Zitto ataka wanaoikosoa ACT-Wazalendo waanzishe chama chao

Hawa hawa wananchi ambao wanalaumu huku Tanganyika ndio hata kwenye maandamano hawakuonekana.Kazi kukosoa watu kwenye keyboard tu, kujitokeza mbele hapana. Waacheni wanasiasa waamue yao maana hawakuungwa mkono na wanachama wao. Nao wameona labda walichofanya kwa kuitisha maandamano nyinyi wazee wa lawama mlikuwa hamkipendi kwa hiyo wamefata umoja na serikali labda ndio mnapenda. Ndio maana hamkuandamana wala kujitokeza kwa wingi kupiga kura. Mtu analaumu kwa mitandao unaweza kukuta hata kura hajapiga.
 
Labda unajidanganya wewe kiukweli mh.maalim seif amechoka kilichobaki ni ujuzi tu wa kisiasa kwani ujuzi hauzeeki

Si haba kutambua yafuatayo:

1. Ipo tofauti ya Seif na ACT kama chama. Kumbuka alipo, tupo!
2. Kipaumbele cha Seif ni Zanzibar. Yeye ni m-bara hadi ya Kigoma yamuumize kichwa?
3. Seif kaipambania Zanzibar maisha yake yote. Anaendelea kupambana na atapambana hadi kifo kimtenge!

Kuwahi kudhania kuwa Seif ni mjinga itakuwa ni kutojitendea haki kuliko pitiliza!
 
Yupo sahihi... Ni kama vile chama tawala vile huwezi kukupangia cha kufanya...




Cc: mahondaw
 
Hawa wapinzani hawana blank cheque ya kutuletea jeuri sisi wananchi, Kwa miaka mingi tumekuwa tukiishabumbulia CCM, lakini na wenyewe hawana impunity, tutawaekeza ukweli maana hivyo vyama kwa namba moja au nyingine vinanufaika kwa jasho la wananchi iwe kwa ruzuku au wanasiasa wao kulipwa kwa kodi za wananchi) hii sentesi ni ishara mbaya! Kumbe tz itaendelea kupambana na maadui wale wanne hata ikiwa kikongwe. (Ujinga, maradhi, umasikini, ....)
 
Zitto anaonja raha ya ruzuku sasa akiwa kama mmiliki wa chama
 
kwa kauli ya Zitto hapaswi kulaumiwa ya kusema asiyetaka akaanzishe chama kumbuka Zitto sasa yupo ndani ya ndoa hivyo hawezi tena toa kauli ya kuwatetea wapiga kura wake na pia kumbuka Zitto Kabwe amekataliwa na wana Kigoma kadri siku zinavyo enda Zitto anaanza rudi Lumumba na sisi wana Lumumba tunamkaribisha ata kama hata rudisha kadi basi mutarajie Zitto Kabwe kuunga juhudi au kusifu kazi za mzee.

Leo Zitto kawa MWEPESI SIO ZITTO TENA, KAKA ANGU ZITTO TANZANIA NI YA WOTE NAJUA KWA SASA WAJUTIA YALE MAMBO YA KUWASALITI WATANZANIA KULE WORD BANK LAKINI NJOO UTUBU TUJENGE TANZANIA
 
Zitto ameshafanya biashara hivyo kwake maisha kama kawa ni mtelezo.
 
Ona ulivyo fala wa kisiasa, yaani mtu akose hamu ya kula kwa kelele za wapuuzi kama wewe, unajua anaishi vipi? Mijinga kama wewe unakuta inashabikia Cdm hata kula tu shida alafu inabaki kuwaza maisha ya Zitto.

Nimecheka kwa nguvu, kilaza wa october 2020 umeingia kwa kasi ya ajabu. Umefunga turbo nini?
 

Zitto ndio kaanzisha ACT? Hebu tuanzie hapo.
 

Yeye aliingia road au alikuwa na remote mahali anabonyeza kuona kama channel zinafunguka? Alipaswa kuwa road kisha aite watu huko barabarani. Sisi tulitekeleza wajibu wetu wa kupiga kura, kuingia barabarani ni kujitoa muhanga, jambo ambalo hata yeye hajawahi kufanya. Ila hakuna shida, atakuja kuomba kura tena, labda hicho chama ndio kiwe mwisho wake sasa. Kwa huko Znz labda ndio watapata kura za wananchi maana Maalim Seif ndio mungu wao.
 
Kapoteza mwelekeo na Sasa tunajua kabisa huyu ni mchumia tumbo.Ajibu hoja na issue si kuanzisha chama.Kutakuwa na vyama vimgapi endapo kila mtu ataanzisha chama?Demokrasia I'ma mipaka yake.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Maandamano tarehe 2 lakini tarehe 1 siku moja kabla Polisi kwa amri za CCM wakawakamata viongozi wa CHADEMA, waliogopa nini? iweje hawakusubiria tarehe 2 waone? Kwenye sanduku la kura walijitokeza kwa wingi wakauchagua Upinzani lakini NEC, Tume, wakurugenzi na Polisi wakaulawiti, kuubaka, kuunajisi uchaguzi mkuu kwa njia haramu, watu hawataki biashara haramu za siasa kama sasa.
 
Muwe mnatofautisha JF na Instagram na TwItter

JF tunataka ushahidi sio kusema tu.

Dola milion 5 siyo dola bilion 500 acha kuongeza hesabu zako binafsi, Ushahidi uletewe hapo gheto unaposhinda ukivuta Bangi? Povu baki nalo huko huko mwenyewe uliyekuja na dola bilion 500
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…