We hujui au hauishi Tanzania hadi uulize?Una uhakika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We hujui au hauishi Tanzania hadi uulize?Una uhakika?
Una uhakika au unaiga wanachosema wenzioMagufuli alikua muuwaji huwezi mfananisha na membe hata kidogo
Zitto ni MmanyemaZitto ni mrundi
Unaelewa maana ya neno mwendazake lakini?We umekosea mwendazake ni magufuli
Baba yako alivyokufa mlimuangalia vzr.. hakujichafua?Baba hakuwa na cheo Wala Dola!
Yule MUNGU wenu wa chattle kamlilieni
Ayatolla leo kachekesha sana hotuba ya kijinga kabisa.Zitto amechanganyikiwa?? Aliyoongea kwenye msiba wa mpendwa, yanasidifu hiki ninachosema!
Aliwahi kusema kipindi cha Kifo cha Magufuli kwamba, walioumizwa sana na kifo hicho, wakazikwe pembeni yake
Sasa leo tunamkumbusha tuu
Haya ni marudio tu ya kile Zitto alisema pale ambapo wengine walionyesha mapenzi makubwa kwa aliyekuwa Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli alipofariki Dunia
Na leo yeye imekuwa kwake, anaongea kwa uchungu mkubwa kuonyesha naye ni binadamu mwenye kuguswa kama ilivyokuwa kwa wengine walioguswa na msiba wa Magufuli
Tunamshauri kwamba, kama alimpenda mno Membe, akazikwe pembeni yake
Kumbuka!
Kifo hakikimbiwi! Kila mwenye nafsi ataonja mauti
R.I.P Kachero Membe
Mi najua maguUnaelewa maana ya neno mwendazake lakini?
Umekosea.Mi najua magu
Kaongea pumba mda wote lina chuki hadi kwenye msibaAyatolla leo kachekesha sana hotuba ya kijinga kabisa.
Aliwaacha lakini historia yake hamtaifikia. Ni miongoni mwa Marais Watano wa Tanzania mpaka sasa, nyinyi mmekomea kugombea tuMuhimu ni kuwa magufuli alitangulia katuacha bahari imetulia
Zitto amechanganyikiwa?? Aliyoongea kwenye msiba wa mpendwa, yanasidifu hiki ninachosema!
Aliwahi kusema kipindi cha Kifo cha Magufuli kwamba, walioumizwa sana na kifo hicho, wakazikwe pembeni yake
Sasa leo tunamkumbusha tuu
Haya ni marudio tu ya kile Zitto alisema pale ambapo wengine walionyesha mapenzi makubwa kwa aliyekuwa Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli alipofariki Dunia
Na leo yeye imekuwa kwake, anaongea kwa uchungu mkubwa kuonyesha naye ni binadamu mwenye kuguswa kama ilivyokuwa kwa wengine walioguswa na msiba wa Magufuli
Tunamshauri kwamba, kama alimpenda mno Membe, akazikwe pembeni yake
Kumbuka!
Kifo hakikimbiwi! Kila mwenye nafsi ataonja mauti
R.I.P Kachero Membe
Aliwaacha lakini historia yake hamtaifikia. Ni miongoni mwa Marais Watano wa Tanzania mpaka sasa, nyinyi mmekomea kugombea tu
Halafu linafamilia, yaani nadhani kuna umuhimu wa elimu ya maadili kwa viongozi iwe compulsoryKaongea pumba mda wote lina chuki hadi kwenye msiba
Huyo anakumbushia tu maneno yaliyosemwa zamani na jf hawakufanya chochote.
Anajitoa akili maakusudi.Umesahau nini wewe kipindi Zitto alishauri hivi kwa waliompenda JPM