Zitto adai alichosema Askofu Mwingira kiliwakumba Watanzania wengi wakati wa utawala wa Hayati Dkt. Magufuli

Zitto adai alichosema Askofu Mwingira kiliwakumba Watanzania wengi wakati wa utawala wa Hayati Dkt. Magufuli

Tukiweka "umataga" pembeni na tukatumia akili zetu na macho yetu yaliyoshuhudia mambo yaliyotendeka tangu January 2016 hadi Desemba 2020 hakika tutaungana na Mwingira na Zitto.
Tazama:
1. Maiti kuokotwa kwenye viroba
2. Watu kupotea Ben Wa Saanane, Azory
3. Nyumba kuungua moto kimiujiza ... Nyumba ya Zitto
4. Mashamba kuharibiwa ...shamba la Mbowe, Zitto, ..
5. Magazeti kupigwa ban
6. Sabaya kupora mamilioni ya wafanyabiashara
7. Wanasiasa wa Uwanja wa Fisi kununuliwa kama njungu
8. Lissu kupigwa risasi mchana kweupe katika makazi yenye ulinzi mkali
9. Kupimana mikojo kusiko na tija
10. Clouds FM kuvamiwa na makiri kiri
11. Vifo vilivyotokana na stress za kutumbuliwa, kufukuzwa vyuoni na kuitwa vilaza huku malaika wa vilaza Jesi akiendelea kusoma
Utafikiri tulikuwa Egypt [emoji848][emoji848]
 
tunapoelekea bila serikali kukemea hii hali tutakuja kumuona hata Bashite nae akisema alinusurika kuawa,Watu wanatafuta ukaribu na uongozi wa awamu yahii kwa aina yake.
Hao wote ni sehemu ya wahuni wanatumia kila njia kuhafifisha wengine ili wao wapate mkate.
 
Hiyo tume ianze kazi Pemba wakati wa awamu ya 3 mpaka awamu hii ya sasa ili tupate idadi ya matukio yote nchi nzima.

Zito ana Hasira ya kukosa ubunge so tuanze 1995 kuja mpaka 2020.

Wahusika wafikishwe kwenye mkono wa sheria.
We fala kweli!
 
Uchadema umekujaa mwili mzima..huu uchochezi mnaouunga mkono ipo siku mtaujutia..maana mpo kama abunuwasi.......tawi tuliokalia sote...mnataka kulikata ili msalimike....
Upumbavu tu..
Kwahiyo kama kipindi chake alikuwa anafanya upumbavu asisemwe?yule jamaa heri amekufa ,tena kifo cha aibu
 
Sidhani kama angeongea uongo mbele ya umma , Tena mtumishi wa MUNGU,
 
Magufuli alikuwa rais muovu, na wanaojaribu kuficha uovu wake ni hawa waliofaidika na uovu ule. Hawa ni wachache wanathubutu kusema ukweli sasa hadharani, lakini uovu ule uko wazi kwa watu wengi. Iko siku kila kitu kitakaa hadharani.
Kuna mambo aliyafanya yule mwehu ni ya kutisha! Watu wanaomtetea nadhani kuna waya hazipo sawa kwenye ubongo wao
 
Ushahidi upo wa wazi, ila pa kuweka huo ushahidi ndio hakuna.
Wewe binafsi ulifanyiwa unyama gani? Hebu tueleze. Labda ni chuki zako tu dhidi ya hayati JPM.
 
Haya yote uliyotaja yanauthibitisho kuwa awamu ya tano ilishiriki?
Tundu Lissu alipigwa risasi awamu ya kwanza ati?
Mwingira kaituhumu awamu ya nne?
Mamia ya watu wametekwa na kupotezwa awamu ya pili?
"Watimueni bungeni wakitoka nitawashughulikia maana nje hawana kinga" matokea yake mtu anamiminiwa risasi 32+ bado unataka uthibitisho gani bwashe? Hujui kuwa yametokea awamu ya tano?
 
Hivi tokea lini kanisa likawa na Bank.. Kwa utajiri wa bilioni 10 anao lalamika kutapeliwa na serikali alikuwa anaweza kusaidia yatima wangapi na wajane kwenye hii nchi lakini hakufanya hivyo??

Hizi chuki zinazoendelea kusambazwa Kwa nguvu dhidi ya marehemi zinafanya watu tuanze kuwaza mara mbili kama Kweli alituponyoka au alikwapuliwa[emoji23][emoji23][emoji23]


Hata biblia inasema ukifanya Jambo lililokileta duniani hutokaa upendwe na wanadamu.. tazama hata Yesu na kuponya viziwi na vipofu kote kule bado kunawatu walisema asulubiwe tuu..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Yani Bank ya kanisa itumike kutakatisha pesa kwelii.. alafu ujiite mchungaji eti si hatari hiyo..

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app

Unafahamu bank ya maendeleo inamilikiwa na nani?
 
Back
Top Bottom