Zitto Kabwe amefeli sana kwenye siasa tangia arubuniwe kuisambaratisha CHADEMA amekwenda ACT hana tena mvuto ameamua kustaafu

Zitto Kabwe amefeli sana kwenye siasa tangia arubuniwe kuisambaratisha CHADEMA amekwenda ACT hana tena mvuto ameamua kustaafu

Rais ni mtanzani kwa utanzania wake aliona ni vyema kushiriki kuchangia kanisa kwasababu hao ndio hutumika kutangaza amani, hivyo ni sehemu yake ku promote peace. Kumbuka rais hakualikwa, ilikuwa ni harambee/fund raising yeyote mwenye utashi alichangia, live cash au kwa bahasha, au ahadi.

Chanzo cha pesa siwezi kukielezea kwasababu sifahamu. Ila kwa kanisa wao wanataka pesa, sasa kuanza kuchunguza kila aka mchukuwa Silinde, wakampa ubunge na unaibu waziri wakamsingizia Mbowe mbinafsi.

Ccm wamemshindwa Mbowe na hata hili watashindwa, subiri muda ufike utaelewa naongea nini?.
Kwanza kabisa Samia kaenda kama rais, na kaalikwa na Mbowe. Katumia hela za umma kwenye shughuli ambayo ni ya kidini. Ile michango waumini walipewa fomu za kualika wachangiaji.

Kiongozi wa secular state anapofanya siasa kutumia dini analeta matatizo zaidi ya anayotatua. Tayari kuna watu misikitini Zanzibar wiki hii wanamsema vibaya kwa kuwaopendelea Wakristo.

Kama hujui chanzo cha pesa, hilo ni tatizo kubwa. Walipa kodi wengine hatutaki pesa za kodi zitumike kwenye mambo ya dini. Dini si kazi ya serikali.

Mbowe na Samia wote wana lawama, wamevunja misingi muhimu ya Separation of Religion and State. Mbowe kwa kumualika Samia na Samia kwa kukubali. Wanaingiza siasa makanisani.

Mbowe mwenyewe anajijengea mazingira ya kuonekana kapewa rushwa. Kama kanisa kuchangiwa na Samia ni controversial, kwa nini ajiingize kwenye hiyo controversy kwa kumualika Samia? Yani hata ile favor tu kusema Tanzania kuna makanisa maelfu yanahitaji michango, Samia kaenda la Mbowe, ni scandal tayari. Political favoritism.

Kwa nini hatuoni hili?

Hebu msikilize JFK alivyokuwa anagombea urais Marekani akizungumzia suala la Swparationnif Rwligion and State halafu uangakie sisi tunavyochukulia poa mambo haya.


View: https://youtu.be/LAvHHTt2czU?si=9XltUA-Gw8NgutUI
 
Msaliti hana maisha marefu kwenye siasa. Zitto Kabwe na Kitila Mkumbo waliandaa njama yakuivuruga CHADEMA , wakakamatwa na kufukuzwa. Akaenda kuanzisha chama chake kwa lengo lakuisambaratisha chadema . Amepambana awezavyo ameshindwa imemlazimu aamue kung'atuka chama kisife mikononi mwake.

Lakini alikuwa anakubalika sana kwenye jamii, leo hakuna mtu anayefuatilia siasa zake. Ameungana rasmi na akina Cheyo na Lipumba.

Waliomtuma kuivuruga chadema bado wanamfadhili au walishatumbuliwa ? Alifaidika nini na huo usaliti?
Mbona kama vile Zitto anawashughulisha sn!?
You mean Zitto ndo kasababisha CDM isishike dola!?
 
Zitto aliambiwa atakuwa mkuu wa kambi ya upinzani bungeni, akaambiwa atafikishwa mbali kisiasa . Alishindwa kufahamu wanaomlaghai hata uwezo wa ubongo anawazidi

Leo wale wote waliomlaghi wamefurushwa kwenye ulingo wa siasa amebaki bila focus

Na hapa ndipo akiba Halima Mdee wanapojutia hadi sasa, sehemu sahihi kwao ilikuwa chadema....leo hii hata wakipewa uwaziri bado lengo lao kuu litakuwa halijatimia kisiasa.... Walitumia muda mwingi kujijenga kulikomboa Taifa mikononi mwa CCM leo wameshindwa kuendelea na mapambano wananchi wamewafuta kwenye kumbukumbu za ukombozi
Kama mnategeme chadema ya Mbowe kuwaletea ukombozi Watanganyika basi kuna watu wana ndogo sana,Mbowe huyu aliyesaliti upinzani kwa kubadili gia angani,kumleta Lowasaa na kuvuruga misingi yote ya chama ndio mnamwita mkombozi?Mbowe sio Mwanasiasa bali ni mjasiriasiasa Yeye anaangalia furusa, Sasahivi yuko analamba miguu ya Samia hamwone uruma iliamwachie kiti cha ubunge hapo Hai.

Mbowe hanatofauti na mwanamke kahaba, mwanamke kahaba hata mtu lasimi ila anayekuja na pesa mkononi anapanuliwa mapaja, ndivyo ilivyo chadema ya Mbowe.Chadema Sasahivi akina itikadi,uwezi jua wanatetea nini au wanapinga kipi wapo wapo tu.wanasubiria CCM wanyukane watakao temwa ndio wawe wagombea wa chadema,halafu hapo utegemee ukombozi.Wadanganyeni wajinga tu.
 
Msaliti hana maisha marefu kwenye siasa. Zitto Kabwe na Kitila Mkumbo waliandaa njama yakuivuruga CHADEMA , wakakamatwa na kufukuzwa. Akaenda kuanzisha chama chake kwa lengo lakuisambaratisha chadema . Amepambana awezavyo ameshindwa imemlazimu aamue kung'atuka chama kisife mikononi mwake.

Lakini alikuwa anakubalika sana kwenye jamii, leo hakuna mtu anayefuatilia siasa zake. Ameungana rasmi na akina Cheyo na Lipumba.

Waliomtuma kuivuruga chadema bado wanamfadhili au walishatumbuliwa ? Alifaidika nini na huo usaliti?
Niliyasema haya kitambo tangu siku ya kwanza ametoka cdm kuwa maisha ya zitto kisiasa hayatakuwa na mafanikio.
 
Mbowe anashutumiwa kwa kuhodhi madaraka na kutostaafu, anatakiwa astaafu.

Zitto anashutumiwa kwa kustaafu.

Lawama haziishi. Ukistaafu, usipostaafu, lawama tu.
Kula mihogo yako ukajilalie
 
Kama amefeli ebu niambie leo hii Chadema Ina wabunge wangapi?
Cdm imesimama pekee yake pamoja na wananchama wake watiifu.

Act imekubali kununuliwa na ccm zanzibar inatumika kama daraja
 
Niliyasema haya kitambo tangu siku ya kwanza ametoka cdm kuwa maisha ya zitto kisiasa hayatakuwa na mafanikio.
Lakini hata maisha ya kisiasa ya Mbowe hayana mafanikio.
Kaishia kujenga chama ambacho members wake waoga wa polisi kwelikweli!
Naye kaishia ubunge kama Zitto!
 
Watu wamemgeuza Zitto punching bag ya kuvent frustrations zao!. Pambaneni na watoa taarifa kwenye vyama vyenu!

Hao akina Mbowe a.k.a mwenyekiti wa maisha wametufikisha wapi?
Zitto ni zaidi ya msaliti na sasa ndiyo muanguko wake umetimia
 
Shutuma huwa zina maana kwa wanaozitengeneza. Ukiangalia CCM woote wanataka Mbowe ajiuzulu kwasababu wameshindwa kuimaliza CHADEMA. Huyu Zitto, Wapinzani woote hawamtaki kwa sababu wanaamini anatumiwa na ccm.
Yote nanaweza kuwa kweli lakini pia sijui kama yakitokea watapata wanachotaka.
Ina hitaji akili kubwa kiasi gani kujua kuwa Mbowe tayari kafichwa kwenye mfuko wa Mama Kizimkazi?

Acheni kusindikiza watu kwenye safari za maisha yao.
 
Back
Top Bottom