Zitto anasema Magufuli aliharibu uchumi kwa miaka 5, msikilize hapa akiwa na Magufuli akimsifia hadharani

Zitto anasema Magufuli aliharibu uchumi kwa miaka 5, msikilize hapa akiwa na Magufuli akimsifia hadharani

Katika uhalisia maraisi wa Africa
wana nguvu kutokana na katiba na utamaduni wa kuwafanya miungu watu sio rahisi kumkosoa Raisi alie madarakani
utarisk maisha yako au utatengenezewa matatizo majubwa sana na wapambe wake na vyombe vya dola na ndio maana ukosoaji unajitokea wakati wakitoka madarakani Zitto yuko sahihi na wakosoaji wengine wanaojitokeza sasa
Absolutely Mkuu..sasa kuna wapuuzi wengine humu wanaleta unafki wao kutaka kumpaka matope Zitto kwa sababu zao za kipumbavu.

Ni nani aliekuwa anathubutu kumkosoa Jiwe alipokuwa madarakani?si TEC,si Bakwata,si CCM,si CC,si Chadema,si Wazee hakuna Mbwa yeyote aliekuwa anakohoa.

Leo hii wanataka Zitto angemkosoa Jiwe hadharani tena akiwa nae?come on ..Mara ngapi Zitto alikuwa anaviziwa akamatwe tena bungeni?mahali ambapo kuna kinga za kikatiba na kisheria pa kusemea..

Watanzania ni wanafiki to the maximum
 
Mh. Zitto nilishamtoa kichwani kabisa. Yupo too subjective ktk judgment zake. Na wale wote wanaomtumana marehemu na kumdharau wameshajiandalia kifo cha mapema maana Marehemu huwa hatukanwi. Mi nawshangaa sana hivi unaanzaje kumsema vibaya au kusema eti Dkt Magufuli alikuwa muongo kuhusu Bandari ya Bagamoyo na kusema eti hakuna mkataba wakti vielelezo vipo??? Yaani kifo cha Dkt Magufuli kitaisumbua sana hii nchi, yaani mpaka sasa rais Samia yupo peke yake kabisa aliowateua kwa sehemu kubwa hawamtendei haki. Hapakuwa na haja na sisi kujua uhalali wa mkataba zaidi ya kutuambia serikali imefanyaje ili kuhakikisha tunakuwa na maslahi
Dogo acha porojo, hata wewe ukifa tutakusema tuu, kama ambavyo wengi husemwa aidha kwa mazuri yao au mabaya yao. Kuhusu bandari ya Bagamoyo acha asemwe maana angetaka asisemwe ule mkataba, kama kweli ulikuwepo angeupeleka bungeni ujadiliwe, tena bunge likiwa live!! Ni ngumu sana kudanganya watu milioni 60 all the time, lazima kuna shimo utalisahau kuliziba na uwongo utajulikana.
 
Back
Top Bottom