Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Wewe si katika maadui wa Membe hivyo pengine huwezi kuona ufundi wa Mungu kwa kifo cha Membe.
Sawa, nyie maadui zake ruksa kuona huo ufundi wa Mungu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe si katika maadui wa Membe hivyo pengine huwezi kuona ufundi wa Mungu kwa kifo cha Membe.
Wewe ndo shetani wake siyo?Dikteta on jehanamu fire
Sikia wewe membe alikuwa mgombea urais kuoitia act wazalendo ni lazima amuageZitto amechanganyikiwa? Aliyoyaongea kwenye msiba wa mpendwa wetu mh Membe, yanasidifu hiki ninachosema!
Aliwahi kusema kipindi cha Kifo cha Magufuli kwamba, walioumizwa sana na kifo hicho, wakazikwe pembeni yake
Sasa leo tunamkumbusha tuu
Haya ni marudio tu ya kile Zitto alisema pale ambapo wengine walionyesha majonzi na masikitiko makubwa kwa kuondokewa kipenzi chao cha aliyekuwa Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli!
Na leo yeye imekuwa kwake, anaongea kwa uchungu mkubwa kuonyesha naye ni binadamu mwenye kuguswa kama ilivyokuwa kwa wengine walioguswa na msiba wa Magufuli
Tunamshauri kwamba, kama alimpenda mno Membe, akazikwe pembeni yake
Kumbuka!
Kifo hakina adui wala rafiki kwamba kimpite, Kila mwenye nafsi ataonja mauti
R.I.P Kachero Membe
Tunatoa ushauri kwake kwamba, akazikwe pembeni yakeSikia wewe membe alikuwa mgombea urais kuoitia act wazalendo ni lazima amuage
atazikwa chatoZitto amechanganyikiwa? Aliyoyaongea kwenye msiba wa mpendwa wetu mh Membe, yanasidifu hiki ninachosema!
Aliwahi kusema kipindi cha Kifo cha Magufuli kwamba, walioumizwa sana na kifo hicho, wakazikwe pembeni yake
Sasa leo tunamkumbusha tuu
Haya ni marudio tu ya kile Zitto alisema pale ambapo wengine walionyesha majonzi na masikitiko makubwa kwa kuondokewa kipenzi chao cha aliyekuwa Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli!
Na leo yeye imekuwa kwake, anaongea kwa uchungu mkubwa kuonyesha naye ni binadamu mwenye kuguswa kama ilivyokuwa kwa wengine walioguswa na msiba wa Magufuli
Tunamshauri kwamba, kama alimpenda mno Membe, akazikwe pembeni yake
Kumbuka!
Kifo hakina adui wala rafiki kwamba kimpite, Kila mwenye nafsi ataonja mauti
R.I.P Kachero Membe
Mimi sina uadui na Membe kama nilivyokuwa sina uadui na Magufuli, ila nimeona maadui wa Magufuli walivyojionea ufundi wa Mungu na jinsi Mungu alivyoamua ugomvi wao na Magufuli kwa kumuondoa Magufuli(wao wanavyodai) na ndio sasa maadui wa Membe wanaona pia ufundi wa Mungu na jinsi Mungu alivyoamua ugomvi wao na Membe.Sawa, nyie maadui zake ruksa kuona huo ufundi wa Mungu.
Hiyo ni kimpango wao boss.Mimi sina uadui na Membe kama nilivyokuwa sina uadui na Magufuli, ila nimeona maadui wa Magufuli walivyojionea ufundi wa Mungu na jinsi Mungu alivyoamua ugomvi wao na Magufuli kwa kumuondoa Magufuli(wao wanavyodai) na ndio sasa maadui wa Membe wanaona pia ufundi wa Mungu na jinsi Mungu alivyoamua ugomvi wao na Membe.
Ndio ni kimpango wao JF lazima watu wajue hivyo kama ilivyo kwa wale maadui wa Magufuli, kutwa kueleza kwamba Mungu ni fundi kwa lumchukua Magufuli.Hiyo ni kimpango wao boss.
====@Mmebetaj