Zitto jifunze kufanya timing, usingechapa ripoti wakati Mbowe ana press

Zitto jifunze kufanya timing, usingechapa ripoti wakati Mbowe ana press

Next time nimshauri Zitto na wanasiasa wengine kufanya timing unapotaka kufanya kazi na jamii. Leo tunakosa uchmbuzi wa comments za ACT Wazalendo kuhusu CAG report kwa Sasa Mbowe kateka media zote nchini.

Natamani kosa kama hili lisijirudie, jipeni muda wakuwasiliana na jamii.
Wakati Magufuli yupo Zito alikuwa rafiki yenu..
Magu amefariki Zito amekuwa adui yenu!!?
 
Wote zito na mbowe wanomba poo ili wapate tena fursa. Mama Samia tumemkabidhi shamba letu la maindi, tunaomba asichekecheke na nyani.
 
Siasa sio upepo ni hoja, kama hoja za Mbowe zimefunika za Zitto ndio siasa, lkn wanasiasa kuanza kulia timing kama zawanamuziki wa Bongo kipindi wanataka kutoa nyimbo huo nao utakuwa usanii.

Wenye akili husikiliza hoja zote kwa wakati wao kisha hudadavua, bali wajinga huvuma na upepo unakoelekea.
Cc ZZK
 
Naona mnaparurana hapa nani kateka media kuliko mwenzake.

Inasikitisha mno kwamba malengo ya vyama vya upinzani ni kuteka media tu.
Hahaha kwani huwa unawachukulia serious upinzani?
 
Next time nimshauri Zitto na wanasiasa wengine kufanya timing unapotaka kufanya kazi na jamii. Leo tunakosa uchmbuzi wa comments za ACT Wazalendo kuhusu CAG report kwa Sasa Mbowe kateka media zote nchini.

Natamani kosa kama hili lisijirudie, jipeni muda wakuwasiliana na jamii.
wenye kufata upepo wa kigogo ndio mmekazania ya mbowe japo yana umuhimu wake, ila kwa sisi penye fıkra pana kwa jailli ya Taifa letu tunasikiliza uchambuzi wa ACT wendy kutoa majawabu kwa changamoto za Nchi yetu na sio siasa
 
Next time nimshauri Zitto na wanasiasa wengine kufanya timing unapotaka kufanya kazi na jamii. Leo tunakosa uchmbuzi wa comments za ACT Wazalendo kuhusu CAG report kwa Sasa Mbowe kateka media zote nchini.

Natamani kosa kama hili lisijirudie, jipeni muda wakuwasiliana na jamii.
Hata mama naye awe anaangalia Mbowe yuko wapi kabla ya kufanya ziara zake , habari za Uganda zimeteketezwa na Kishindo cha Jabali Mbowe
 
Next time nimshauri Zitto na wanasiasa wengine kufanya timing unapotaka kufanya kazi na jamii. Leo tunakosa uchmbuzi wa comments za ACT Wazalendo kuhusu CAG report kwa Sasa Mbowe kateka media zote nchini.

Natamani kosa kama hili lisijirudie, jipeni muda wakuwasiliana na jamii.
Hotuba ya Mbowe yote inamambo Matatu.
✓Kuomba Huruma yake Binafsi na chama chake .

✓ Malalamiko
✓ kuelezea Hofu waliyonayo kwa Mh Samia.
✓ na Zaidi Amecopy mambo kadhaa kutoka kwa Hotuba za Zitto ikiwemo Kibwagizo chake.
 
Hii nchi ina watu wa ovyo sana, hivi mleta mada na wanaomsapoti wanasumbuliwa na nini?
 
Back
Top Bottom