ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Wakati Magufuli yupo Zito alikuwa rafiki yenu..Next time nimshauri Zitto na wanasiasa wengine kufanya timing unapotaka kufanya kazi na jamii. Leo tunakosa uchmbuzi wa comments za ACT Wazalendo kuhusu CAG report kwa Sasa Mbowe kateka media zote nchini.
Natamani kosa kama hili lisijirudie, jipeni muda wakuwasiliana na jamii.
Magu amefariki Zito amekuwa adui yenu!!?