Zitto ashauliwe, anayo fursa ya kuamua, kuzikwa pembeni ya Membe au akae kwa kutulia!

Zitto ashauliwe, anayo fursa ya kuamua, kuzikwa pembeni ya Membe au akae kwa kutulia!

Ayatolla leo kachekesha sana hotuba ya kijinga kabisa.
Aisee, niaibu sana.
Yani mtu anapata nafasi yakuongea mbele ya kiongozi mkuu na uma unamsikiliza alafu anaongea mambo ya kipuuzi puuzi.
Msibani watu wenye akili wanatulia na kuongea maneno mazuri ya faraja kwa wafiwa nk.
Yeye ameongea kwa mihemko sana bila aibu.
 
Yaani mtalazimisha kujifariji sana, lakini ukweli ni kuwa dhalimu wa chattle alikuwa anajifanya mungu mtu na sasa hivi hayupo. Huyo Membe hakuwa na madhara yoyote wala sio kifo kilichogusa wengi. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
Kama ukoo wako unavyoshukuru baba yako mchawi alivyo kufa alikuwa anatafuna mimba za ukoo
 
Zilizomhusu JPM hazikuwa hate thread, siyo?!

Sidhani kama wanaona hivyo, au Tuulizane tu, Tumeona wapi Korosho imejikunjua? Roho zingine huwa ni nafiki punde huzaliwa.

Hii ni nukuu ya hoja yao kuhusu "Thread" au Chuki walizoziasisi........................
================ "labda binadamu huyo aliyekufa awe ni mtu ambaye uwepo wake unasababisha vifo vya wanadamu wenzake, yaani awe muuaji, au kama binadamu huyo uwepo wake huwafanya binadamu wenzake wasiwe na amani, waishi kwa hofu, yaani awe ni hatari kwa amani na ustawi wa binadamu wenzake"===============================
Mwisho wa kunukuu.

Maneno hayo huwa yanatumika na wale wanaona wana mamlaka juu ya Vikundi au Watu wasiofanana nao au wanaona kuwa(wanaowaita wadhaifu) wanahitaji mkombozi, na mara nyingi hufuatiwa na aya au mistari ya Biblia kuonyesha mamlaka wanayopata kunena walichokinena.

Naamini, Watanzania na Wananchi kwa ujumla huwa wanawakodolea hawa maharamia kwa tahadhari kubwa kuliko za kawaida.

Amani iwafikie.
 
IMG_1449.jpg

Kiongozi anatafakari akazikwe zake kesho rondo
 
Aliwaacha lakini historia yake hamtaifikia. Ni miongoni mwa Marais Watano wa Tanzania mpaka sasa, nyinyi mmekomea kugombea tu
Kiaje tutaishia kugombea TU? Jk hakuwa rais? Samia hajapewa cheo na MUNGU?

Nyie ndio msubiti 2025 tutawakata majina huko Dodoma mpaka mkome
Sukuma gang out
 
Zitto amechanganyikiwa?? Aliyoongea kwenye msiba wa mpendwa, yanasidifu hiki ninachosema!

Aliwahi kusema kipindi cha Kifo cha Magufuli kwamba, walioumizwa sana na kifo hicho, wakazikwe pembeni yake

Sasa leo tunamkumbusha tuu

Haya ni marudio tu ya kile Zitto alisema pale ambapo wengine walionyesha mapenzi makubwa kwa aliyekuwa Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli alipofariki Dunia

Na leo yeye imekuwa kwake, anaongea kwa uchungu mkubwa kuonyesha naye ni binadamu mwenye kuguswa kama ilivyokuwa kwa wengine walioguswa na msiba wa Magufuli

Tunamshauri kwamba, kama alimpenda mno Membe, akazikwe pembeni yake

Kumbuka!

Kifo hakikimbiwi! Kila mwenye nafsi ataonja mauti

R.I.P Kachero Membe
PIa wanaweza kumkata kichwa kikazikwe karibu na kaburi la mama yake huko Kigoma na kiwiliwili kikazikwe karibu na kaburi la Membe kule Rondo, Lindi.
 
Back
Top Bottom