Zitto akiwa mwenyekiti; naahidi kuipa CHADEMA kura zangu zote!


Mkuu, hili sikulijua hili (hasa hapo ulipo Bold na herufi kubwa) kumbe ndio maana alikataa kutaja majina? Aise! halafu eti kuna mtu anataka huyu ndio awe mwenyekiti wa CHADEMA, kifo cha hicho chama kitakua hapo. Kuna comment 1 kwenye uzi 1 humu ulionesha kua, gari la Zitto liliwahi kupata hitilafu maeneo ya Igunga, Igunga pale kuna diwani wa CHADEMA, CHEDEMA wanao mafundi wao wa magari (rejea kilicho mtokea Sugu, aliwapigia simu mafundi wa CDM na walikuja ku-attend gari lake) kitu cha ajabu sana, Zitto alifanya mawasiliano na Rostam Aziz, hivi hili halishangazi kweli?
 
You are a total disappointment HAMY-D; kura yako moja kama ni ngumu namna hivyo ibakize huko huko ccm hata ushindi wa chama kingine usifikirie ya kuwa hawatakuwa watakaopuigia ccm ukiwepo; it is just baki huko
 

Ahaaa, kumbe huyu ni mwandishi wa habari? nimeanza kumuhisi, huyu sio yule aliyekua akiandikaga makala za Mchokonozi huyu? Kijana toka mkoa wa Mwanza, aliwahi kufanyia kazi gazeti la Tanzania Daima na sasa yupo kwenye ile kampuni ambayo low watch anahisa? O. K! I think so!
 

Mwita Maranya,

Precisely my point.Typical case ya jaribio la shetani ! ! !
 
Last edited by a moderator:
Zitto kupewa uenyekiti labla akubali kubatitwa kwanza.
Kweli kabisa, lazima abatizwe kama mtatiro alivyosilimishwa kwanza kisha akapewa unaibu katibu mkuu. Na mkuu wa magamba alipobatizwa na kuambiwa yeye CHAGUO MUNGU.
 
Ni timu ya watu wengi. Fuatilia posti zao hata masalia wamo. Id moja watu kibao. Wanapokezana. Iko hewani almost masaa 24. Ukiikosa ID hii hewani masaa ma3 nenda katambike.
 

Huyo tunamjua mkuu na wanaomtumia ndiyo watakaomtoa roho kwa sababu ya siasa
 
Endelea kumsoma between the line kwenye kila thread zake utamjua tu na utatambua why jamaa habanduki hapa jukwaani. Chezea pesa za mamvi wewe
 

''bahati haimfanyi mwendawazimu kuwa na busara''
 
mbona ulisema baada ya mgombea binafsi kupitishwa hakutakua na kitu kinachoitwa CHADEMA. wewe ndugu vipi mbona hauleleweki mara hii umeshasahau ulichoongea mda si mrefu kweli ukiwa muongo uwe na kumbukumbu dada.

Hivi unajua maana ya kifo cha CHADEMA?, au uelewa wako haustaili kuwepo humu?, hadi hilo nalo unataka ufafanuzi?
 
Usimpe tu kura pekee kwani haitoshi. Mpe "MNDUKU" kabisa ili tuamini kuwa Unamuadmaya!!
 
Hammy-D anajitahidi sana kuwachokonoa CHADEMA wakati ilikuwa muhimu kutoa ushari mzuri kwa chama chake ambacho kuna kila ushahidi kuwa maji yapo shingoni as we approach to 2015

CCM haikuwahi kuwa kwenye hiyo hali mkuu, wenda ingekuwa kama vijana hawa aina ya Zitto wangesimama kupambana kwenye nafasi ya urais, ila kwa watu wachovu kama Dr Slaa CCM inajipatia usingizi mwanana.
 
Duh!
ndivyo manvyopiga kura huko MACCM, wenyewe mnaita MAFIGA MATATU hata kama mbunge ni wakusinzia kama LUKUVI basi nyie mnapiga tu.

Mwenyekiti akiwa "jembe" basi taasisi hata ikiwa hoi vipi itanyooka tu. Watu wakionyesha dalili ya uzembe wa aina yoyote mbele ya mwenyekiti mwenye sifa tajwa, basi atawajibishwa ipasavyo.
 
Hammy-D nakushauri uelekeze nguvu zako kumshawishi bwana Zuberi Zitto ahamie CCM ili mumchague kuwa m/kiti huko ili ikinyooshe chama chenu kipenzi. Achana na CDM wajifanyie mambo yao wenyewe.

Demokrasia haitulei hivyo mkuu, mimi kama mwananchi mpenda amani, haki na usawa nina haki ya kutoa maoni yangu kwa chama chochote regarless mimi ni mwananchama au sio, ila nisivunje sheria tu katika kuyatoa maoni hayo. Hivyo haya ndio maoni yangu kwa CDM.
 
Zito kunasiku atawaumbua watanzania wanamjua kazi yake kunasiku ataibukia kokote kule na watu watamfuata.


Mkuu,Ngoja mgombea binafsi ipitishwe halafu uone kama kutakuwa na kitu kinaitwa CHADEMA baada ya hapo.
Orodha ni ndefu ila hapa ni wale walioficha zaidi ya USD $3.5 mmilion kila moja. Wamo wanasiasa pamoja na wafanyabiashara kadhaa maarufu. Imebainikwa kwamba fedha nyingi za wanasiasa zimewekwa na makampuni ya nje yenye shughuli Tanzania. Wamo hata Makatibu Wakuu Wizarani na wakurugenzi ila hawajafikia USD3.5million ndio maana majina yao hayamo.
Orodha kamili ni:
Jakaya M. Kikwete, January Makamba, Abdalla Kighoda, Nimrod Mkono, Nazir Karamagi, Andrew Chenge, Yusuf Makamba, Edward Lowassa, Rostam Aziz, Yusuf Manji, Ridhiwani Kikwete, Mohamed Dewji, Bernard Membe, Paul Chagonja , Zitto Kabwe, William B. Mkapa, Said Mwema, Abdulrahman Shimbo, Edward Hosea, Daudi T.S Balali, Basil Mramba,Mustapha Mkullo, Grey Mgonja, Patrick Rutabanzibwa,Tanil Somaiya, Jeetu Patel, Onoko Okesukwu mwenye asili ya Kinigeria, Awadh Mohamed (mwenye uraia wa msomalia) na Subhash Patel"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…