Unajua maana ya sample space, unataka sample space iwe ngapi? Kwa population ya 60m sample space ya elfu 44 ni kubwa sana.Chadema wanataka Zitto afanye Siasa wanazotaka wao
Kama wao wameona Katiba mpya ianze kabla ya Tume huru, kuna wengine wana uhuru wa kuona ianze Tume huru kabla ya Katiba mpya…
pia tupo wengine tunaoona iitishwe kura ya maoni ya wa Tanzania wote tuamue tunataka Tume huru ya Uchaguzi na Katiba mpya au kila kitu kibaki kama kilivyo sasa badala ya ku base na Maoni ya Tume ya Warioba iliyohoji watu elf 44 pekee na kutulazimisha kuwa hayo ndio mawazo ya Rais 60 plus million
ZITTO mchana MPINZANI usiku CCM“Kwa Zitto msiwe na wasiwasi Rais JK alishamaliza kazi “ kila aliehudhuria kile kikao aliposikia Zitto ni mwenzetu alihamaki kidogo na kikao hicho kilifanyika Iringa eneo maalumu na kilihudhuriwa na viongozi wakubwa wa CCM isipokuwa Mwenyekiti wa taifa.
Hiyo ilikuwa ni kati ya miaka 2009, 2010, 2011
Hiyo kauli kamwe sikuweza kuiamini lakini chama chake kilipomfukuza na kumwita ndumilakuwili na kumtuhumu kuvujisha siri nyingi za chadema hasa kwa watawala akili ikawa inakumbuka sana ile kauli ya pale juu.
Pili nikajiuliza kwanini ACT yake imekaa kimichongo yaani chama kipo Kigoma tu kwao mjini na Zanzibar walikopewa umakamo taratibu nikagundua huyu bwana Zitto yuko compromised isipokuwa baada ya Magufuli kuwaondoa kwenye payroll, na kuwabwaga nje wapinzani janja janja ndio Zitto akaanza kuishambulia sana serikali ya Magufuli na ni kwa sababu ya maslahi.
Zitto niliyepata kumfahamu ni yule wa kabla ya tume ya buzwagi lakini Zitto aliyeingia kwenye tume ile ya madini ndio zitto wa leo sasa.
Umeona sasa alipoingia Rais Samia na Zitto wenu kukaribishwa mezani kwa sasa anakula chakula unadhani utamuona akiinanga serikali vibaya hapana kazi yake itakua kumnanga marehemu magufuli tu ili kupoteza maboya lakini wenye akili tumeshamshtukia hana nia njema huyo.
Ukifikiri Zitto ana tofauti na mrema, shibuda, cheyo kwa sasa unakua umekosea hao wote ni kundi moja na hawaitaki katiba mpya maana hii iliyopo wao inawafaa.
MANENO HAYO YA MZEE KALINGA WA PAWAGA ALIPOKUA AKIMUHADITHIA MZEE SHIGAHELA WA NGUDU WALIPOKUA WAKIELEKEA BUGANDO KUONA MGONJWA WAO.
Uko na points nyingi sema umekosea kumtaja Jiwe muovu, bora ujinga wa Zitto kulilo uovu wa Jiwe“Kwa Zitto msiwe na wasiwasi Rais JK alishamaliza kazi “ kila aliehudhuria kile kikao aliposikia Zitto ni mwenzetu alihamaki kidogo na kikao hicho kilifanyika Iringa eneo maalumu na kilihudhuriwa na viongozi wakubwa wa CCM isipokuwa Mwenyekiti wa taifa.
Hiyo ilikuwa ni kati ya miaka 2009, 2010, 2011
Hiyo kauli kamwe sikuweza kuiamini lakini chama chake kilipomfukuza na kumwita ndumilakuwili na kumtuhumu kuvujisha siri nyingi za chadema hasa kwa watawala akili ikawa inakumbuka sana ile kauli ya pale juu.
Pili nikajiuliza kwanini ACT yake imekaa kimichongo yaani chama kipo Kigoma tu kwao mjini na Zanzibar walikopewa umakamo taratibu nikagundua huyu bwana Zitto yuko compromised isipokuwa baada ya Magufuli kuwaondoa kwenye payroll, na kuwabwaga nje wapinzani janja janja ndio Zitto akaanza kuishambulia sana serikali ya Magufuli na ni kwa sababu ya maslahi.
Zitto niliyepata kumfahamu ni yule wa kabla ya tume ya buzwagi lakini Zitto aliyeingia kwenye tume ile ya madini ndio zitto wa leo sasa.
Umeona sasa alipoingia Rais Samia na Zitto wenu kukaribishwa mezani kwa sasa anakula chakula unadhani utamuona akiinanga serikali vibaya hapana kazi yake itakua kumnanga marehemu magufuli tu ili kupoteza maboya lakini wenye akili tumeshamshtukia hana nia njema huyo.
Ukifikiri Zitto ana tofauti na mrema, shibuda, cheyo kwa sasa unakua umekosea hao wote ni kundi moja na hawaitaki katiba mpya maana hii iliyopo wao inawafaa.
MANENO HAYO YA MZEE KALINGA WA PAWAGA ALIPOKUA AKIMUHADITHIA MZEE SHIGAHELA WA NGUDU WALIPOKUA WAKIELEKEA BUGANDO KUONA MGONJWA WAO.
Zitto ni opportunist ni msaliti wa upinzani period,Anavyoonekana anaaamini kwenye ushirikiano lakini CHADEMA siyo watu wa aina hiyo.
Sasa hivi CDM wanapenda kila kilicho kizuri kiwe CHA KWAO.
Na ndio maana mfano, Zitto akikutana na Samia au mwana CCM wakamponda balaa, ila Mbowe akikutana na Wana CCM Haina shida.
Na Hiki kitu hakikuanza Jana, tangu Zitto atimuliwe CDM. Kuna kipindi kama ulivyosema Lowassa alianza kusingiziwa ndio kaanzisha ACT na anataka kugombea huko. Ila alivyohamia CDM ikawa hakuna tatizo.
Sasa hivi, ukifuatilia utaona hawakudai Maalim Seif ahalie ACT walitaka ahamie CDM.
Kwa mtazamo wangu, naona ndani ya CDM yaani ukikosana na Mbowe tu unatakiwa upoteee kisiasa, ukiendelea kuwepo aisee mashambulizi kutoka kwa vijana wa Mbowe hawataisha.
Ukisoma kwa umakini hii mada, mtoa mada ni sukuma gang (mataga) ambao ni ccm kindakindaki wa awamu ya tano. Ajabu kwenye michango wanaolaumiwa na kutukanwa ni CHADEMA. Kwanini msoga gang msiwashambulie wanaccm wenzenu sukuma gang badala yake mnawaangushia jumba bovu chadema?“Kwa Zitto msiwe na wasiwasi Rais JK alishamaliza kazi “ kila aliehudhuria kile kikao aliposikia Zitto ni mwenzetu alihamaki kidogo na kikao hicho kilifanyika Iringa eneo maalumu na kilihudhuriwa na viongozi wakubwa wa CCM isipokuwa Mwenyekiti wa taifa.
Hiyo ilikuwa ni kati ya miaka 2009, 2010, 2011
Hiyo kauli kamwe sikuweza kuiamini lakini chama chake kilipomfukuza na kumwita ndumilakuwili na kumtuhumu kuvujisha siri nyingi za chadema hasa kwa watawala akili ikawa inakumbuka sana ile kauli ya pale juu.
Pili nikajiuliza kwanini ACT yake imekaa kimichongo yaani chama kipo Kigoma tu kwao mjini na Zanzibar walikopewa umakamo taratibu nikagundua huyu bwana Zitto yuko compromised isipokuwa baada ya Magufuli kuwaondoa kwenye payroll, na kuwabwaga nje wapinzani janja janja ndio Zitto akaanza kuishambulia sana serikali ya Magufuli na ni kwa sababu ya maslahi.
Zitto niliyepata kumfahamu ni yule wa kabla ya tume ya buzwagi lakini Zitto aliyeingia kwenye tume ile ya madini ndio zitto wa leo sasa.
Umeona sasa alipoingia Rais Samia na Zitto wenu kukaribishwa mezani kwa sasa anakula chakula unadhani utamuona akiinanga serikali vibaya hapana kazi yake itakua kumnanga marehemu magufuli tu ili kupoteza maboya lakini wenye akili tumeshamshtukia hana nia njema huyo.
Ukifikiri Zitto ana tofauti na mrema, shibuda, cheyo kwa sasa unakua umekosea hao wote ni kundi moja na hawaitaki katiba mpya maana hii iliyopo wao inawafaa.
MANENO HAYO YA MZEE KALINGA WA PAWAGA ALIPOKUA AKIMUHADITHIA MZEE SHIGAHELA WA NGUDU WALIPOKUA WAKIELEKEA BUGANDO KUONA MGONJWA WAO.
Sawa 7 mara 70 lakini muhimu kuiacha akili ifanye kazi yake, kuendelea kusamehe tu huku ukijiweka kwenye mazingira yaleyale ya kukosewa nao utakuwa ni uzembe mwishowe utapoteza hata heshima yako kwa wengine.Tusiache kusamehe x7x70.
Mafanikio makubwa Kenya kisiasa ni pamoja na kutoka huku.
"Hayupo adui wala rafiki wa kudumu bali agenda."
Hatuwezi kukubaliana kuangalia mbele na kusahau whichever ugly past however worse it may had been?
Sawa 7 mara 70 lakini muhimu kuiacha akili ifanye kazi yake, kuendelea kusamehe tu huku ukijiweka kwenye mazingira yaleyale ya kukosewa nao utakuwa ni uzembe mwishowe utapoteza hata heshima yako kwa wengine.
Hizi ndio zile stori alizokuwa anachonga Kubebea kupitia MwanaHalisi na Mawio au Kuna kingine?Zitto ni opportunist ni msaliti wa upinzani period,
ni kweli kila mtu afanye siasa zake lkn siasa za Zitto za kupandia na kuharibu walichoanziaha wengine sio sawa,
Akiwa Chadema alitumiwa kuanzisha uasi ndani ya chama kumbuka MM, M1, M2 M3 na wenzake kina Mkumbo, Waitra, Mwigamba leo wako wapi, wametangulia CCM yeye kavaa joho la upinzani kupambana na wapinzani.
KATUMWA na Nani?Katumwa kwenda kuwarubuni Wazanzibari na kufifisha kudai nchi yao kaivuruga CUF kamkaribisha Maalimu Seif ili amumalize through ACT na kaimaliza kweli.
Kuwagawaje wapinzani?Tangu mwanzo wapinzani na hata yeye walikuwa na madai ya Katiba mpya kuona wanaaza kufanikiwa kaja na ajenda yake ya Tume huru mradi tu kuwagawa wapinzani.
TCD Ni umoja wa vyama vya siasa na kila mwenyekiti wa chama, atakuwa Kiongozi kwa mwaka mmoja mmoja. 2021/22 Ni zamu ya ACT na mwakani Kuna mwingine.Leo hii anajificha kwa mgongi wa TCD kama platform yake mpya baada ya kuona jukwaa la ACT limejulikana lengo lake. Kwanza muda wake umeisha anang’ang’ania nini TCD.
Anyway, hiyo Ni kawaida kwa wanasiasa. Sisi tusio na Vyama tunaona. Hata CDM inajukikana na UKABILA na UBINAFSI.Zitto hata mmpambe vipi tangu mwanzo anajulikana kwa udini na kwa usaliti wake.
Hizi ndio zile stori alizokuwa anachonga Kubebea kupitia MwanaHalisi na Mawio au Kuna kingine?
Maana hata Mimi nilizisoma sana, enzi hizo Dk Slaa ( sasa hivi Dokta Mihogo aka Mzee Mpumbavu 🤣) ndio Katibu Mkuu wa CDM.
Enzi hizo KUBENEA anachora propaganda zake akowahusisha TISS anasema wanamtumia Zitto. Mara ghafla 2025 KUBENEA huyo huyo akaungana na Zitto huko ACT.
KATUMWA na Nani?
Maana mimi ninachojua Wazanzibar wanataka Tume huru ya uchaguzi, maana Katiba wanayo tangu 2008 iliyotamka Zanzibar Ni nchi.
Na suala la SUK limeanza tangu 2008 huko wakati huyo Zitto hayuko huko na Wazanzibar. Hata Maalim Seif mwenyewe kafariki akiwa ndani ya SUK kama Makamu wa kwanza wa Rais, Zanzibar.
Kuwagawaje wapinzani?
Kwanini tusiseme nyie CDM ndio mnagawa wapinzani?
Kwamba ili usionekane msaliti na unawagawa wapinzani, inatakiwa UFUATE kila wanachotaka CDM??
TCD Ni umoja wa vyama vya siasa na kila mwenyekiti wa chama, atakuwa Kiongozi kwa mwaka mmoja mmoja. 2021/22 Ni zamu ya ACT na mwakani Kuna mwingine.
Sasa Hap anajifichaje?
Anyway, hiyo Ni kawaida kwa wanasiasa. Sisi tusio na Vyama tunaona. Hata CDM inajukikana na UKABILA na UBINAFSI.
Zitto alipiga sana dili NSSF enzi za DAU, na CDM bila kiwa mchagga utabaki tu kusindikiza wenzako.
CDM imevuna Ruzuku zaidi ya Milioni 400 kila mwezi kwa miaka 5 lakini Leo hata ofisi Hakuna, ukihoji yatakukuta ya CHACHA WANGWE au Zitto.
Kwanza ni ujuha kukaa mnabishana Katiba Mpya.....Tume huru ya uchaguzi wakati hamjaambiwa kama mchagie kipi mpewe.Kama vita vya panzi vile.
Ninakazia: viongozi ngazi za juu kabisa waumane behind closed doors. Katiba mpya kwa sasa ni muhimu zaid kuliko yeyote.
Kwanza ni ujuha kukaa mnabishana Katiba Mpya.....Tume huru ya uchaguzi wakati hamjaambiwa kama mchagie kipi mpewe.
In short, Hakuna Cha Katiba Mpya Wala Tume huru ya uchaguzi labda tu Wananchi wenyewe waamue kuingilia Kati au CCM waaamue kuleta.
Otherwise, Ni kelele za wapuuzi tu.
Sasa hivi, Mbowe katoka Mahabusu sasa mbona haendelei na makongamano ya Katiba Mpya maana Mara ya mwisho ilikuwa Mwanza.
Katiba mpya Ni muda huu Leo SAA 7 na dakika 24 JumatatuWanasema ukijidhania umesimama na uangalie vyema usije ukaanguka.
Kwamba:
View attachment 2166913
Hayo mkawaambie ndege. Katiba mpya ni sasa!
Ninakazia: Juha utakuwa wewe mjomba.
Hiiiiii bagosha!
Katiba mpya Ni muda huu Leo SAA 7 na dakika 24 Jumatatu
Safi sana kamanda. Katiba mpya ni sasa hivi🙁🙁🙁Haya mambo yamekuzidi kimo siyo size yako subiria baba anakuletea pipi
Amekutuma na huu urojo?Safi sana kamanda. Katiba mpya ni sasa hivi🙁🙁🙁
Umbea na wivu. ZZK anawawasha mno wewe na wenzako.“Kwa Zitto msiwe na wasiwasi Rais JK alishamaliza kazi “ kila aliehudhuria kile kikao aliposikia Zitto ni mwenzetu alihamaki kidogo na kikao hicho kilifanyika Iringa eneo maalumu na kilihudhuriwa na viongozi wakubwa wa CCM isipokuwa Mwenyekiti wa taifa.
Hiyo ilikuwa ni kati ya miaka 2009, 2010, 2011
Hiyo kauli kamwe sikuweza kuiamini lakini chama chake kilipomfukuza na kumwita ndumilakuwili na kumtuhumu kuvujisha siri nyingi za chadema hasa kwa watawala akili ikawa inakumbuka sana ile kauli ya pale juu.
Pili nikajiuliza kwanini ACT yake imekaa kimichongo yaani chama kipo Kigoma tu kwao mjini na Zanzibar walikopewa umakamo taratibu nikagundua huyu bwana Zitto yuko compromised isipokuwa baada ya Magufuli kuwaondoa kwenye payroll, na kuwabwaga nje wapinzani janja janja ndio Zitto akaanza kuishambulia sana serikali ya Magufuli na ni kwa sababu ya maslahi.
Zitto niliyepata kumfahamu ni yule wa kabla ya tume ya buzwagi lakini Zitto aliyeingia kwenye tume ile ya madini ndio zitto wa leo sasa.
Umeona sasa alipoingia Rais Samia na Zitto wenu kukaribishwa mezani kwa sasa anakula chakula unadhani utamuona akiinanga serikali vibaya hapana kazi yake itakua kumnanga marehemu magufuli tu ili kupoteza maboya lakini wenye akili tumeshamshtukia hana nia njema huyo.
Ukifikiri Zitto ana tofauti na mrema, shibuda, cheyo kwa sasa unakua umekosea hao wote ni kundi moja na hawaitaki katiba mpya maana hii iliyopo wao inawafaa.
MANENO HAYO YA MZEE KALINGA WA PAWAGA ALIPOKUA AKIMUHADITHIA MZEE SHIGAHELA WA NGUDU WALIPOKUA WAKIELEKEA BUGANDO KUONA MGONJWA WAO.
Unajua maana ya sample space, unataka sample space iwe ngapi? Kwa population ya 60m sample space ya elfu 44 ni kubwa sana.
Mkuu hata waliochukua sample ya maji ya mto Mara walichukua chupa moja tu ya maji sio mto mzima.Kwanini kwny uchaguzi hatutumii sample space?
Katiba ni sensitive kuliko Uchaguzi
Kwani huyo unayetaka kujipanga nae una hakika kabadilika? unamuamini? halafu ni kipi kinachokufanya uone bila yeye Katiba Mpya haiwezi kupatikana?Kwamba ni heri tuikose katiba mpya kwa sababu tu ya kushindwa kukaa chini na kujipanga upya panapo uwezekano?
Kwamba tumejiapiza kuwa na maadui wa kudumu liwalo na liwe?
Hii kwa hakika si ndiyo itakuwa sherehe sasa kwa ma CCM?
Kwani yatake Mola ayape nini tena zaidi?