Kweli Zitto umefikia uwezo huu mdogo wa kufikiria? Hiyo tumehuru lazima iwe backed na sheria mama ambayo ni katiba, pasipo katiba mpya tume huru sahau.
Kumbuka katiba inasema rais akishatangazwa matokeo hayawezi kupingwa.
Sheria za uchaguzi zipo hovyo na hivyo kupelekea uundwaji wa tume kuwa hovyo.
Tume ni subset ya katiba na katiba sio subset ye tume. Hivyo katiba kwanza ndio tumehuru.
You nailed it, broh! Katiba ndio mwongozo wa sheria na taratibu zingine! Ni sahihi kutaka mabadiliko ya katiba kwanza kabla ya tume huru kwa sababu the later is formed using the former!! Anachosahau Zitto ni kuwa muundo wa Tume ya Uchaguzi uko sahihi kisheria na hauko sahihi kiutendaji. Ni kukosa ubongo kuzungumzia utendaji bila uundwaji wake kwanza!! Hasa ukizingatia ni uundwaji wake unaoleta matatizo ya kiutendaji!
Zitto is soon becoming a spent force!!