Zitto ashauliwe, anayo fursa ya kuamua, kuzikwa pembeni ya Membe au akae kwa kutulia!

Zitto ashauliwe, anayo fursa ya kuamua, kuzikwa pembeni ya Membe au akae kwa kutulia!

Trable

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2023
Posts
1,781
Reaction score
3,288
Zitto amechanganyikiwa? Aliyoyaongea kwenye msiba wa mpendwa wetu mh Membe, yanasidifu hiki ninachosema!

Aliwahi kusema kipindi cha Kifo cha Magufuli kwamba, walioumizwa sana na kifo hicho, wakazikwe pembeni yake

Sasa leo tunamkumbusha tuu

Haya ni marudio tu ya kile Zitto alisema pale ambapo wengine walionyesha majonzi na masikitiko makubwa kwa kuondokewa kipenzi chao cha aliyekuwa Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli!

Na leo yeye imekuwa kwake, anaongea kwa uchungu mkubwa kuonyesha naye ni binadamu mwenye kuguswa kama ilivyokuwa kwa wengine walioguswa na msiba wa Magufuli

Tunamshauri kwamba, kama alimpenda mno Membe, akazikwe pembeni yake

Kumbuka!

Kifo hakina adui wala rafiki kwamba kimpite, Kila mwenye nafsi ataonja mauti

R.I.P Kachero Membe
 
Haya ni marudio tu ya kile Zitto alikisema pale ambapo wengine walionyesha mapenzi makubwa kwa aliyekuwa Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli alipofariki Dunia

Na leo yeye imekuwa kwake, anaongea kwa uchungu mkubwa kuonyesha naye ni binadamu mwenye kuguswa kama ilivyokuwa kwa wengine walioguswa na msiba wa Magufuli

Tunamshauri kwamba, kama alimpenda mno Membe, akazikwe pembeni yake

Kumbuka!

Kifo hakikimbiwi! Kila mwenye nafsi ataonja mauti

R.I.P Kachero Membe
Screenshot_20230514-142551_YouTube.jpg
 
Haya ni marudio tu ya kile Zitto alikisema pale ambapo wengine walionyesha mapenzi makubwa kwa aliyekuwa Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli alipofariki Dunia

Na leo yeye imekuwa kwake, anaongea kwa uchungu mkubwa kuonyesha naye ni binadamu mwenye kuguswa kama ilivyokuwa kwa wengine walioguswa na msiba wa Magufuli

Tunamshauri kwamba, kama alimpenda mno Membe, akazikwe pembeni yake

Kumbuka!

Kifo hakikimbiwi! Kila mwenye nafsi ataonja mauti

R.I.P Kachero Membe
Hamna namna wachimbe makabuli mawilli tu huko rondo.
Moja la membe lingine la zitto
 
Back
Top Bottom