hazina mashiko umeanza haya .Aibu yako na utashangaa Dunia .

Asiyemuamini Zitto ni ile misekule ya Mbowe na Dr.W.Slaa; hayo yanajulikana siku nyingi; na ndio sababu kubwa ya mvutano ndani ya uongozi; lile kundi la walaji ndio linalo shinikiza kumfukuza Zitto; Lissu baada ya kuonjeshwa pesa za kifisadi naye amejikita kwenye hili sakata anajitia kiburi siku baada ya kupewa mtaji wa biashara; nyie waganga njaa mnatumiwa tu hamna mnachokijua katika huu mzozo; hivi kwa akili yenu Zitto anahusika vipi na waraka wakati kitla mkumbo mhusika mkubwa wa uandishi ameweka wazi Zitto hausiki na wala hana alijualo inawingia vipi akilini nyie matutusa wakati babu mzinifu anapotaka kulazimisha eti Zitto yumo; CCM tunasema kwa uongozi wa taifa hili hakuna chama mbadala CCM tutaendelea na ushindi hadi hapo watakapopatikana wapinzani wa kweli wenye nia ya kuleta ushindani wa kisiasa!
 
Asiyemuamini Zitto ni ile misekule ya Mbowe na Dr.W.Slaa; hayo yanajulikana siku nyingi; na ndio sababu kubwa ya mvutano ndani ya uongozi; lile kundi la walaji ndio linalo shinikiza kumfukuza Zitto; Lissu baada ya kuonjeshwa pesa za kifisadi naye amejikita kwenye hili sakata anajitia kiburi siku baada ya kupewa mtaji wa biashara; nyie waganga njaa mnatumiwa tu hamna mnachokijua katika huu mzozo; hivi kwa akili yenu Zitto anahusika vipi na waraka wakati kitla mkumbo mhusika mkubwa wa uandishi ameweka wazi Zitto hausiki na wala hana alijualo inawingia vipi akilini nyie matutusa wakati babu mzinifu anapotaka kulazimisha eti Zitto yumo; CCM tunasema kwa uongozi wa taifa hili hakuna chama mbadala CCM tutaendelea na ushindi hadi hapo watakapopatikana wapinzani wa kweli wenye nia ya kuleta ushindani wa kisiasa!
Wewe huna akiri. Nahurumia nchi yangu kwa kuwa na raia kama wewe. Hivi wewe ukipewa hela ujeruhi mtu popote pale si utafanya hivyo kama mtaji wa CCM siku hizi?
Kwa nn unamwita babu mzinifu? Mke wake je? JK? Kapuya? Hufai na usirushe mawe wakati nyumba yako ya vioo.
Nakufundisha jinsi ya kuchambua mambo sasa.
Zitto ni mhuni. Anatumia njia za kigaidi kwa kudanganya watu kuwa anataka kuwa kiongozi...kufata democrasia. Nia yake ni kufika mbele akawabwaga watu wote kama Mbatia na NCCR. Hii ni njia ya kigaidi. Sasa amekamatwa. Anachokifanya ni kushika watu mateka. Yaani anatuogopesha kwamba akiguswa tu, anamlipua Mbowe, Slaa na wengineo, mradi tu watu waone kwamba CCM na CDM ni sawa, wote wahuni. Kuna kanuni moja tu ya kudeal na gaidi. No negotiations. Usiwahi kuwa na makubaliano na gaidi maana ukifanya hivyo, siku nyingine atafanya kingine. TUSIMAME KWA PAMOJA TUMWAMBIE ZITTO, LIPUA ULOWASHIKILIA LAKINI UKIWAACHIA TUNAKULIPUA. Maana yake ni kwamba, anaweza kusema lolote juu ya yeyote ila akimaliza, kwisha kazi.

Pengine Zitto ana point kuhusu Mbowe lakini alikuwa wapi muda wote? Mbona alikuwa na nafasi ya kwenda kwenye vikao? Si angesema huko? After all, huyu ni Zitto ambaye anakana tuhuma zote 11. Kaitwa akajieleze na apate muda wa kusema haya anayosema kupitia facebook. Kakataa! Huyu ni muhuni. No one should care about what he says. Ni huyu huyu ameimba karibu mwaka mzima kuhusu pesa za Uswiz. Mara kutaja majina baadae, oh, sitataja majina. Nashangaa hajamsingizia Mbowe kwamba ndo kamzuia kutaja majina. Zitto anatumia vibaya kodi za watanzania. Hafai kuwa mtu na hafai kuwa kiongozi...arudi huko baharini akaendelee na mikutano na wenzake.

Judge wa mahakama kuu tayari yupo contaminated. Hii kesi sio ngumu kama anavyodai ila anatafuta mwanya wa kumpa Zitto ushindi huku akipambana na kina Lissu. Akizidiwa ndo anasema kesho hili aende kuongea na walomtuma. Chadema inabidi kuwepo na plan B kwamba with or without judge, Zitto should go.
 
Asiyemuamini Zitto ni ile misekule ya Mbowe na Dr.W.Slaa; hayo yanajulikana siku nyingi; na ndio sababu kubwa ya mvutano ndani ya uongozi; lile kundi la walaji ndio linalo shinikiza kumfukuza Zitto; Lissu baada ya kuonjeshwa pesa za kifisadi naye amejikita kwenye hili sakata anajitia kiburi siku baada ya kupewa mtaji wa biashara; nyie waganga njaa mnatumiwa tu hamna mnachokijua katika huu mzozo; hivi kwa akili yenu Zitto anahusika vipi na waraka wakati kitla mkumbo mhusika mkubwa wa uandishi ameweka wazi Zitto hausiki na wala hana alijualo inawingia vipi akilini nyie matutusa wakati babu mzinifu anapotaka kulazimisha eti Zitto yumo; CCM tunasema kwa uongozi wa taifa hili hakuna chama mbadala CCM tutaendelea na ushindi hadi hapo watakapopatikana wapinzani wa kweli wenye nia ya kuleta ushindani wa kisiasa!

mpe na mkeo kabisa! Zitto bado hajaoa na anakosoa ndoa za wengine
 
Last edited by a moderator:
Wewe huna akiri. Nahurumia nchi yangu kwa kuwa na raia kama wewe. Hivi wewe ukipewa hela ujeruhi mtu popote pale si utafanya hivyo kama mtaji wa CCM siku hizi?
Kwa nn unamwita babu mzinifu? Mke wake je? JK? Kapuya? Hufai na usirushe mawe wakati nyumba yako ya vioo.
Nakufundisha jinsi ya kuchambua mambo sasa.
Zitto ni mhuni. Anatumia njia za kigaidi kwa kudanganya watu kuwa anataka kuwa kiongozi...kufata democrasia. Nia yake ni kufika mbele akawabwaga watu wote kama Mbatia na NCCR. Hii ni njia ya kigaidi. Sasa amekamatwa. Anachokifanya ni kushika watu mateka. Yaani anatuogopesha kwamba akiguswa tu, anamlipua Mbowe, Slaa na wengineo, mradi tu watu waone kwamba CCM na CDM ni sawa, wote wahuni. Kuna kanuni moja tu ya kudeal na gaidi. No negotiations. Usiwahi kuwa na makubaliano na gaidi maana ukifanya hivyo, siku nyingine atafanya kingine. TUSIMAME KWA PAMOJA TUMWAMBIE ZITTO, LIPUA ULOWASHIKILIA LAKINI UKIWAACHIA TUNAKULIPUA. Maana yake ni kwamba, anaweza kusema lolote juu ya yeyote ila akimaliza, kwisha kazi.

Pengine Zitto ana point kuhusu Mbowe lakini alikuwa wapi muda wote? Mbona alikuwa na nafasi ya kwenda kwenye vikao? Si angesema huko? After all, huyu ni Zitto ambaye anakana tuhuma zote 11. Kaitwa akajieleze na apate muda wa kusema haya anayosema kupitia facebook. Kakataa! Huyu ni muhuni. No one should care about what he says. Ni huyu huyu ameimba karibu mwaka mzima kuhusu pesa za Uswiz. Mara kutaja majina baadae, oh, sitataja majina. Nashangaa hajamsingizia Mbowe. Zitto anatumia vibaya kodi za watanzania. Hafai kuwa mtu na hafai kuwa kiongozi...arudi huko baharini akaendelee na mikutano na wenzake.

Judge wa mahakama kuu tayari yupo contaminated. Hii kesi sio ngumu kama anavyodai ila anatafuta mwanya wa kumpa Zitto ushindi huku akipambana na kina Lissu. Akizidiwa ndo anasema kesho hili aende kuongea na walomtuma. Chadema inabidi kuwepo na plan B kwamba with ir without judge, Zitto should go.

Mimi nina akili nyingi sana siwezi hata siku moja kujifananisha na waganga njaa kama wewe; nenda tena kwenye Biblia takatifu soma ili ujue nini maana ya mzinifu; migogoro ya Chadema tatizo sio Zitto tatizo ni wazinifu wawili waliojichukulia dhamana ya kuongoza chama; wanajua Zitto anajua uchafu wao na ndio maana hawalali usiku na mchana kutaka kumchafua!
 
Last edited by a moderator:
Mimi nina akili nyingi sana siwezi hata siku moja kujifananisha na waganga njaa kama wewe; nenda tena kwenye Biblia takatifu soma ili ujue nini maana ya mzinifu; migogoro ya Chadema tatizo sio Zitto tatizo ni wazinifu wawili waliojichukulia dhamana ya kuongoza chama; wanajua Zitto anajua uchafu wao na ndio maana hawalali usiku na mchana kutaka kumchafua!
Kwa hiyo Zitto akijua uchafu wao tufanyeje? Biblia inasemaje kuhusu uzinifu? Tupe jina la kitabu, haya na mstari kama una akili. Ukimaliza tueleze kwa nini Zitto macho yake yanaona uchafu wa viongozi wa CDM tu. Yakienda Uswiz yanaona dollar. Ukieleza hayo, nta debate na wewe. Vinginevyo huna hoja.
 
Last edited by a moderator:
Kutokana na project aliyopewa na magamba kumwendea kombo Zittto kachanganyikiwa. Alisema atarudi kufundisha naona ndio kilichobaki. Siasa imemchukia kwa uchafu wake.
 
Yan zzk jipange ulikiwa wap embu kaa pembeni miaka 7 imepita ulikuwa wap ujasema haya mimi nadhan ww zzk inazeza ukawa fisadi namba 1 katika taifa hili achana na siasa ww msomi angalia shughuli nyingine zzk hata mabilion ya uswiss na ww upo tafakari hauna mvuto ww ni ndumila kuili tunafaham hata ulivokuwa udsm ulikuwa msaliti brother tak care sana
 
Mie nilijua mapema Kuwa saccos itakufa tu hii!toka lini dj Akaongoza maprofessor?tena kwa miaka kibao na madarakani hataki ku toka na champ kikafanikiwa?viva ccm
 
Hahahahaha daa ndugu zang hapa tz hamna mzarendo wa kweri wote hao ni wanafiki.heb 2 bebe majembe 2kalime
 
Back
Top Bottom