The Remaining Soldier
Member
- Feb 25, 2021
- 54
- 74
Si alishawaambia askari wake Wana mafunzo huwawezi kumkosa mtu kwa risasi tatu .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushasahau kuwa asili ya watu wa kigoma ni unafiki. Alitaka aonekane kuwa yeye na chama chake sio watu wa vurugu bali vurugu huanzishwa na CHADEMA.Wenzako cdm walivyosusia unadhani hayo hawakuyajua? Pambana na hali yako Mkuu.
Hiyo gari T195 JV, hii number haijakamilika. Namba zinatakiwa kuwa na herufi tatu (Three alphabetical letters), hapo kuna JV tu......Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe,akiwa na mgombea ubunge wa Jimbo la Muhambwe Julius Masabo wamevamiwa na watu waliokuwa kwenye magari matatu yanayosadikiwa kuwa ya CCM yakiwa na namba za Usajili T281BFG, T195JV na T148DFA....
Ndio mana chadema wakagoma kushiriki uchaguzi.
Mataga hata muone damu imemwagika mtasema ni maji.Nyumbu atabaki kuwa nyumbu daima.Ningeshangaa uchaguzi huu uishe ZZK asitafute kakiki hata kidogo kweli?
Mwenye definition ya uvamizi anisaidie jamaniKiongozi wa chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe,akiwa na mgombea ubunge wa Jimbo la Muhambwe Julius Masabo wamevamiwa na watu waliokuwa kwenye magari matatu yanayosadikiwa kuwa ya CCM yakiwa na namba za Usajili T281BFG, T195JV na T148DFA...
Act may be ccm waamue kuwachia majimbo Basi but in fair hamwezi kushinda ,WATU Wana hasira Sana KWa jinsi mnavyo kiuka viapo vyenu kwamba leo unasema hili kesho ulichokisema haukiishi.Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe,akiwa na mgombea ubunge wa Jimbo la Muhambwe Julius Masabo wamevamiwa na watu waliokuwa kwenye magari matatu yanayosadikiwa kuwa ya CCM yakiwa na namba za Usajili T281BFG, T195JV na T148DFA...
Kama chama kinapendwa kwanini uhangaike na mapanga?Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe,akiwa na mgombea ubunge wa Jimbo la Muhambwe Julius Masabo wamevamiwa na watu waliokuwa kwenye magari matatu yanayosadikiwa kuwa ya CCM yakiwa na namba za Usajili T281BFG, T195JV na T148DFA...
Ni Mchumi mzuri lakini ni Mnafiki zaidi.Katika wanasiasa wa hovyo nchi hii ni Zitto. Hivi kitaaluma ni nani zaidi ya domo la siasa.
Ndio mana chadema wakagoma kushiriki uchaguzi.