Kelvin X
JF-Expert Member
- Jun 28, 2011
- 1,940
- 2,401
Kwanini usitoe mchango wako tu kama wewe huta nunua labda kuna wengine wata nunua. Kwa uelewa wangu ni kwamba Zitto kashauri tu na ushauri umepokelewa sio kwamba ndio una tekelezwaYaani wanasiasa ni majinga mno
Yaani uuze hisa za Tanesco kampuni haijawahi kutoa faida tangu ianzishwe mwaka 1974?
Yaani mimi muwekezaji niende nikawekeze kwenye upumbavu wenye hasara kila siku?
Lini nitapata gawio?Hakuna hiyo siku mpaka mwisho wa dunia
Zitto na mwenzake Makamba ni mapumbavu,hayajawahi fanya biashara yanaongea mavi matupu
Nani anunue loss generating machine kwa miaka more than 50years?
Nobody