Nendeni mkafagie kaburi la mekoNingeshangaa uchaguzi huu uishe ZZK asitafute kakiki hata kidogo kweli?
Unaumwa wewe. Mimi na kaburi la meko wapi na wapiNendeni mkafagie kaburi la meko
Mbona hamna shukrani nyie watu
Chadema ni chama bora hapa Tanzania ndiyo maana hawataki kushiriki huo usaniiNdio mana chadema wakagoma kushiriki uchaguzi.
Washakata tamaa hao matagaNendeni mkafagie kaburi la meko
Mbona hamna shukrani nyie watu
Zzk ni nyumba ndogo ya ccmWenye akili nyingi walimwonya huyu Fala kuwa "hawa CCM wamelaaniwa Kwenye wizi wa Kura" lkn alikaza shingo....
chadema sio wajinga mpaka wakatae kushiriki uchaguzi haramu
Leo Zito Kate kwa na Magufuli wewe kichaa wwwPamoja na Jiwe kuondoka bado kuna watu wenye kasumba za hovyo. Za kujiona wao ndiyo wao. Wao ndiyo nchi.
Hii mbaya sana , Tanzania tulifikia kudharaulika na kila muungwana huko ulimwenguni kwa sababu ya mambo kama haya. Kiti tu cha ubunge , kwanini ufanye mambo kama haya ?!.
Samia Una KAZI