MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,267
Ndugu MBUSHI, umepotoka,
Iliyo mpa chati Zitto ni hoja au ziara? Ile hoja iliyosababisha Zitto kusimamishwa ubunge ndio iliyokipa CHADEMA umaarufu, wengi wetu tulikua hatukijui. ila baada ya Zitto kutoka na ile hoja. Na CHADEMA wakatumia ile turufu ya Zitto kupata umaarufu. Kwa minajili hiyo Zitto ndiye aliyeibeba CHADEMA na sio CHADEMA kumbeba Zitto.
Asante.
Iliyo mpa chati Zitto ni hoja au ziara? Ile hoja iliyosababisha Zitto kusimamishwa ubunge ndio iliyokipa CHADEMA umaarufu, wengi wetu tulikua hatukijui. ila baada ya Zitto kutoka na ile hoja. Na CHADEMA wakatumia ile turufu ya Zitto kupata umaarufu. Kwa minajili hiyo Zitto ndiye aliyeibeba CHADEMA na sio CHADEMA kumbeba Zitto.
Asante.