Zitto akiwa mwenyekiti; naahidi kuipa CHADEMA kura zangu zote!

Zitto akiwa mwenyekiti; naahidi kuipa CHADEMA kura zangu zote!

Mkuu, nina ushawishi kwenye jamii, hivyo sio tu mimi ambae nitapigania CHADEMA ishinde (endapo Zitto akiwa mwenyekiti), bali hata vijana na wazee watajumuika na mimi kuhakikisha hilo linafanikiwa.

Dada Hamida unapenda kweli kuvunja watu mbavu, yaani wewe hata huyo mumeo na hao watoto wako nafikiri hawakuelewi. Hii midawa ya kulevya inakuharibu sana dada yangu. Hebu jaribu kuacha kidogo halafu uone utakavyobadilika na kuwa Dada mwenye busara na hekima ndani ya jamii. Ni ushauri tu, ukitaka chukua ukikataa kuuchukua pia ni sawa tu, ila namsikitikia sana mmeo na hao watoto wako wanavyoibeba hii AIBU yako mbele ya jamii.
 
  • Thanks
Reactions: Pai
Demokrasia sio chuki, kama una chuki nenda kwenye vikundi vya kigaidi na usifanye chuki zako kwenye siasa.

Hiyo chuki iko wapi? Mimi sio wavaa vipedo ndio niingie kwenye ugaidi..... Un kingine?
 
Mm najua wagombea ndio huwa wana-nadi sera zao wapate kura, kumbe siku hz wapiga kura nao wana sera za kunadi wapate mgombea??
 
Mkuu, hilo la ZITTO kutopewa ushirikiano na viongozi wengine ndani ya CDM linahitaji taarifa za siri? mbona kila kitu kiko wazi kabisa. au mnajitia uziwi na upofu
No research no right to speak,ninyi niwapika majungu,wewe unawezaje jua ya Zitto pasipo yeye kusema,tna matamshi yake hapa akikishutumu chadema,hakuna asiejua mpo mrengo gani unaowasukumu,kame wewe wasema basi we ni mnafki au mkewe na Zitto utuambie alikupea chumbani hizi issue..
 
tenende,
umeona hao nduguzo kinachowasumbua eeeeeeeeh!!!!

dhambi ya tindikali,ubaguzi wa itikadi kwa misingi ya udini na ufinyu wa fikra ndivyo vinavyowatesa hao kutwa kucha ni kupandikaza chuki.
kwa taarifa yao hayo yote yalishajulikana.
wametumwa hao kupandikiza chuki.na kila mwerevu alishajua,watawaokota majuha wenzao wataka nafsi za watu ili waweze kuiona pepo.
ajabu!!!!!!
 
Swali la kujiuliza ni kwanini ccm wanapigania zitto awe mwenyekiti chadema?
 
Kwani una kura ngapi unavyosema zote, si ajabu hata haujajiandikisha

Huwezi kumpigia MTU kura only because unafeeling naye, akiwa na hoja MPE kura sio lazima awe mwenyekiti. Be a critical thinker hata kidogo bas
 
Mkuu,

Ngoja mgombea binafsi ipitishwe halafu uone kama kutakuwa na kitu kinaitwa CHADEMA baada ya hapo.

Hata Wassira alisema chadema itakufa 2013.....kiko wapi sasa???Cdm bado inasonga we umeboaki kushupaa tu kama unabeba magunia ya chumvi!
 
Swali la kujiuliza ni kwanini ccm wanapigania zitto awe mwenyekiti chadema?

Swali la kujiuliza; Ni kwanini Mbowe, Mtei, Ndesamburo, Dr Slaa, Lema, Mnyika Nassary et al hawataki Zitto awe mwenyekiti CHADEMA?
 
WanaJF!


Aidha, itakumbukwa kuwa Zitto ndiye aliye ifyeka njia na kuwaandalia mazingira ya kuaminiwa na wananchi hawa wabunge wapya wa CHADEMA, kwani ni Zitto ndiye aliyekuwa akiibua mambo mbalimbali ya kifisadi serikalini

Maoni yangu;

Umesema vyema kwamba Zito alikuwa anaibua ufisadi mwingi Serikalini; Swali: Ufisadi umeisha ndo maana siku hizi haibui na hasikiki tena kama zamani?.

Kitendo cha wewe kuanzisha hii thread ni dhahiri kuwa Zito hayuko sawa na anahitaji kujitathimini kama kweli anafanya kazi yake kama mwanzo tulivomwamini huyu kijana.

Zitto alitakiwa kujiepusha na siasa za akina Lyatonga et al. ambao kwa kiasi fulani ni product za CCM na walienda vyama vya upinzani kwa malengo ya CCM.

Ninaamini kuwa Zitto amekuwa harvested na CCM from CHADEMA. Kwa hili CCM lazima ijipongeze sana tena sana, na kuitumia nafasi hiyi vizuri. It is a big win to CCM!, Yes, it is!. Ninaamini kabisa bila shaka kuwa Zitto is in captivity of CCM. Actions talks lauder than words.
 
Hata Wassira alisema chadema itakufa 2013.....kiko wapi sasa???Cdm bado inasonga we umeboaki kushupaa tu kama unabeba magunia ya chumvi!

Mimi hayo ya Wassira siyajui na binafsi sitaki CHADEMA ife, ila ningependa kumuona Zitto akiwa mwenyekiti wa CHADEMA.
 
Mkuu, kama wewe kweli una akili na unaipenda CHADEMA, hivi huoni mantiki ya ZITTO KABWE kugombea urais badala ya watu ambao wamechoka kimwili na kisiasa?

Si ni bora huyo aliyechoka kimwili, lakini kiafya yupo njema. Huyu anayehangaika kutoa rushwa kwenye nyumba za ibada kila kukicha mbona humuoni?? Yeye mwili wake umechoka na afya yake imedorora kupita maelezo, na bado wenzio kina mwigulu ndo wanamtegemea aje kugombea kupitia chama chenu cha mateja
 
Mimi hayo ya Wassira siyajui na binafsi sitaki CHADEMA ife, ila ningependa kumuona Zitto akiwa mwenyekiti wa CHADEMA.

You are very weird and imbecelic!We si ume comment previously kua ngoja mgombea binafsi apitishwe kwenye katiba mpya tuone. kama Chadema itasikika??Au sio ww uliyetoa comment hiyo???Ulimaanisha nn then?
 
Kura za masharti hizo sometimes huwa siyo nzuri sana.Kama vipi mpe hata kura ya kuwa BABA YAKO.
 
Jason Bourne akitiririka......!

"......................Kwakushirikiana na mashirika ya kijasusi ya CIA-USA, M1-6-UK, RAW-India, DGSE-Ufaransa, FSB Urusi, ISI Pakistan, na MSS-China, ambayo yamekuwa yakifuatilia nyendo za fedha haramu hasa za kighaidi dunia, tumefanikiwa kutambua Watanzania, Wakenya, Waafrika kusini, Waganda na Wakongo wengi matajiri walioficha fedha uswisi.
Hapa nitawaorodhesha Watanzania tu;
Orodha ni ndefu ila hapa ni wale walioficha zaidi ya USD $3.5 mmilion kila moja. Wamo wanasiasa pamoja na wafanyabiashara kadhaa maarufu. Imebainikwa kwamba fedha nyingi za wanasiasa zimewekwa na makampuni ya nje yenye shughuli Tanzania. Wamo hata Makatibu Wakuu Wizarani na wakurugenzi ila hawajafikia USD3.5million ndio maana majina yao hayamo.
Orodha kamili ni:
Jakaya M. Kikwete, January Makamba, Abdalla Kighoda, Nimrod Mkono, Nazir Karamagi, Andrew Chenge, Yusuf Makamba, Edward Lowassa, Rostam Aziz, Yusuf Manji, Ridhiwani Kikwete, Mohamed Dewji, Bernard Membe, Paul Chagonja , Zitto Kabwe, William B. Mkapa, Said Mwema, Abdulrahman Shimbo, Edward Hosea, Daudi T.S Balali, Basil Mramba,Mustapha Mkullo, Grey Mgonja, Patrick Rutabanzibwa,Tanil Somaiya, Jeetu Patel, Onoko Okesukwu mwenye asili ya Kinigeria, Awadh Mohamed (mwenye uraia wa msomalia) na Subhash Patel"
 
Mkuu, nina ushawishi kwenye jamii, hivyo sio tu mimi ambae nitapigania CHADEMA ishinde (endapo Zitto akiwa mwenyekiti), bali hata vijana na wazee watajumuika na mimi kuhakikisha hilo linafanikiwa.

Mtizamo wako sio mbaya saana ila kubali ya kuwa Zito sio yule uliyekuwa ukimfahamu. Zito wa leo amekuwa ama muoga, amepata alichokitaka, amekata tamaa au ameahidiwa 'makubwa' na watu nje ya CHADEMA.
HIVYO KWA WEWE KUMUUNGA MKONO , utakuwa ukifanikisha moja ya hayo niliyoyataja.
Kuna agenda ya siri kati yako, CCM na Zito.
 
Zitto Kabwe ndio wale wale wavaa kandambili na kanzu fupi aende magambani huko, watu wapo serious na kuikomboa nchi wewe unaleta taarab ebo!
 
Back
Top Bottom