Zitto Kabwe atoa hoja nzito juu ya uwekezaji wa DP World Tanzania

Zitto umelogwa na nani unategemea kwenye majadiliano kati TPA na DP tutatoka salama? Kwa TPA gani tuliyonayo nayo?
Haya mambo yamejificha kwenye msingi wa katiba. Hii TPA ya kuteuliwa kweli kweli kabisa ikapingane na chief Hangaya? Ngoja tuone mwishowe
 
Unadhani kauli za Mbowe Juu ya Rais Samia Suluhu na Mh Makame Mbarawa zilikuwa kauli nzuri na zakiungwana?

..sio sahihi Mzanzibari kuongoza wizara isio ya muungano.

..Kauli ya Mbowe kuhusu Prof.Mbarawa ni marudio ya malalamiko ya muda mrefu ya Watanganyika kuhusu kupokwa haki zao na Wazanzibari.
 
Mbona nishakutana na mmoja tayari, namjibu hapa. Focus kwenye mjadala, kwani JF ya Baba ako? Focus kwenye hoja ya msingi, na nashukuru unanijua, sikujui.
We nae mara mara moja moja vua koti njaa alafu ulivae tena
 
Hatutaki chochote kile kuhusu bandari na Mali zingine za tanganyika kuchezewa mkitaka vita na vifo endeleeni
 
Yaani kumbe na wewe ama kwa upungufu wa akili au kulipwa mahali fulani. Tayari kinachojadiliwa kimetiwa saini na rais wa JMT na kama bunge litabatilisha kilichotiwa saini hao jamaa wa Dubai kuishtaki JMT kwa kuwaondolea legitimate expectation ya fortune waliyokuwa nayo. Fuatilia kesi za hao waDubai mahakama mbalimbali duniani
 
kubwa ni mashaka ya serikali uwa inaingi mikataba ya ajabu mno huku taifa likipata maslahi kidogo.
Mkuu mimi siongelei huo mkataba sababu siujui ila most of Time humu nawaongelea DP, Jamaa ni real deal na wanaweza kukuza Uchumi kwa Muda mfupi mno.

Case study angalia hapo Djibouti na Senegal. Ndani ya mda mchache DP wame triple uwezo wa Bandari ya Dakar, na juzi hapa wameanza ujenzi wa Bandari itakayogharimu trilioni 3 yenye uwezo wa kuhudumia Meli hadi zenye ukubwa wa mita 400.

Congo wamesaini Juzi na DP bandari yao ya Banana, soon kutajengwa madude hapo hatutawaona wacongo hapa, dunia inaenda kasi, sasa hivi taja Any random company kubwa kubwa Apple, Facebook, Hawa DP, Gazprom ukiangalia mapato yao ni Makubwa kuliko nchi nzima ya Tanzania. Sisi ni Masikini wa kutupwa na huwezi ukawa unatumia njia zile zile ambazo zinafeli kila siku ukatoboa.

Waangalie hio mikataba yao jamaa waje, utaona pale makontena siku moja ama 2 limeshatoka.
 
Punguza ujinga, MoU haijadiliwi bungeni maana MoU haina nguvu kisheria. Yenye nguvu kisheria ni mkataba. Na mkataba walisha sign kitambo , bunge linaenda kubariki ujinga huo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…