Zitto akiwa mwenyekiti; naahidi kuipa CHADEMA kura zangu zote!

Zitto akiwa mwenyekiti; naahidi kuipa CHADEMA kura zangu zote!

Acheni basi kumnyanyapa Zitto kwa dini yake na ukanda aliotoka, maana nimepewa taarifa kuwa hata kwenye M4C ashirikishwi kabisa. Juzi Mbowe na Lema walikuwa Hai, Leo Mbowe yuko na Mnyika, Dr Slaa nae ndio hamtaki Zitto. Sasa kwanini Zitto hatakiwi na viongozi wa CHADEMA ilhali ana uwezo mkubwa kulinganisha mtu yeyote CHADEMA?
Hivi nyie mlishindwa kufanikisha malengo ya kumpromote huyo mtu wenu mkiwa ndani,mnajidanganya
mtaweza mkiwa nje?!!!!!!!!
 
Acheni basi kumnyanyapa Zitto kwa dini yake na ukanda aliotoka, maana nimepewa taarifa kuwa hata kwenye M4C ashirikishwi kabisa. Juzi Mbowe na Lema walikuwa Hai, Leo Mbowe yuko na Mnyika, Dr Slaa nae ndio hamtaki Zitto. Sasa kwanini Zitto hatakiwi na viongozi wa CHADEMA ilhali ana uwezo mkubwa kulinganisha mtu yeyote CHADEMA?
Kwa nini mnapendekeza Zitto awe mwenyekiti kwenye chama kisichowahusu? Jibu ni UDINI. Baada ya kikwete nani awe mwenyekiti? Jibu ni kinana. Kwa nini? Jibu ni MWISLAMU!!..
 
Usijitoe uelewa wewe Ben, hivi hujui ni kwa namna gani viongozi uwa wanafanya kazi kama team?, kwa ufupi ni kwamba Zitto hapati ushirikiano kutoka kwa mwenyekiti na katibu mkuu wa CHADEMA, sasa sijui sababu ni nini?
Kwa nini mmeajiriwa kumpinga Slaa mitandaoni usiku na mchana.. Ni udini tu!
 
Zitto kupewa uenyekiti labla akubali kubatitwa kwanza.
 
Mkuu, nina ushawishi kwenye jamii, hivyo sio tu mimi ambae nitapigania CHADEMA ishinde (endapo Zitto akiwa mwenyekiti), bali hata vijana na wazee watajumuika na mimi kuhakikisha hilo linafanikiwa.

...kwa analysis zako hapa jamvini unajidanganya sana kwamba unaushawishi wowote, zaidi utaziona rangi zako halisi za unafiki maana hatutaacha kukuweka hadharani kwa kila lililofanyika chini ya uvungu...! unachojaribu kufanya ni kujenga chuki na kupandikiza mgawanyiko ndani ya chadema kitu ambacho hutafanikiwa kamwe...
 
Kwani yeye ni Mkristo au wa kaskazini
Allah kamuokoa Shekhe Ponda kwani CCM walikusudia kumwua..,nani asiejua mpango wa ccm kuwafanya waislam vibaraka wa umaskini..
 
Usijitoe uelewa wewe Ben, hivi hujui ni kwa namna gani viongozi uwa wanafanya kazi kama team?, kwa ufupi ni kwamba Zitto hapati ushirikiano kutoka kwa mwenyekiti na katibu mkuu wa CHADEMA, sasa sijui sababu ni nini?
Mbea utamjua tu,wewe utakuwa mke wa Zitto anakuadidhiaga chumbani kwamba chadema hawampiushirikiano...,Mrs Zitto
 
Mkuu zito ni kiongozi anajua anachokifanya lakini pia anaujuzi wa mambo lakini pia anahoja nakuunga mkono.
 
Chadema haihitaji kura yako hata moja au zote! Who the hell you think you are??? Huwezi ukaishauri Cdm nini cha kufanya because ushauri wako hauhitajiki!
 
Sijasema naamia CHADEMA, nimeahidi kuipigia kura CHADEMA endapo Zitto akiwa mwenyekiti. Naomba ieleweke hivyo.

Suppose mgombea urais wa JMT kupitia Chadema (2015) ni Dk. Slaa na Zito ni mwenyekiti, bado utaipigia kura CDM? Kwa akili yako wewe ni nani katika nchi hii hata utake kudictate nani awe mwenyekiti CDM ndo ufikirie kuipa CDM kura? CDM haihitaji kura za wajingawajinga kama wewe.
 
Mbea utamjua tu,wewe utakuwa mke wa Zitto anakuadidhiaga chumbani kwamba chadema hawampiushirikiano...,Mrs Zitto

Mkuu, hilo la ZITTO kutopewa ushirikiano na viongozi wengine ndani ya CDM linahitaji taarifa za siri? mbona kila kitu kiko wazi kabisa. au mnajitia uziwi na upofu
 
Chadema haihitaji kura yako hata moja au zote! Who the hell you think you are??? Huwezi ukaishauri Cdm nini cha kufanya because ushauri wako hauhitajiki!

Demokrasia sio chuki, kama una chuki nenda kwenye vikundi vya kigaidi na usifanye chuki zako kwenye siasa.
 
Acheni basi kumnyanyapa Zitto kwa dini yake na ukanda aliotoka, maana nimepewa taarifa kuwa hata kwenye M4C ashirikishwi kabisa. Juzi Mbowe na Lema walikuwa Hai, Leo Mbowe yuko na Mnyika, Dr Slaa nae ndio hamtaki Zitto. Sasa kwanini Zitto hatakiwi na viongozi wa CHADEMA ilhali ana uwezo mkubwa kulinganisha mtu yeyote CHADEMA?
Zito kunasiku atawaumbua watanzania wanamjua kazi yake kunasiku ataibukia kokote kule na watu watamfuata.
 
Mkuu, hilo la ZITTO kutopewa ushirikiano na viongozi wengine ndani ya CDM linahitaji taarifa za siri? mbona kila kitu kiko wazi kabisa. au mnajitia uziwi na upofu

Mkuu, eti hilo nalo linahitaji tuwe na DVR ili kuligundua?, mbona liko wazi sana na kwa sasa Mbowe na Dr Slaa wamelihalalisha kwa wanachama wengine kumtenga Zitto na kutompa ushirikiano, ila kwa vijana walio wengi CHADEMA hilo hawako tayari kulifanya.
 
Zito kunasiku atawaumbua watanzania wanamjua kazi yake kunasiku ataibukia kokote kule na watu watamfuata.

Mkuu,

Ngoja mgombea binafsi ipitishwe halafu uone kama kutakuwa na kitu kinaitwa CHADEMA baada ya hapo.
 
Back
Top Bottom