Zitto aituhumu Serikali kuficha takwimu za wagonjwa na vifo vya COVID-19, adai Zanzibar pekee vifo ni 32 na wagonjwa 235

Kitaeleweka tu..kila familia ikianza kulia kwa kuwapoteza wapendwa wao..hapo ndo macho yatatufunguka
 
Lakini si hio ni taarifa ya karibuni, wewe ulizani zimeganda? case zinaendelea kupanda as long as hakuna hatua thabiti za kujikinga.
 
Zito amekuwa kama ule wimbo wa bwana msosi
 
Tangu ile hotuba ya JPM hata taarifa mpya za huu ugonjwa hazitolewi tena.
 
Mkuu hicho kizungu cha decreases nimekiona nikashituka kidogo, nikajiuliza huyo ndiyo msemaji wa MOH ya SMZ au CDC Africa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…