Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Inawezekana ukaamua kuunga mkonoUnaumwa wewe. Mimi na kaburi la meko wapi na wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana ukaamua kuunga mkonoUnaumwa wewe. Mimi na kaburi la meko wapi na wapi
Sema ccm wizi ni jadi yenu.CCM ushindi ni jadi yetu wao waache watengeneze sinema tuu.
Mungu apishe mbaliInawezekana ukaamua kuunga mkono
Mke mwenzioHahahaaaa....... Halima James Mdee technique!
Ulimboka aling'olewa macho na meno na Magufuli, MWANGOSI allipuliwa na Magufuli, Saa hz watu hawafungi the idiotPamoja na Jiwe kuondoka bado kuna watu wenye kasumba za hovyo. Za kujiona wao ndiyo wao. Wao ndiyo nchi...
Rudi shule ujifunze kuandika . Hayo masomo yapo darasa la piliLeo Zito Kate kwa na Magufuli wewe kichaa www
Ndio mana chadema wakagoma kushiriki uchaguzi.
Wewe umeachika kwa Suleiman Mesiu?Mke mwenzio
Ningekuoa lkn naogopa umemeWewe umeachika kwa Suleiman Mesiu?
Zzk anaongozwa na tamaa ya fisiTume ni ccm, polis ni ccm afu utegemee ushindi? CHADEMA walipokuonya ulidhani wanatania
Mzee upo?Sema ccm wizi ni jadi yenu.
Wachana na kutaka kunizoea we mnyarwandaMzee upo?
Karibu CCM ujiunge na mmeo Suleiman!Ningekuoa lkn naogopa umeme
Wa Africa hawakupaswa kupewa uhuru. Ikiwa baadhi yao wana mawazo kama yako haya. Kushinda kiti cha ubunge mpaka uwaze kuwaumiza wapinzani wako ?!Ulimboka aling'olewa macho na meno na Magufuli, MWANGOSI allipuliwa na Magufuli, Saa hz watu hawafungi the idiot
Kamanda mwenzangu acha kulalamika hujapata uthibitisho.Pamoja na Jiwe kuondoka bado kuna watu wenye kasumba za hovyo. Za kujiona wao ndiyo wao. Wao ndiyo nchi.
Hii mbaya sana , Tanzania tulifikia kudharaulika na kila muungwana huko ulimwenguni kwa sababu ya mambo kama haya. Kiti tu cha ubunge , kwanini ufanye mambo kama haya ?!.
Samia Una KAZI