Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shetani hana rafiki
Hahahaha wacha watamalizana wenyewe, umesahau Zanzibar?? Usiingilie ugomvi wa nduguIla CCM kwa ukongwe wake ni wa kutembea na mapanga kweli? Hebu wabadilike kwani kumpa kila aliye kwenye gari revolver kuna ugumu gani?
Ujue ukiwa na revolver unaweza mwambia mtu wewe usalama wa taifa na akatii sasa ukiwa na panga utasema wewe ni mganga unaenda kuchimba dawa au?
Wako multi purpose na hizo silaha za jadiIla CCM kwa ukongwe wake ni wa kutembea na mapanga kweli? Hebu wabadilike kwani kumpa kila aliye kwenye gari revolver kuna ugumu gani?
Ujue ukiwa na revolver unaweza mwambia mtu wewe usalama wa taifa na akatii sasa ukiwa na panga utasema wewe ni mganga unaenda kuchimba dawa au?
Kwamba ni waganga pia?Wako multi purpose na hizo silaha za jadi
Kayataka..!!!
Ikishindikana tutachezea uwekezaji wa SoKA Tu hakuna mtu aliyezaliwa kufikiria dharau... Huo mfumo wanaujua Bora hata ya Simba kupigwa 4. Mengine Yaja watakosa pumzi uwanjani. "Hatuna hadhi ya kucheza hata SoKA"
Kweli ukiwa rais tutazaa watoto wengi na wengi utawarisha vizuri kuongea hela Kwa watu itakuwa kipaumbele kila raheri mheimiwa maana ni kusafiri kila siku maana tutakuwa wengi la sivyo incumbeta ya mwanadamu inatakiwa ili wazaliane Sana, wahazee bar, nyumba za kupanga, gesti la sivyo lawama za kufikiri masaa 24 Kwa baadhi ya watu wengine wale maisha
Kwani alidhani kuna kitu gani kilichobadilika? CCM ni ile ile na ndiyo maana CDM wameweka mpira kwapani!!!! Mama kasema yeye na mwendaake ni kitu kimoja. Tusitegemee adeviate sana kutoka kwenye system za mwendazake. CCM ili iendelee kushika dola lazima ifanye inachofanya la sivyo asubuhi tu wanaondoka!!!!