Dogo unatoka nje ya mstari, rudi mstarini, umeshasahau ulikuwa unampigia vigelegele Zitto?!Mbowe alifungwa lini kama sio enzi za magufuli, na hapo ni kwasababu aliokuwa anawatanguliza akina slaa waliondoka chadema, akina tundu lissu na lema wako canada.
Kwahiyo siasa ya upinzani sharti ufungwe ndipo uonekane mpinzani?
Unasema nalazimisha kumsemea mtu wakati uko hapa hapa unamsemea zitto kwa mabaya.
Pambana na chama chenu mwacheni na chama chake si mlimfukuza?
Yah na bado nasema hivi mwacheni afanye siasa anayoona inafaa chama chake kinaitwa ACT siyo Chadema wana sera tofauti dogo.Dogo unatoka nje ya mstari, rudi mstarini, umeshasahau ulikuwa unampigia vigelegele Zitto?!
Umechagua fungu bovu pole.Yah na bado nasema hivi mwacheni afanye siasa anayoona inafaa chama chake kinaitwa ACT siyo Chadema wana sera tofauti dogo.
Mbowr kuwa na ukaribu na wasaliti hakuondoi ukweli kwamba msaliti ni msaliti, punguza jazba.
Hata wakikutana popote hakuna tatizo muhimu Mbowe anajitambua na bado anawapeleka mbio CCM mpaka DPP anaweka mpira kwapani, kaa unywe maji mengi usife kwa pressure.
Chadema wanataka Zitto afanye Siasa wanazotaka wao
Kama wao wameona Katiba mpya ianze kabla ya Tume huru, kuna wengine wana uhuru wa kuona ianze Tume huru kabla ya Katiba mpya…
pia tupo wengine tunaoona iitishwe kura ya maoni ya wa Tanzania wote tuamue tunataka Tume huru ya Uchaguzi na Katiba mpya au kila kitu kibaki kama kilivyo sasa badala ya ku base na Maoni ya Tume ya Warioba iliyohoji watu elf 44 pekee na kutulazimisha kuwa hayo ndio mawazo ya Rais 60 plus million
Mimi sio mwanachama wa ACT ila tu nawaambia ukweli mwacheni Zitto na Chama chake maana mnataka afuate kile mnachotaka.Umechagua fungu bovu pole.
Andika watanzania wanaliona lina hati miliki, ndio maana mmelinyima haki yao ya kufanya siasa kama sheria inavyotaka, huu ndio ukweli msijikwepeshe mnajitesa bure.Tatizo kuna kundi linajiona lina hatimiliki ya 'upinzani' kwenye siasa za Tz.......wanawaona wapinzani wengine wote ni mamluki isipokuwa wao tu.
Mwambie Zitto ndio aiache Chadema umeshasahau juzi tu alijigeuza msemaji wake kwa kwenda kumuombea Mbowe msamaha ikulu?Mimi sio mwanachama wa ACT ila tu nawaambia ukweli mwacheni Zitto na Chama chake maana mnataka afuate kile mnachotaka.
Wapi umetukanwa?Ndio utulizane…Bosi wako yupo na 'Wasaliti' na katika lugha rahisi wee endelea kutukana ila ujue kuwa huna cha kubadilisha kwny Nchi hii wala huna cha kuathiri katika siasa za hao unaowaita 'Wasaliti' na sasa hivi tunakwenda kwny Uchaguzi wa 2025 bila ya Katiba mpya na tunasubiri msisitizo wenu…mtasusa au mtashiriki?
Mbowe alimuombea msamaha kama Mtanzania yoyote yule. Ile haina impact kwa chama. Sasa nyie mnataka afuate sera zenu na uelekeo wa chadema na tena mnaenda mbali zaidi kwa kumshambulia kwa kutofuata sera na maono yenu.Mwambie Zitto ndio aiache Chadema umeshasahau juzi tu alijigeuza msemqji wake kwa kwenda kumuombea Mbowe msamaha ikulu?
Kaa utulie.
Zitto na Nondo wake siyo watu hata kidogo“Kwa Zitto msiwe na wasiwasi Rais JK alishamaliza kazi “ kila aliehudhuria kile kikao aliposikia Zitto ni mwenzetu alihamaki kidogo na kikao hicho kilifanyika Iringa eneo maalumu na kilihudhuriwa na viongozi wakubwa wa CCM isipokuwa Mwenyekiti wa taifa.
Hiyo ilikuwa ni kati ya miaka 2009, 2010, 2011
Hiyo kauli kamwe sikuweza kuiamini lakini chama chake kilipomfukuza na kumwita ndumilakuwili na kumtuhumu kuvujisha siri nyingi za chadema hasa kwa watawala akili ikawa inakumbuka sana ile kauli ya pale juu.
Pili nikajiuliza kwanini ACT yake imekaa kimichongo yaani chama kipo Kigoma tu kwao mjini na Zanzibar walikopewa umakamo taratibu nikagundua huyu bwana Zitto yuko compromised isipokuwa baada ya Magufuli kuwaondoa kwenye payroll, na kuwabwaga nje wapinzani janja janja ndio Zitto akaanza kuishambulia sana serikali ya Magufuli na ni kwa sababu ya maslahi.
Zitto niliyepata kumfahamu ni yule wa kabla ya tume ya buzwagi lakini Zitto aliyeingia kwenye tume ile ya madini ndio zitto wa leo sasa.
Umeona sasa alipoingia Rais Samia na Zitto wenu kukaribishwa mezani kwa sasa anakula chakula unadhani utamuona akiinanga serikali vibaya hapana kazi yake itakua kumnanga marehemu magufuli tu ili kupoteza maboya lakini wenye akili tumeshamshtukia hana nia njema huyo.
Ukifikiri Zitto ana tofauti na mrema, shibuda, cheyo kwa sasa unakua umekosea hao wote ni kundi moja na hawaitaki katiba mpya maana hii iliyopo wao inawafaa.
MANENO HAYO YA MZEE KALINGA WA PAWAGA ALIPOKUA AKIMUHADITHIA MZEE SHIGAHELA WA NGUDU WALIPOKUA WAKIELEKEA BUGANDO KUONA MGONJWA WAO.
Taja watanoWa Chagga waliounga mkono Juhudi za JPM ni wengi kuliko Waha
Mwambie Zitto ndio aiache Chadema umeshasahau juzi tu alijigeuza msemaji wake kwa kwenda kumuombea Mbowe msamaha ikulu?
Kaa utulie.
Cheki ulivyo kilazaChadema wanataka Zitto afanye Siasa wanazotaka wao
Kama wao wameona Katiba mpya ianze kabla ya Tume huru, kuna wengine wana uhuru wa kuona ianze Tume huru kabla ya Katiba mpya…
pia tupo wengine tunaoona iitishwe kura ya maoni ya wa Tanzania wote tuamue tunataka Tume huru ya Uchaguzi na Katiba mpya au kila kitu kibaki kama kilivyo sasa badala ya ku base na Maoni ya Tume ya Warioba iliyohoji watu elf 44 pekee na kutulazimisha kuwa hayo ndio mawazo ya Rais 60 plus million
Umeongea sawa, hao wazee walitema sana madini humo safarini, inaonekana ni wasomi wa elimu ya mkoloni.“Kwa Zitto msiwe na wasiwasi Rais JK alishamaliza kazi “ kila aliehudhuria kile kikao aliposikia Zitto ni mwenzetu alihamaki kidogo na kikao hicho kilifanyika Iringa eneo maalumu na kilihudhuriwa na viongozi wakubwa wa CCM isipokuwa Mwenyekiti wa taifa.
Hiyo ilikuwa ni kati ya miaka 2009, 2010, 2011
Hiyo kauli kamwe sikuweza kuiamini lakini chama chake kilipomfukuza na kumwita ndumilakuwili na kumtuhumu kuvujisha siri nyingi za chadema hasa kwa watawala akili ikawa inakumbuka sana ile kauli ya pale juu.
Pili nikajiuliza kwanini ACT yake imekaa kimichongo yaani chama kipo Kigoma tu kwao mjini na Zanzibar walikopewa umakamo taratibu nikagundua huyu bwana Zitto yuko compromised isipokuwa baada ya Magufuli kuwaondoa kwenye payroll, na kuwabwaga nje wapinzani janja janja ndio Zitto akaanza kuishambulia sana serikali ya Magufuli na ni kwa sababu ya maslahi.
Zitto niliyepata kumfahamu ni yule wa kabla ya tume ya buzwagi lakini Zitto aliyeingia kwenye tume ile ya madini ndio zitto wa leo sasa.
Umeona sasa alipoingia Rais Samia na Zitto wenu kukaribishwa mezani kwa sasa anakula chakula unadhani utamuona akiinanga serikali vibaya hapana kazi yake itakua kumnanga marehemu magufuli tu ili kupoteza maboya lakini wenye akili tumeshamshtukia hana nia njema huyo.
Ukifikiri Zitto ana tofauti na mrema, shibuda, cheyo kwa sasa unakua umekosea hao wote ni kundi moja na hawaitaki katiba mpya maana hii iliyopo wao inawafaa.
MANENO HAYO YA MZEE KALINGA WA PAWAGA ALIPOKUA AKIMUHADITHIA MZEE SHIGAHELA WA NGUDU WALIPOKUA WAKIELEKEA BUGANDO KUONA MGONJWA WAO.
Cheki ulivyo kilaza
bahati nzuri hata mumeo anasikia maumivu ya utawala mbovu, bidhaa zimepanda kila sehemu na umeme ni changamoto kwa woteTukana unavyoweza lakini 2025 tunaenda kwny uchaguzi bila ya katiba mpya…msilete usanii mliofanya kipindi kile uchaguzi wa 2019 wa Serikali za Mitaa mkasusa eti mnataka Tume huru na Katiba mpya halafu ilipofika 2020 mkajibalaguza mkashiriki mkatolewa kupitia dirishani
Umeongea sawa, hao wazee walitema sana madini humo safarini, inaonekana ni wasomi wa elimu ya mkoloni.
Zitto ni mibaka siasa, hafai kuongoza hata Kitongoji, yupo pale kwa maslahi yake binafsi na si ya umma.
Kama umekuja kulisema hili leo, basi umelisema kwa kuchelewa sana.
Hata hivyo paragraph ya kwanza umechanganya wasomaji kwa kusema JK alimuongelea ZZK kuwa ni mwenzao, halafu kwenye kikao hicho walihudhuria vigogo wakuu wa Ccm isipokuwa Mwenyekiti!
Basi tuseme kwa kuwa maneno yote hayo ni nukuu kutoka vinywa vya wazee, basi wewe haukuwasikiliza vizuri.
Ilitakiwa umjibu hivo mzee Kalinga sasa sio mimi mleta ujumbe
Tatizo lenu mna mihemko sana mnataka nyie ndio muwe Kamusi ya Siasa za Upinzani…kila mtu afanye siasa zake na msipangiane