Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Nakuona upo kazini kama kawaida yako.Karibu CCM ujiunge na mmeo Suleiman!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuona upo kazini kama kawaida yako.Karibu CCM ujiunge na mmeo Suleiman!
Ndiyo malipo ya wasalitini haki yake si aliiamini CCM?
We mwana simba tuliani haki yake si aliiamini CCM?
Huyo ni mmakonde mwenzako!Nakuona upo kazini kama kawaida yako.View attachment 1787124
Sukuma gang ebu kalisha kidondaWe mwana simba tulia
Na kwa Sabaya mlisema hakuna uthibitisho. Nani wa kutoa uthibitisho ?! Hivi vyombo vya dola na vya maamuzi vilivyojisalimisha Lumumba !!!Kamanda mwenzangu acha kulalamika hujapata uthibitisho.
Naona unatangaza biasharaHuyo ni mmakonde mwenzako!
Mimi kamanda mwenzako habari za Sabaya zinahusu nini?Na kwa Sabaya mlisema hakuna uthibitisho. Nani wa kutoa uthibitisho ?! Hivi vyombo vya dola na vya maamuzi vilivyojisalimisha Lumumba !!!
Hakuna kamanda mnafikiMimi kamanda mwenzako habari za Sabaya zinahusu nini?
Mimi na wewe nani anamzoea mwenzakeWachana na kutaka kunizoea we mnyarwanda
Kawaulize WASHUTI WENZAKOMimi na wewe nani anamzoea mwenzake
Katika wanasiasa wa hovyo nchi hii ni Zitto. Hivi kitaaluma ni nani zaidi ya domo la siasa.
Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe,akiwa na mgombea ubunge wa Jimbo la Muhambwe Julius Masabo wamevamiwa na watu waliokuwa kwenye magari matatu yanayosadikiwa kuwa ya CCM yakiwa na namba za Usajili T281BFG, T195JV na T148DFA.
Katika uvamizi huo gari yenye namba DFA inasadikiwa kuwa na kura feki zilizokwishapigwa.
Tayari ameshamjulisha tukio hilo OCD Kibondo.
Miongoni mwa gari hizo mbili zinadaiwa kuwa na watu waliojihami kwa mapanga
MasaliaPamoja na Jiwe kuondoka bado kuna watu wenye kasumba za hovyo. Za kujiona wao ndiyo wao. Wao ndiyo nchi.
Zitto na CCM ni kitu kimoja ,anatengeneza kiki ili ionekane ameenda Kama mpinzani wa kweli.Wenye akili nyingi walimwonya huyu Fala kuwa "hawa CCM wamelaaniwa Kwenye wizi wa Kura" lkn alikaza shingo....
chadema sio wajinga mpaka wakatae kushiriki uchaguzi haramu