Zitto Kabwe adaiwa kutupiwa lawama na viongozi ACT Wazalendo kwa kushindwa kuikosoa Serikali

Zitto Kabwe adaiwa kutupiwa lawama na viongozi ACT Wazalendo kwa kushindwa kuikosoa Serikali

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Zitto ametupiwa lawama na baadhi ya viongozi wenzake ndani ya ACT Wazalendo kwa kile walichoeleza kuwa pamoja na Nchi kuingia gizani kwa ukosefu wa umeme, amekuwa kimya kuzungumza matatizo yanayowakabili wananchi kama alivyokuwa kinara kuikosoa Serikali ya awamu ya Tano.

zitto.PNG
 
Zitto ametupiwa lawama na baadhi ya viongozi wenzake ndani ya ACT Wazalendo kwa kile walichoeleza kuwa pamoja na Nchi kuingia gizani kwa ukosefu wa umeme, amekuwa kimya kuzungumza matatizo yanayowakabili wananchi kama alivyokuwa kinara kuikosoa Serikali ya awamu ya Tano

---
Ushauri wa kisiasa: Act Wazalendo mfukuzeni Zitto sio mpinzani halisi. Sisi Chadema tulimtimua baada ya kujua ni msaliti

zitto.PNG
 
Zitto ametupiwa lawama na baadhi ya viongozi wenzake ndani ya ACT Wazalendo kwa kile walichoeleza kuwa pamoja na Nchi kuingia gizani kwa ukosefu wa umeme, amekuwa kimya kuzungumza matatizo yanayowakabili wananchi kama alivyokuwa kinara kuikosoa Serikali ya awamu ya Tano

Zitto ni mtu wa hovyo kama sura yake... kijana mdini na mshirikina sana... ila soon alichopanda kwa wenzie kitamrudia.
 
It was matter of time! Hakuna awamu Zitto yuko exposed kuliko hii. He is one of the most intelligent asset kwa upinzani lakini sijui nini kilimtokea toka enzi zile analianzisha Chadema.
 
Kipindi cha mwendazake alikatiwa mirija ya asali ndio mana domo lilikua likibwabwaja..sasahivi mirija imekaa sawa ni mwendo wa kulamba asali.

Kumbuka afrika utamaduni wetu hauruhusu kuongea huku unakula.

#MaendeleoHayanaChama
 
Once a snitch always a snitch. Zitto, Mbowe na wengine hamna wapinzani pale.

Ni lazima vyama vya upinzani viweze kuvuka hicho kizuizi cha kung'oa mapandikizi ya CCM yaliyokalia nafasa za juu, kinyume chake wataendelea kupambana kuwa "chama kikuu cha upinzani".
 
Kipindi cha mwendazake alikatiwa mirija ya asali ndio mana domo lilikua likibwabwaja..sasahivi mirija imekaa sawa ni mwendo wa kulamba asali.

Kumbuka afrika utamaduni wetu hauruhusu kuongea huku unakula.

#MaendeleoHayanaChama
JK alipoona anamsumbua sana na sakata la Buzwagi akatengeneza tume ya rais ya madini. Zitto akatupiwa ndani, mule akakutana na mastriker kama kina mama Mary Okejo aliyehusika na utiaji wa saini kwenye mkataba wa tanesco na NetGroup Solutions.

Kuna mawasiliano yalidakwa Zitto akimuita yule mama mpenzi na kuna wakati aliomba apewe hadi milioni mia.

Baada ya pale basi ikawa shughuli imeisha chadema. Akawa yeye na JK tu. Na akaanza kusafiri na JK.
download.jpg
 
Back
Top Bottom