Zitto ashauliwe, anayo fursa ya kuamua, kuzikwa pembeni ya Membe au akae kwa kutulia!

Zitto ashauliwe, anayo fursa ya kuamua, kuzikwa pembeni ya Membe au akae kwa kutulia!

Haya ni marudio tu ya kile Zitto alikisema pale ambapo wengine walionyesha mapenzi makubwa kwa aliyekuwa Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli alipofariki Dunia

Na leo yeye imekuwa kwake, anaongea kwa uchungu mkubwa kuonyesha naye ni binadamu mwenye kuguswa kama ilivyokuwa kwa wengine walioguswa na msiba wa Magufuli

Tunamshauri kwamba, kama alimpenda mno Membe, akazikwe pembeni yake

Kumbuka!

Kifo hakikimbiwi! Kila mwenye nafsi ataonja mauti

R.I.P Kachero Membe
Kifo ni ukweli ulio wazi...Leo sio Siri nipo natafakari
so natafakari sana siku Moja ni zamu yetu sisi.....
 
Kama alivyowaambia wanaompenda JPM wakazikwe jirani na kaburi lake hata yeye(Zitto) aliambiwa kama anampenda sana Mama yake mzazi akazikwe jirani na huyo MAMA yake lakini bado naona yupo tu mtaani, ina maana hakuwa anampenda mama yake mzazi?
 
Baba hakuwa na cheo Wala Dola!
Yule MUNGU wenu wa chattle kamlilieni
Ingawa sio kile unamaanisha moyoni, ni vema tumia herufi ndogo unapotaja miungu isiyofahamika, tumia herufi ndogo ili uonekane unautani na miungu ambayo haiwezi kukudhuru

Unapotumia herufi kubwa ukimaanisha miungu, ni kutoa kufuru kwa Mwenyezi Mungu

Tania atakavyo kuhusu miungu, ila usilete utani na jina la Mungu/MUNGU
 
Zito kasema mbele ya Samia kuwa Magufuli alikua muoga na alikua anatuma wahuni wawachafue.
Screenshot_20230514-142551_YouTube.jpg
 
Back
Top Bottom