Uchaguzi 2020 Zitto Kabwe avamiwa kwenye Uchaguzi mdogo Muhambwe

Uchaguzi 2020 Zitto Kabwe avamiwa kwenye Uchaguzi mdogo Muhambwe

Sasa ndio naiamini ile kauli aliyosema Mama Samia kwamba "Mimi na hayati Magufuli ni kitu kimoja"
 
Mmh! Kama ni hizi Nissan Patrol zenye "model" ya zamani, nyingi zikiwa na rangi nyeupe basi utambue ya kwamba watu kutoka katika kitengo kile nyeti wameshirikishwa pia katika ufedhuli huo.

Screenshot_20210516-155342.jpg
 
Huyu ni snitch tu Sasa unataka watz tukusaidie kwa lipi wakati wewe mwenyew ni msanii tu, wenzio wamegoma kushirik ww ukaamua kusalit wenzio, ifike mahal bora CCM waendelee tu kutawala maana mna tamaa sana, badala ya kulilia katiba yenye kubalance mambo nyie bado mmeziba masikio pamba mkihofia matumbo yenu.
 
Tatizo la zitto ni Kama kirusi hivi, Yan haelewekieleweki hivi, anajua sababu za wenzie kutoshiriki chaguzi hzo, anajua vzr suala la tume kuwa haiko huru, vilevile anajua kuwa katiba Bado inafavour upande mmoja Lakini Hana msimamo wa kutetea haki ya chama chake na Vyama vingine vya upinzani!

Kama ni kweli. Basi ndugu Zitto ujifunze kutokana na makosa, ila kwa Sasa pambana na hali yako!
 
Poleni sana ACT Wazalendo lakini mnastahili kuvamiwa, CHADEMA walisema haya mambo hayajaisha nyie mkapeleka mgombea haya sasa ndio mavuno.

Muwe mnasikiliza Wenzenu, CCM ni genge kubwa likiongozwa na state apparatus. Eti kaenda kuripoti Polis

Screenshot_20210516-161015.png
 
Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe,akiwa na mgombea ubunge wa Jimbo la Muhambwe Julius Masabo wamevamiwa na watu waliokuwa kwenye magari matatu yanayosadikiwa kuwa ya CCM yakiwa na namba za Usajili T281BFG, T195JV na T148DFA.

Katika uvamizi huo gari yenye namba DFA inasadikiwa kuwa na kura feki zilizokwishapigwa.

Tayari ameshamjulisha tukio hilo OCD Kibondo.

Miongoni mwa gari hizo mbili zinadaiwa kuwa na watu waliojihami kwa mapanga
Shetani hana rafiki , huyu tulishamuonya mapema sana lakini akapuuza , atavuna alichopanda
 
CCM hawaamini ushindi wa sanduku la kura Tena [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Uroda walioupata kipindi Cha mwendazake hawataki uishe
 
Back
Top Bottom