Dikteta on jehanamu fire
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dikteta on jehanamu fire
Visilani vilivyo changanyika na udiniZitto ni mtu hatari sana.Ila sishangai ni muhutu/Mrundi huyu.Hawa watu wana visilani balaa.
Tena ni mbwa kokoMbona huna staha? Huwezi kumuita charismatic leader "Mbwa".
Hakumpenda mama yake vinginevyo angekuwa ameshazikwa na Shida Salum.
Hii kwa Membe inabidi atuonyeshe mahaba yake kwa vitendo kwa mwendazake membe.
Duu [emoji33][emoji33][emoji33] maneno yale yaliumizaga sana watu, hadi kuna wachungaji waliongea hicho kitu kwa masikitiko sana.Hasa atachagua akazikwe kwa mama yake mzazi au akazikwe kwa membe ni yeye tu uwanja mpana
Atakuwa mmanyema wa DRC yuleZitto ni mtu hatari sana.Ila sishangai ni muhutu/Mrundi huyu.Hawa watu wana visilani balaa.
Na vile vitabu vilivyozinduliwa mwezi huo inakuwaje!
Kama sio mmanyema wa DRC huyo, nikama hivyoHivi ni Mrundi? Mie nilijua ni Mzaire aisee
Marehemu wanatumia wakenya hilo jinaMi najua magu
Wewe si katika maadui wa Membe hivyo pengine huwezi kuona ufundi wa Mungu kwa kifo cha Membe.Yaani mtalazimisha kujifariji sana, lakini ukweli ni kuwa dhalimu wa chattle alikuwa anajifanya mungu mtu na sasa hivi hayupo. Huyo Membe hakuwa na madhara yoyote wala sio kifo kilichogusa wengi. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
Shida Salum ilikuwa small house ya spika kabla ya NdugaiHakumpenda mama yake vinginevyo angekuwa ameshazikwa na Shida Salum.
Hii kwa Membe inabidi atuonyeshe mahaba yake kwa vitendo kwa mwendazake membe.
Zitto ameongea ukweli safi sana.Zitto amechanganyikiwa? Aliyoongea kwenye msiba wa mpendwa, yanasidifu hiki ninachosema!
Aliwahi kusema kipindi cha Kifo cha Magufuli kwamba, walioumizwa sana na kifo hicho, wakazikwe pembeni yake
Sasa leo tunamkumbusha tuu
Haya ni marudio tu ya kile Zitto alisema pale ambapo wengine walionyesha mapenzi makubwa kwa aliyekuwa Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli alipofariki Dunia
Na leo yeye imekuwa kwake, anaongea kwa uchungu mkubwa kuonyesha naye ni binadamu mwenye kuguswa kama ilivyokuwa kwa wengine walioguswa na msiba wa Magufuli
Tunamshauri kwamba, kama alimpenda mno Membe, akazikwe pembeni yake
Kumbuka!
Kifo hakikimbiwi! Kila mwenye nafsi ataonja mauti
R.I.P Kachero Membe
[emoji27][emoji27][emoji27][emoji27]PIa wanaweza kumkata kichwa kikazikwe karibu na kaburi la mama yake huko Kigoma na kiwiliwili kikazikwe karibu na kaburi la Membe kule Rondo, Lindi.
Alaa kumbe ndiyo maana alisikitika sana, kuna siku alienda bungeni akapokelewa kwa bashasha sana.Shida Salum ilikuwa small house ya spika kabla ya Ndugai
Zitto aliuzunika kifo cha spika
Kalelewa na yule mzee six hadi kulipiwa adaAlaa kumbe ndiyo maana alisikitika sana, kuna siku alienda bungeni akapokelewa kwa bashasha sana.