ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Wakati Magufuli yupo Zito alikuwa rafiki yenu..Next time nimshauri Zitto na wanasiasa wengine kufanya timing unapotaka kufanya kazi na jamii. Leo tunakosa uchmbuzi wa comments za ACT Wazalendo kuhusu CAG report kwa Sasa Mbowe kateka media zote nchini.
Natamani kosa kama hili lisijirudie, jipeni muda wakuwasiliana na jamii.
Huyu anajiposition kama Musiba.
Kigoma hiyo na Urundi unamwaribu sanaZitto is good but unafiki na ujuaji unamponza.
Cc ZZKSiasa sio upepo ni hoja, kama hoja za Mbowe zimefunika za Zitto ndio siasa, lkn wanasiasa kuanza kulia timing kama zawanamuziki wa Bongo kipindi wanataka kutoa nyimbo huo nao utakuwa usanii.
Wenye akili husikiliza hoja zote kwa wakati wao kisha hudadavua, bali wajinga huvuma na upepo unakoelekea.
Hahaha kwani huwa unawachukulia serious upinzani?Naona mnaparurana hapa nani kateka media kuliko mwenzake.
Inasikitisha mno kwamba malengo ya vyama vya upinzani ni kuteka media tu.
wenye kufata upepo wa kigogo ndio mmekazania ya mbowe japo yana umuhimu wake, ila kwa sisi penye fıkra pana kwa jailli ya Taifa letu tunasikiliza uchambuzi wa ACT wendy kutoa majawabu kwa changamoto za Nchi yetu na sio siasaNext time nimshauri Zitto na wanasiasa wengine kufanya timing unapotaka kufanya kazi na jamii. Leo tunakosa uchmbuzi wa comments za ACT Wazalendo kuhusu CAG report kwa Sasa Mbowe kateka media zote nchini.
Natamani kosa kama hili lisijirudie, jipeni muda wakuwasiliana na jamii.
hadi wewe mzee? kweli rushwa inawaharibuZitto ni MATAGA agent kwa kivuli cha upinzani
Hata mama naye awe anaangalia Mbowe yuko wapi kabla ya kufanya ziara zake , habari za Uganda zimeteketezwa na Kishindo cha Jabali MboweNext time nimshauri Zitto na wanasiasa wengine kufanya timing unapotaka kufanya kazi na jamii. Leo tunakosa uchmbuzi wa comments za ACT Wazalendo kuhusu CAG report kwa Sasa Mbowe kateka media zote nchini.
Natamani kosa kama hili lisijirudie, jipeni muda wakuwasiliana na jamii.
Ndio maana walikua wanalilia bunge live ili wauze sura.Hahaha kwani huwa unawachukulia serious upinzani?
Hotuba ya Mbowe yote inamambo Matatu.Next time nimshauri Zitto na wanasiasa wengine kufanya timing unapotaka kufanya kazi na jamii. Leo tunakosa uchmbuzi wa comments za ACT Wazalendo kuhusu CAG report kwa Sasa Mbowe kateka media zote nchini.
Natamani kosa kama hili lisijirudie, jipeni muda wakuwasiliana na jamii.
Niliandika Mbowe ki makosa nilikuwa namaanisha Zitto KabweBasi mpeni uenyekiti au ukatibu mkuu wa chama