Zitto alalamika kundi la Magufuli ndani ya CCM kuihujumu maridhiano na kuinyima ACT mbunge EALA

Zitto alalamika kundi la Magufuli ndani ya CCM kuihujumu maridhiano na kuinyima ACT mbunge EALA

Kama mnavyojua kulifanyika uchaguzi wa wabunge la Africa Mashariki na ACT kuwa na mgombea wao ambaye alikuwa Addo Shaibu
Cha kushangaza ni kuwa wabunge wa CCM walimtosa Addo, ambaye ni Katibu Mkuu wa ACT na kumchagua mgombea wa CUF

Imefichuliwa kuwa huo ulikuwa ni
Mpango wa wabunge wahafidhina ndani ya CCM wa kundi la mwendazake JPM kumkomoa ACT na Zitto Kabwe kwa kuwa karibu na Samia na kundi hilo halitaki maridhiano ya Samia na Upinzani
View attachment 2366002
View attachment 2366005
Mlamba asali katika ubora wake. Yetu macho.
 
Kitendo cha kukaa kimya awamu hii ni kiashiria kuwa ni msaka tonge. Awamu ya 5 aliwaka sana, ukiangalia kwa jicho la tatu utagundua huyu jamaa ana element za udini ndio maana awamu hii hata tozo haziongelei.
Zitto ni Mdini sana pia mchukua hela sana..nimemfahamu huyu jamaa toka UDSM...wewe mkumbushe lile tukio la kurekodiwa akipokea hela bank fulani.....
Watu wa namna hii hawafai sema nini watu tunaangalia tu...
JPM alimjua huyu Yuda vizuri tu ndio maana hakucheka na kima...
 
Zitto mnafiki sana, "anataka mabadiliko" kwa kivuli cha uwepo wao kwenye serikali ya Umoja wa Kitaifa kule Zanzibar, hajui huku ni Tanzania Bara. Huyu mpuuzi amezoea kubebwa mpaka sasa anatoa siri za vile anavyobebwa.

Mnafiki anayeona mabadiliko ni kuchaguliwa mgombea wa chama chake kwa sababu ya uwepo wao serikalini, lakini akichagulia mgombea wa chama tofauti, kwake hayo sio mabadiliko, huyu mtu ni mwanasiasa wa hovyo sana nchi hii, ni mbinafsi kupita maelezo.

Binafsi nimefurahishwa sana kwa hicho kilichofanywa na hilo linaloitwa kundi la Magufuli, kwanza limeonesha halipendi unafiki, pili, limeonesha nguvu waliyonayo ndani lile bunge, hawa kwangu ndio wazalendo wanaostahili pongezi.
 
Si ndio hapo sasa, huu ujinga wa maridhiano ndio Mbowe kaanza kuupeleka CDM, matokeo yake hayo maridhiano yameishia kumpa Mama Samia na CCM yake political millage kuwa wanapenda maridhiano, ila kiuhalisia bado wapinzani wamewekwa kona ileile ya makatazo ya kufanya siasa kwa uhuru.
Ndugu yangu Tindo nadhani sio hivyo kuhusu maridhiano na CDM. Nilisikiliza mazungumzo ya Lissu YouTube huko Clubhouse nikapata picha mpya kabisa kuhusu haya maridhiano yanayo endelea na kwa nini kwa sasa Chadema haijitoi kutokana na tabia inayoonyeshwa na CCM. Kazungumza kwa kina kuhusu uvumilivu wa Chadema kama chama cha Siasa na nini jukumu la sisi WANANCHI baada ya chama kutimiza wajibu wake.
Chadema pamoja na kukaa meza moja na ccm bado iko katika msimamo uleule wa kupinga maovu yote bila kuogopa au kujipendekeza na hilo tunaliona kwa uwazi katika suala la ruzuku na hata offer ya mbadala wa covid 19.
Ngoja niyatafute yale maneno yake niyaweke hapa. Kubwa alilosema, utafika wakati wao watawaambia WANANCHI "tumezungumza na ccm lakini wao hawataki amueni nyinyi la kufanya"


Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Zitto ni Mdini sana pia mchukua hela sana..nimemfahamu huyu jamaa toka UDSM...wewe mkumbushe lile tukio la kurekodiwa akipokea hela bank fulani.....
Watu wa namna hii hawafai sema nini watu tunaangalia tu...
JPM alimjua huyu Yuda vizuri tu ndio maana hakucheka na kima...
JPM yule shetani keshakuwa mbolea sasa
 
Mwanzoni waliingia kwa staili ya kumchafua Magu. Siku hizi wameacha maana kila wakimchafua wanajikuta wao wanachafuka mara tano.
Magufuli anafahamika kuwa ni fisadi na muuaji labda nyie wanyonge msiokuwa na akili ndio mnamuona mkombozi wenu
 
Magufuli anafahamika kuwa ni fisadi na muuaji labda nyie wanyonge msiokuwa na akili ndio mnamuona mkombozi wenu
Wauza ndaga, wadangaji, wazembe na wabadhilifu bila kusahau vyeti fake mlipata nae tabu sana, aliwanyoosha KweriKweri...almost 2yrs now since he left bt still mnaweweseka nae...10yrs will passby and still mtakua mnamshushia lawama for all your misfortunes...heb mjitahidi mzae hizo mimba alizowaachia mmove on...Life got move on
 
Ubovu wa mgombea wao lawama anatupiwa Magufuli??

Duuh.

Huyu mtu ana chuki kubwa sana mpaka imegeuka sumu ndani ya mwili wake.
 
Sasa Zitto mwenyewe alititangazia wazi kuwa tusitegemee Akiikosoa serikali ya Samia kama ilivyokuwa huko Zamani, Sasa anadhani watu wake wake wataaminika kwenda kufanya kazi za kibunge wakati kiongozi wao keshaahidi kuwa "collaborator" wa Samia, na kahakikishiwa ajira kwa miaka yote ambayo Samia atakaa madarakani?
 
Ubovu wa mgombea wao lawama anatupiwa Magufuli??

Duuh.

Huyu mtu ana chuki kubwa sana mpaka imegeuka sumu ndani ya mwili wake.
Kwanza huyo mgombea wake ana nini takataka tu ..anataka abebwe huu ni ufala sana....
 
Kama mnavyojua kulifanyika uchaguzi wa wabunge la Africa Mashariki na ACT kuwa na mgombea wao ambaye alikuwa Addo Shaibu
Cha kushangaza ni kuwa wabunge wa CCM walimtosa Addo, ambaye ni Katibu Mkuu wa ACT na kumchagua mgombea wa CUF

Imefichuliwa kuwa huo ulikuwa ni
Mpango wa wabunge wahafidhina ndani ya CCM wa kundi la mwendazake JPM kumkomoa ACT na Zitto Kabwe kwa kuwa karibu na Samia na kundi hilo halitaki maridhiano ya Samia na Upinzani
View attachment 2366002
View attachment 2366005
Hayatuhusuuu

Achaa sindano ikuingiee vizr

Maana unajifanya mwerevuu sanaa.

Acha ufundishwe siasa unajiona unajua sanaaa.

Jua tuu kila ndoa inamigogoro isiyoishaa

Ndugu wa ngurukaaaaaa
 
Back
Top Bottom