Zitto ashauliwe, anayo fursa ya kuamua, kuzikwa pembeni ya Membe au akae kwa kutulia!

Zitto ashauliwe, anayo fursa ya kuamua, kuzikwa pembeni ya Membe au akae kwa kutulia!

Naskia alimkwepa mzazi kwakua alikua anatembea Kama lissu ahahah
Hakumpenda mama yake vinginevyo angekuwa ameshazikwa na Shida Salum.

Hii kwa Membe inabidi atuonyeshe mahaba yake kwa vitendo kwa mwendazake membe.
 
Hasa atachagua akazikwe kwa mama yake mzazi au akazikwe kwa membe ni yeye tu uwanja mpana
Duu [emoji33][emoji33][emoji33] maneno yale yaliumizaga sana watu, hadi kuna wachungaji waliongea hicho kitu kwa masikitiko sana.
 
Leo ndio nimeamini huyu Zitto ni mnafiki asie ata na chembe ya soni.

Utadhani sio yeye aliekuwa akitoka hadharani na kusema ACT Wazalendo ina muunga mkono Lissu wakati na wenyewe wakiwa na mgombea wao Membe.

Mikutano ya campaign ya Membe kwenye uraisi alimwacha afanye mwenyewe, tena akimnanga hadharani yeye ana support mgombea wa CDM sio wa ACT upande wa bara.

Membe alionekana kituko kwenye uchaguzi wa 2020, kwa sababu ya unafiki wa Zitto, eti leo hii analilia Membe atambulike kama mtu aliewahi kuwa mwanachama wao na aliegomba uraisi.

There is a narcissist pattern of behaviour which seek self importance (that’s a mental health issue), ata eulogy ya Membe it’s about Zitto political view badala ya kumuongelea Membe.

Jamaa ni mtu wa hovyo kupindukia.

Nape na Zitto ni machozi ya mamba tu, they’re not genuine people at all.
 
Yaani mtalazimisha kujifariji sana, lakini ukweli ni kuwa dhalimu wa chattle alikuwa anajifanya mungu mtu na sasa hivi hayupo. Huyo Membe hakuwa na madhara yoyote wala sio kifo kilichogusa wengi. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
Wewe si katika maadui wa Membe hivyo pengine huwezi kuona ufundi wa Mungu kwa kifo cha Membe.
 
Hakumpenda mama yake vinginevyo angekuwa ameshazikwa na Shida Salum.

Hii kwa Membe inabidi atuonyeshe mahaba yake kwa vitendo kwa mwendazake membe.
Shida Salum ilikuwa small house ya spika kabla ya Ndugai

Zitto aliuzunika kifo cha spika
 
Zitto amechanganyikiwa? Aliyoongea kwenye msiba wa mpendwa, yanasidifu hiki ninachosema!

Aliwahi kusema kipindi cha Kifo cha Magufuli kwamba, walioumizwa sana na kifo hicho, wakazikwe pembeni yake

Sasa leo tunamkumbusha tuu

Haya ni marudio tu ya kile Zitto alisema pale ambapo wengine walionyesha mapenzi makubwa kwa aliyekuwa Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli alipofariki Dunia

Na leo yeye imekuwa kwake, anaongea kwa uchungu mkubwa kuonyesha naye ni binadamu mwenye kuguswa kama ilivyokuwa kwa wengine walioguswa na msiba wa Magufuli

Tunamshauri kwamba, kama alimpenda mno Membe, akazikwe pembeni yake

Kumbuka!

Kifo hakikimbiwi! Kila mwenye nafsi ataonja mauti

R.I.P Kachero Membe
Zitto ameongea ukweli safi sana.
 
PIa wanaweza kumkata kichwa kikazikwe karibu na kaburi la mama yake huko Kigoma na kiwiliwili kikazikwe karibu na kaburi la Membe kule Rondo, Lindi.
[emoji27][emoji27][emoji27][emoji27]
 
Shida Salum ilikuwa small house ya spika kabla ya Ndugai

Zitto aliuzunika kifo cha spika
Alaa kumbe ndiyo maana alisikitika sana, kuna siku alienda bungeni akapokelewa kwa bashasha sana.
 
Alaa kumbe ndiyo maana alisikitika sana, kuna siku alienda bungeni akapokelewa kwa bashasha sana.
Kalelewa na yule mzee six hadi kulipiwa ada

Huyu kaka wa Peter Serukamba mtu mnafiki na kujikomba komba
 
Back
Top Bottom