Zitto ashauliwe, anayo fursa ya kuamua, kuzikwa pembeni ya Membe au akae kwa kutulia!

Zitto ashauliwe, anayo fursa ya kuamua, kuzikwa pembeni ya Membe au akae kwa kutulia!

Zitto amechanganyikiwa? Aliyoyaongea kwenye msiba wa mpendwa wetu mh Membe, yanasidifu hiki ninachosema!

Aliwahi kusema kipindi cha Kifo cha Magufuli kwamba, walioumizwa sana na kifo hicho, wakazikwe pembeni yake

Sasa leo tunamkumbusha tuu

Haya ni marudio tu ya kile Zitto alisema pale ambapo wengine walionyesha majonzi na masikitiko makubwa kwa kuondokewa kipenzi chao cha aliyekuwa Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli!

Na leo yeye imekuwa kwake, anaongea kwa uchungu mkubwa kuonyesha naye ni binadamu mwenye kuguswa kama ilivyokuwa kwa wengine walioguswa na msiba wa Magufuli

Tunamshauri kwamba, kama alimpenda mno Membe, akazikwe pembeni yake

Kumbuka!

Kifo hakina adui wala rafiki kwamba kimpite, Kila mwenye nafsi ataonja mauti

R.I.P Kachero Membe
Sikia wewe membe alikuwa mgombea urais kuoitia act wazalendo ni lazima amuage
 
Zitto amechanganyikiwa? Aliyoyaongea kwenye msiba wa mpendwa wetu mh Membe, yanasidifu hiki ninachosema!

Aliwahi kusema kipindi cha Kifo cha Magufuli kwamba, walioumizwa sana na kifo hicho, wakazikwe pembeni yake

Sasa leo tunamkumbusha tuu

Haya ni marudio tu ya kile Zitto alisema pale ambapo wengine walionyesha majonzi na masikitiko makubwa kwa kuondokewa kipenzi chao cha aliyekuwa Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli!

Na leo yeye imekuwa kwake, anaongea kwa uchungu mkubwa kuonyesha naye ni binadamu mwenye kuguswa kama ilivyokuwa kwa wengine walioguswa na msiba wa Magufuli

Tunamshauri kwamba, kama alimpenda mno Membe, akazikwe pembeni yake

Kumbuka!

Kifo hakina adui wala rafiki kwamba kimpite, Kila mwenye nafsi ataonja mauti

R.I.P Kachero Membe
atazikwa chato
 
Sawa, nyie maadui zake ruksa kuona huo ufundi wa Mungu.
Mimi sina uadui na Membe kama nilivyokuwa sina uadui na Magufuli, ila nimeona maadui wa Magufuli walivyojionea ufundi wa Mungu na jinsi Mungu alivyoamua ugomvi wao na Magufuli kwa kumuondoa Magufuli(wao wanavyodai) na ndio sasa maadui wa Membe wanaona pia ufundi wa Mungu na jinsi Mungu alivyoamua ugomvi wao na Membe.
 
Mimi sina uadui na Membe kama nilivyokuwa sina uadui na Magufuli, ila nimeona maadui wa Magufuli walivyojionea ufundi wa Mungu na jinsi Mungu alivyoamua ugomvi wao na Magufuli kwa kumuondoa Magufuli(wao wanavyodai) na ndio sasa maadui wa Membe wanaona pia ufundi wa Mungu na jinsi Mungu alivyoamua ugomvi wao na Membe.
Hiyo ni kimpango wao boss.
 
Hiyo ni kimpango wao boss.
Ndio ni kimpango wao JF lazima watu wajue hivyo kama ilivyo kwa wale maadui wa Magufuli, kutwa kueleza kwamba Mungu ni fundi kwa lumchukua Magufuli.
 
Back
Top Bottom