Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo maana chama chake hakina mvuto.Zitto msanii tu!
Chama cha kuongozwa na (Zitto + Abdul Nondo) ni chama kweli?
Hahahaha 😂😂😂😂Chama cha kuongozwa na (Zitto + Abdul Nondo) ni chama kweli?
Hakuna Zitto ni janja janja atakuwa ameshavuta mshiko wake mapema toka kwa VPCCM ina tofauti gani na Israel dhidi ya Palestine?
Mkuu hakuna mtu anafuatilia huo uchafuzi hata mmoja zaidi ya hao wasanii wote kuanzia CCM & COHahahaha 😂😂😂😂
Shetani hana rafiki , huyu tulishamuonya mapema sana lakini akapuuza , atavuna alichopandaKiongozi wa chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe,akiwa na mgombea ubunge wa Jimbo la Muhambwe Julius Masabo wamevamiwa na watu waliokuwa kwenye magari matatu yanayosadikiwa kuwa ya CCM yakiwa na namba za Usajili T281BFG, T195JV na T148DFA.
Katika uvamizi huo gari yenye namba DFA inasadikiwa kuwa na kura feki zilizokwishapigwa.
Tayari ameshamjulisha tukio hilo OCD Kibondo.
Miongoni mwa gari hizo mbili zinadaiwa kuwa na watu waliojihami kwa mapanga