[emoji23][emoji23][emoji23]Samahani najiunga kwenye ugomvi. Jukwaa la watu wenye uelewa wa kiwango cha kawaida na pengine cha chini (maana watu hutofautiana) ni lipi nielekeze. Maana JF kila mmoja anajiona Great thinker, kila mmoja ni matawi ya juu, kila mwanamke au msichana ni mrembo
Uislamu na unyani wa binadamu hauna uhusiano.Kiufupi Zitto na CCM ni kitu kimoja na hasa ukizingatia Samia na Zitto ni waislam hapo utauona unyani wa Zitto ulipo.
Hawa ni wakina nani? Mbona wamisheni tumekuwa tukitumia kanisani kufanyia siasa na "hawa" hawakulalamika? Ulichokisema hakipendezi hata kidogo.Ukizingatia dini ya Samia muda si mrefu wataanza vikao vyao Vya misikitini na akina Lipumba Hawa ni watu wa hovyo sana.
Usiseme hivyo hata kama ulikuwa humpendi,tulio hai tujifunze kupitia kwakeOoh kwahyo mabati huwa yanakuwa ndani au nje ya ujenzi?
Na yale majani umeshindwa hata kwenda kuyatoa? Siamini kile kinywa kinatafunwa na funza now.
Anaconcede kwa kulalama!!!! Aaache hizo!Zitto Kabwe amewaambia wanaoizodoa Act-Wazalendo kwa kushiriki Uchaguzi Mdogo kuwa wanasumbuliwa na ushamba.
Haya ameyaandika baada ya baadhi ya watu ambao anawaita ''wenzetu'' kuanza kumzodoa wakati walisusia uchaguzi na chama chake kikaheshimu uamuzi wao wa kususia uchaguzi.
Maelezo haya ameyatoa kwenye akaunti yake. Kwa alichokiandika soma hapo chini.
View attachment 1787975
Ningeshangaa sana asingeandika hivi na kuungwa mkono na nyie wana LumumbaZitto Kabwe amewaambia wanaoizodoa Act-Wazalendo kwa kushiriki Uchaguzi Mdogo kuwa wanasumbuliwa na ushamba.
Haya ameyaandika baada ya baadhi ya watu ambao anawaita ''wenzetu'' kuanza kumzodoa wakati walisusia uchaguzi na chama chake kikaheshimu uamuzi wao wa kususia uchaguzi.
Maelezo haya ameyatoa kwenye akaunti yake. Kwa alichokiandika soma hapo chini.
View attachment 1787975
You're such a rubbish philosopher, na upuuzi huu hata hiyo philosophy sidhani kama ingekuwa interesting, yaani uzushi wako niuchukulie kwa uzito wa mitihani ya darasani? You are some kind of joke budah! Anyways, endelea na nyimbo za inge, ninge, tunge....kweli nimeamini dume la lusungo lina mbegu mbili, probably zimeshamwagika, so, apparently Lusungo is impotent.Ingekua ni mtihani ungesema hakuna swali? Hivi unajua anayepuuza swali ni mpuuzi zaidi ya muuliza swali la kipuuzi?
Someni philosophy
Bara Act mpa mda huu haina chake ijikite vizuri labda Zanzibar, vinginevyo kwisha habari yao watz sio wajingaZitto Kabwe amewaambia wanaoizodoa Act-Wazalendo kwa kushiriki Uchaguzi Mdogo kuwa wanasumbuliwa na ushamba.
Haya ameyaandika baada ya baadhi ya watu ambao anawaita ''wenzetu'' kuanza kumzodoa wakati walisusia uchaguzi na chama chake kikaheshimu uamuzi wao wa kususia uchaguzi.
Maelezo haya ameyatoa kwenye akaunti yake. Kwa alichokiandika soma hapo chini.
View attachment 1787975
Zitto anatakiwa ajitafakari sana. Ni lazima atambue impact ya chama chake kushirikiana na CCM Zanzibar katika kuaminika kwake Bara. Propaganda za hao washamba kumuunganisha na CCM matokeo yake ndio hayo. Watu wameona kwa nini wapigie kura nakala wakati original ipo? Atambue kuwa kwa sasa kimbilio la watu wasiokubaliana na Chama Tawala inaonekana ni hao washamba.
Amekuwa kama wakina Halima ambao pamoja na kujitahidi kuonyesha kuwa bado moyoni ni wapinzani, hamna anaewachukulia serious. Wamegeuzwa vikaragosi ambavyo hamna ane vichukulia serious.
Chama chake kina mvuto Pemba tu. Yeye amekuwa side show.
Amandla...
Kuna tatizo gani kwa Chadema kutaka kila mtu aamini wanachoamini wao? Si ndio maana ya demokrasi? Mimi sidhani kama wana uwezo wa kumlazimisha mtu akubaliane na wanachoamini wao.Tatizo sio zitto, bali tatizo lipo kwa wafuasi wa chadema na viongozi wao. kwanini walazimishe kila wanachokiamini wao kwa kila mtu?
Ninachokiamini mimi nikuwa TZ hakutakua na tume huru lakini CHADEMA watashiriki uchaguzi 2025, halafu hapo ndio utakapokuja kujiuliza hawa watu lile povu lilikua linatokana nanini
Kuna tatizo gani kwa Chadema kutaka kila mtu aamini wanachoamini wao? Si ndio maana ya demokrasi? Mimi sidhani kama wana uwezo wa kumlazimisha mtu akubaliane na wanachoamini wao.
Ni kama vile una haki kabisa kuamini kuwa hakutakuwa na tume huru hadi mwaka 2025 ingawa kwa kusema hivyo unakiri kuwa tume iliyopo sio huru. Chadema wakishiriki kwenye huo uchaguzi utakuwa na haki ya kuwabeza maana kweli wataonyesha kuwa ni ndimi kuwili. Lakini kwa sasa hivi hauna haki ya kuwabeza kwa msimamo wao wa kutoshiriki uchaguzi wowote hadi hapo tume huru itakapokuwepo. Anayetakiwa kubezwa ni yule aliyesimama nao hadharani na kukubaliana na msimamo lakini mara alipoona kuwa anaweza kufaidika akishiriki akabadilisha msimamo wake kabla hata miezi sita haijapita. Ni haki ya CDM kumpigia kelele lakini ukweli ni kuwa hamna ambacho wanaweza kumfanya. Ndio demokrasi.
Amandla...
Mbona mnapanic sana Wajane, kunywa maji utulize roho, usishindane na sisi tunaefurahia mtukufu kafa na kuwa mtukufu mfuπππππππππππKama tungekuwa tumemtelekeza ungejua kama yuko kwenye kibanda cha bati?
Ninajua kwako hata akili ya kawaida ni bidhaa adimu!
Kwa akili yako ''kisoda'' huwezi kujua kuwa wakati wa ujenzi lazima uzungushie nyumba ya muda ili kaburi lisiharibike au kuchafuka na vumbi la ujenzi.
Samahani, hili ni jukwaa la watu wenye uelewa wa kiwango cha juu lakini nasikitika unauliza maswali ya akili za watoto wa darasa la tatu au nne!
Ni vizuri ukatafuta mtu mwenye uwezo wa fikra za chini kama zako ili angalau upate majibu sahihi ya kiwango chako cha ufahamu!
Sipendi nikupotezee muda wako na wangu kwa kujibu maswali yenye fikra za watoto wa darasa la tatu au nne!
Samahani kama nimekukwaza lakini kumbuka hata dawa zingine ni chungu lakini huponya!
Lakini Fundiβ¦CHADEMA hao hao mbona wameshiriki chaguzi nyingi tu chini ya hii hii tume ambayo wameisusia sasa?Kuna tatizo gani kwa Chadema kutaka kila mtu aamini wanachoamini wao? Si ndio maana ya demokrasi? Mimi sidhani kama wana uwezo wa kumlazimisha mtu akubaliane na wanachoamini wao.
Ni kama vile una haki kabisa kuamini kuwa hakutakuwa na tume huru hadi mwaka 2025 ingawa kwa kusema hivyo unakiri kuwa tume iliyopo sio huru. Chadema wakishiriki kwenye huo uchaguzi utakuwa na haki ya kuwabeza maana kweli wataonyesha kuwa ni ndimi kuwili. Lakini kwa sasa hivi hauna haki ya kuwabeza kwa msimamo wao wa kutoshiriki uchaguzi wowote hadi hapo tume huru itakapokuwepo. Anayetakiwa kubezwa ni yule aliyesimama nao hadharani na kukubaliana na msimamo lakini mara alipoona kuwa anaweza kufaidika akishiriki akabadilisha msimamo wake kabla hata miezi sita haijapita. Ni haki ya CDM kumpigia kelele lakini ukweli ni kuwa hamna ambacho wanaweza kumfanya. Ndio demokrasi.
Amandla...
Lakini Fundiβ¦CHADEMA hao mbona wameshiriki chaguzi nyingi tu chini ya hii hii tume ambayo wameisusia sasa?
Kama hii tume ya sasa si huru, ina maana tume za 2015, 2010, na 2000 zilikuwa huru?