Zitto aanika siri nyeti za Mbowe! Adai hatakufa kama Chacha Wangwe
Ina maana Cdm hamna hoja nyingine ni hii ya Zitto tu? Angalieni muda wenzenu wanafanya kampeni nyie mnamfikiria Zitto.

Nahisi mkishamaliza inshu ya Zitto mtahamia kwa Msando kwa kumtetea mteja wake. Teh teh teh..

Leteni hoja acheni ngonjera nchi iko gizani hii AMSHENI FIKRA.
 
Mimi Ninachojua Ni Kwamba ZZK Alikuwa Na Majukumu Mengi Sana Ya Kitaifa. Sasa Ccm Wakawa Wanampa Kazi Na Kumbana Sana Ili Asishiriki Katika Oparation Za Chama. Kwa Kuwa Ni Mtaifa Zitto Hakuwa Na Jinsi, Aliweka Uchama Kando Na Kulitumikia Taifa. Lakini Kumbe CCM Walifanya Hivi Ili Kumpunguzia Ushiriki Wake Katika Shughuli Za Chama. Mfano Wakati Kamati Kuu Ilipo Keti Zito Alitumwa Sudani, Lakini Alirudi Na Kuhudhuria Usiku Huo Huo. CCM Inawatu Wanao Fikiria Saaana. Kumkeep Bussy Zito Walitaka Wamchonganishe Na Chadema, Na Leo Hii Wamefanikiwa Chadema Hamuoni! Kwa Sasa Matarajio Ya Kushinda Uchaguzi Mkuu Hayapo Kwa Jambo Dogo Kama Hili! Tunarudishana Nyuma Kwa Kushindwa Kufikiri! Ona Wakaandaa Na Waraka, Hapo Ndo Wakawamaliza Kabisa Na Kukiri Kuwa Zitto Ni Msaliti, Mkimtoa Zitto Direction Ya Upinzani Itageuka 2015, Na Sijui Nilini Nchi Hii Itatulia Na Kuwa Na Upinzani Imara! Labda Ni Hadi Ccm Igawanyike Kama Alivyo Sema Nyerere
Whatever the case Zitto anatoka hatakiwi Chadema kwa gharama yeyote simple.
 
ZZK amempiga chini ya mkanda DJ MBOWE sasa watetezi wake mnaona alivyobaki uchi, na tunayo mengi ya MBOWE tunasubiri muda mwafaka , 2014 mtaisikia na SACCOS yenu yenye viongozi makengeza na VIBABU wazinzi.

Sielewi ni kwanini ccm wote wapo nyuma ya Zitto, kuna nini?
 
Hao mnamtetea ZZK si mumchukue? Ndo ujue ccm ni chama ambacho kinatumia akili nyingi sn ila tumejua janja yao, km mnaona ZZK ni muhim sn mchukueni? Kila kukicha ni chadema na ZZK yao yanawashinda
 
Phd yako ni ya ukilaza? CDM sio ya Mbowe wala Ztto. Chaguzi za chama zinakuja 2014. Chama kitapata viongozi waadilifu na wenye sifa
 
Wana JF,
Kama kuna jambo ambalo binadamu wa kawaida akiliona atashangaa basi ni haya anayofanya Zitto ndani ya Chadema!
Zitto Kabwe ni kiutuko ndani ya siasa!
Mwaka 2010 wakati wa uzinduzi wa kampeni za Urais pale Jangwani Zitto aliingia mitini.Kwa kumlea Mwenyekiti akasema Zitto amepewa jukumu la kufanya uzinduzi Kigoma, hakuna alichofanya Zitto.

Kwenye uchaguzi mdogo wa Igunga Zitto hakukanyaga...Dr. Slaa kwa kumlinda akasoma ujumbe ambao Zitto alipost facebook kuomba wanaigunga wamchague Kashindye!
Uchaguzi mdogo wa Arumeru hakwenda kabisa na badala yake akiwa Kigoma akatangaza kuwania Urais mwaka 2015 huku akijua (kutokana na katiba ya sasa) hana sifa ukiangalia umri!

Kwenye tukio la bomu mkutano wa Chadema Zitto alitoka Dodoma akakimbilia Dar!! Haya yote anayafanya akiwa kiongozi wa Chadema!!!

Zitto leo anatukana watu waliomlea kupitia mitandao ya kijamii!!
Zitto ni binadamu wa aina gani?

Zitto amewahi kupata kashfa nyingi lakini Mbowe amekuwa akimshauri, leo anamtukana.

Ndugu yangu Zitto; Uenyekiti unautaka umuongoze nani wakati kwenye shughuli muhimu za chama unaingia mitini?
Kama ni urais unataka huku ukijua huna sifa kikatiba mbona hukugombea 2005 na/au 2010?

Zitto ni mfano mbaya sana na hastahili kuigwa!

Mkuu nina imani Zitto anapenda kuendelea kuishi. Hawezi kula pesa za CCM halafu asitimize terms of reference alizopewa na Wassira na Mwigulu. Asipotimiza alichotumwa anaujua muziki wake kwani yaliyompata Wangwe Zitto anayajua vizuri sana. Ukila pesa ya CCM na lengo lisitimie wanakutanguliza kuzimu.

Acha atimize wajibu wake lakini historia itamhukukmu.

Tiba
 
Mimi Ninachojua Ni Kwamba ZZK Alikuwa Na Majukumu Mengi Sana Ya Kitaifa. Sasa Ccm Wakawa Wanampa Kazi Na Kumbana Sana Ili Asishiriki Katika Oparation Za Chama. Kwa Kuwa Ni Mtaifa Zitto Hakuwa Na Jinsi, Aliweka Uchama Kando Na Kulitumikia Taifa. Lakini Kumbe CCM Walifanya Hivi Ili Kumpunguzia Ushiriki Wake Katika Shughuli Za Chama. Mfano Wakati Kamati Kuu Ilipo Keti Zito Alitumwa Sudani, Lakini Alirudi Na Kuhudhuria Usiku Huo Huo. CCM Inawatu Wanao Fikiria Saaana. Kumkeep Bussy Zito Walitaka Wamchonganishe Na Chadema, Na Leo Hii Wamefanikiwa Chadema Hamuoni! Kwa Sasa Matarajio Ya Kushinda Uchaguzi Mkuu Hayapo Kwa Jambo Dogo Kama Hili! Tunarudishana Nyuma Kwa Kushindwa Kufikiri! Ona Wakaandaa Na Waraka, Hapo Ndo Wakawamaliza Kabisa Na Kukiri Kuwa Zitto Ni Msaliti, Mkimtoa Zitto Direction Ya Upinzani Itageuka 2015, Na Sijui Nilini Nchi Hii Itatulia Na Kuwa Na Upinzani Imara! Labda Ni Hadi Ccm Igawanyike Kama Alivyo Sema Nyerere

Hadi kizazi cha watu wenye akili butu kama yako waishe kabisa hapa nchini.Unawezaje kushindwa kujua historia ya jinsi ccm inavyotumia mamluki kuua vyama na kuunganisha matukio yote yanayomhusu zzk kuonyesha upinzani wa wazi kwa chama chake mwenyewe?Aliyekiri kuuandaa waraka ni swahiba wa zzk kitila mkumbo wewe utasemaje ni ccm?zzk alijua alichokitaka na alidhani angefanikiwa kirahisi kuidhoofisha kabisa CDM lakini tayari amejimaliza mwenyewe

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Amebaki ni mbunge wa mahakama na facebook ...amekuwa na tamaa ya mzee fisi na hayo ndo yaliyompata, CCM mpeni uwaziri panya wenu sie tushamaliza kazi
 
Wana JF,
Kama kuna jambo ambalo binadamu wa kawaida akiliona atashangaa basi ni haya anayofanya Zitto ndani ya Chadema!
Zitto Kabwe ni kiutuko ndani ya siasa!
Mwaka 2010 wakati wa uzinduzi wa kampeni za Urais pale Jangwani Zitto aliingia mitini.Kwa kumlea Mwenyekiti akasema Zitto amepewa jukumu la kufanya uzinduzi Kigoma, hakuna alichofanya Zitto.

Kwenye uchaguzi mdogo wa Igunga Zitto hakukanyaga...Dr. Slaa kwa kumlinda akasoma ujumbe ambao Zitto alipost facebook kuomba wanaigunga wamchague Kashindye!
Uchaguzi mdogo wa Arumeru hakwenda kabisa na badala yake akiwa Kigoma akatangaza kuwania Urais mwaka 2015 huku akijua (kutokana na katiba ya sasa) hana sifa ukiangalia umri!

Kwenye tukio la bomu mkutano wa Chadema Zitto alitoka Dodoma akakimbilia Dar!! Haya yote anayafanya akiwa kiongozi wa Chadema!!!

Zitto leo anatukana watu waliomlea kupitia mitandao ya kijamii!!
Zitto ni binadamu wa aina gani?

Zitto amewahi kupata kashfa nyingi lakini Mbowe amekuwa akimshauri, leo anamtukana.

Ndugu yangu Zitto; Uenyekiti unautaka umuongoze nani wakati kwenye shughuli muhimu za chama unaingia mitini?
Kama ni urais unataka huku ukijua huna sifa kikatiba mbona hukugombea 2005 na/au 2010?

Zitto ni mfano mbaya sana na hastahili kuigwa!

Team mbowe at work
 
Wana JF,
Kama kuna jambo ambalo binadamu wa kawaida akiliona atashangaa basi ni haya anayofanya Zitto ndani ya Chadema!
Zitto Kabwe ni kiutuko ndani ya siasa!
Mwaka 2010 wakati wa uzinduzi wa kampeni za Urais pale Jangwani Zitto aliingia mitini.Kwa kumlea Mwenyekiti akasema Zitto amepewa jukumu la kufanya uzinduzi Kigoma, hakuna alichofanya Zitto.

Kwenye uchaguzi mdogo wa Igunga Zitto hakukanyaga...Dr. Slaa kwa kumlinda akasoma ujumbe ambao Zitto alipost facebook kuomba wanaigunga wamchague Kashindye!
Uchaguzi mdogo wa Arumeru hakwenda kabisa na badala yake akiwa Kigoma akatangaza kuwania Urais mwaka 2015 huku akijua (kutokana na katiba ya sasa) hana sifa ukiangalia umri!

Kwenye tukio la bomu mkutano wa Chadema Zitto alitoka Dodoma akakimbilia Dar!! Haya yote anayafanya akiwa kiongozi wa Chadema!!!

Zitto leo anatukana watu waliomlea kupitia mitandao ya kijamii!!
Zitto ni binadamu wa aina gani?

Zitto amewahi kupata kashfa nyingi lakini Mbowe amekuwa akimshauri, leo anamtukana.

Ndugu yangu Zitto; Uenyekiti unautaka umuongoze nani wakati kwenye shughuli muhimu za chama unaingia mitini?
Kama ni urais unataka huku ukijua huna sifa kikatiba mbona hukugombea 2005 na/au 2010?

Zitto ni mfano mbaya sana na hastahili kuigwa!

Tukimpa urais nani atakuwa first lady?
 
Sielewi ni kwanini ccm wote wapo nyuma ya Zitto, kuna nini?

CCM wako nyuma ya Zitto kwa kuwa wanaona anaelekea kufanikisha kazi waliyomtuma. Lazima wachochee kuni moto uwe mkubwa zaidi, CDM isambaratike halafu wapite uchaguzi wa 2015 kama vile wanakunywa togwa.

Tiba
 
Back
Top Bottom