Mazindu Msambule
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 7,510
- 6,877
Jason Bourne akitiririka......!
"......................Kwakushirikiana na mashirika ya kijasusi ya CIA-USA, M1-6-UK, RAW-India, DGSE-Ufaransa, FSB Urusi, ISI Pakistan, na MSS-China, ambayo yamekuwa yakifuatilia nyendo za fedha haramu hasa za kighaidi dunia, tumefanikiwa kutambua Watanzania, Wakenya, Waafrika kusini, Waganda na Wakongo wengi matajiri walioficha fedha uswisi.
Hapa nitawaorodhesha Watanzania tu;
Orodha ni ndefu ila hapa ni wale walioficha zaidi ya USD $3.5 mmilion kila moja. Wamo wanasiasa pamoja na wafanyabiashara kadhaa maarufu. Imebainikwa kwamba fedha nyingi za wanasiasa zimewekwa na makampuni ya nje yenye shughuli Tanzania. Wamo hata Makatibu Wakuu Wizarani na wakurugenzi ila hawajafikia USD3.5million ndio maana majina yao hayamo.
Orodha kamili ni:
Jakaya M. Kikwete, January Makamba, Abdalla Kighoda, Nimrod Mkono, Nazir Karamagi, Andrew Chenge, Yusuf Makamba, Edward Lowassa, Rostam Aziz, Yusuf Manji, Ridhiwani Kikwete, Mohamed Dewji, Bernard Membe, Paul Chagonja , Zitto Kabwe, William B. Mkapa, Said Mwema, Abdulrahman Shimbo, Edward Hosea, Daudi T.S Balali, Basil Mramba,Mustapha Mkullo, Grey Mgonja, Patrick Rutabanzibwa,Tanil Somaiya, Jeetu Patel, Onoko Okesukwu mwenye asili ya Kinigeria, Awadh Mohamed (mwenye uraia wa msomalia) na Subhash Patel"
Mkuu, hili sikulijua hili (hasa hapo ulipo Bold na herufi kubwa) kumbe ndio maana alikataa kutaja majina? Aise! halafu eti kuna mtu anataka huyu ndio awe mwenyekiti wa CHADEMA, kifo cha hicho chama kitakua hapo. Kuna comment 1 kwenye uzi 1 humu ulionesha kua, gari la Zitto liliwahi kupata hitilafu maeneo ya Igunga, Igunga pale kuna diwani wa CHADEMA, CHEDEMA wanao mafundi wao wa magari (rejea kilicho mtokea Sugu, aliwapigia simu mafundi wa CDM na walikuja ku-attend gari lake) kitu cha ajabu sana, Zitto alifanya mawasiliano na Rostam Aziz, hivi hili halishangazi kweli?